Asante Sana Urusi, Asante sana Vladimir Putin kwa kusimama kiume dhidi ya Mafedhuli

Asante Sana Urusi, Asante sana Vladimir Putin kwa kusimama kiume dhidi ya Mafedhuli

Muha wa kibondo kigoma mwenye asili ya kongo ambae maisha yake ya utotoni yalimalizikia kwenye kambi za wakimbizi ,leo baada ya kula fadhila na msaada ya hao unaowaita mafedhuli kwenye kambi hizo umejisahau mja, hakuna mbaya kwa wote, hata huyo putin ulimwagia sifa asizostahiki ana mapungufu.
Huyo muha wa kibondo kwanza kapunjwa sana na hao mafedhuli,kwa jinsi wanavyopora hapo congo
 
Silazimishwi in person bali kupitia sera zao na kampeni zao ikiwemo kupitia negotiations zao na sisi katika mambo ya kiuchumi hasa mikopo na ufadhili.
Najua unaelewa kama wanashinikiza au la! Labda kama umeshawakubalia.
Si muache kwenda kukopa, kwan wanawaita mkawakope au umaskini na njaa zenu zinawapeleka?
Ukiona mikopo na ufadhili haiko ktk uwezo au ndani ya matakwa yenu si mnakataa tyuuh, mnakwama wapi?

Kutwa kwenda huko kupiga goti kuomba mikopo na misaada, na bado mtapewa masharti zaidi ya Ushoga. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

DJ waleteeeeeeeeeeeh.
 
1.Libya NATO walienda kuweka no fly zone kwa idhini ya UN kulinda raia waliokuwa wanauwawa na Gaddafi, Yemen wako kwenye civil war, Afghanistan chini ya Taliban walikuwa wanahifadhi magaidi wa Al Qaeda walioua watu 3000 wa US September 11.

2.Asilimia kubwa ya Ngano kutoka Urusi na Ukraine ndio inayoliwa Africa hasa Misri, Nigeria,Algeria na Morocco. Fahamu tu kwamba Ufaransa, Ujerumani na Poland ni wazalishaji wakubwa wa Ngano na wanauza kiwango kikubwa nje ya nchi zao, UK inazalisha ngano ya kutosha kwa nchi yake. Urusi inaagiza sehemu kubwa ya matunda kutoka EU.

3.Mambo ya US ku support madikteta ilitokana zaidi na USSR kulazimisha Ukomunisti kwenye maeneo mbalimbali duniani, ile ilikuwa vita baridi ambayo US naye alitumia hadi msaada wa "shetani"(nikirejea maneno ya Membe) kupambana na giza la Ukomunisti.

Leta Hoja.
1.Unaweza kutupatia memorandum ya azimio la UN kuipa idhini US kwenda kuweka No Fly Zone Libya!!?,Na ni kweli waliweka no Fly zone au waliishia kuwa side ya waasi na kushambulia misafara ya Ghadafi!!?, US walikuwepo Afghanistan kabla hata ya uwepo wa Taleban madarakani na Osama Binladen ni zao la kwao wao Marekani ishu ilikuwa hivi mwaka 1978 people's Democratic party of Afghanistan(PDPA) iliingia madarakani lakini Marekani kupitia CIA kwa kushirikiana na intelligence ya Pakistani walikuwa wanaunga mkono Mujahedeen ambao walikuwa ni against na Serikali sasa hapo CIA ndio walishirikiana na Osama Bin Laden(mtoto wa tajiri Saudi Arabia) ambaye alikuwa ni kiungo muhimu katika ishu ya Foreign support Financially ambaye baadae pia ndio alikuwa kiungo muhimu wa Alqaeda mpaka hapa unaweza kuona zimwi likujualo.Kwahiyo Serikali mpya ilipoingia madarakani 1992 ilikuwa kibaraka wa Marekani baadhi ya Waafghan hawakuitaka Serikali hii ndipo ambapo Mullah omar aliunda Taleban hili kuitoa serikali ya vibaraka wa Marekani Madarakani..Marekani alipoona vibaraka wamezidiwa ikabidi atafute sababu ya kuvamia Afghanistan hili kuirejesha Serikali ya vibaraka wake Madarakani ndipo akapata sababu ya Al Qaeda na alikuwa na taarifa zote za Intelligence kwamba Al Qaeda wapo mbioni kulipua majengo ya WTC lakini wakakausha wakijua fika mbuzi kafia kwa muuza supu hii itakuwa sababu tosha ya wao kuvamia Afghanistan


2.Umeongelea kuhusu njaa Africa unasema njaa inasababishwa na vita nikakuambia matokeo ya njaa Africa inajulikana ni mabadiliko ya tabia ya nchi ikizingatia nchi zinazoface janga la njaa kwa sasa sio importers wakubwa wa ngano kutoka Russia wewe umetaja Misri,Algeria na Morocco umesikia hizo nchi zinalalamika njaa kwa sasa?

3.Ukomunisti ulilazimishwa au ilikuwa ni matakwa ya viongozi?..Kimsingi USA alikuwa anaogopa sera za Russia kumsogelea karibu ndio maana akajikuta anapachika viongozi vibaraka ambao walihusika pakubwa kusimamia maslahi ya Marekani kwa mfano Guatemala kulikuwa na kampuni ya kilimo cha ndizi ya kimarekani ambayo ilikuwa ni untouchable ilifikia kipindi kampuni hiyo ikawa na GDP kubwa kuliko hata serikali wananchi waliilalamikia sana kutokana na kufanya mambo kiholela hata kodi kwanza walikuwa hawalipi hii ilikuwa ni athari ya kupachika vibaraka katika nchi za watu,watu wa Guatemala walilia njaa sana kutokana na kuingiliwa na marekani katika mambo yao..kwingineko watu wa Cuba walilia sana na utawala wa mabavu wa kibaraka wa Marekani Fulgencio Batista kabla ya kupinduliwa na baadae Fidel Castro kushika madaraka..So hofu ya Marekani ilikuwa sio tu kupandikiza vibaraka hili kuzuia ucommunist hapna pia ilikuwa ni kwa ajili ya kulinda maslahi ya kiuchumi ya Marekani..Kumbuka hakuna aliyeshikiwa fimbo kuadopt Communism bali ni ile tu raia walichoka kuwa na utawala wa madikteta wa Marekani thus why Wacommunist walipata support sana Marekani kusini
 
1.Unaweza kutupatia memorandum ya azimio la UN kuipa idhini US kwenda kuweka No Fly Zone Libya!!?,Na ni kweli waliweka no Fly zone au waliishia kuwa side ya waasi na kushambulia misafara ya Ghadafi!!?, US walikuwepo Afghanistan kabla hata ya uwepo wa Taleban madarakani na Osama Binladen ni zao la kwao wao Marekani ishu ilikuwa hivi mwaka 1978 people's Democratic party of Afghanistan(PDPA) iliingia madarakani lakini Marekani kupitia CIA kwa kushirikiana na intelligence ya Pakistani walikuwa wanaunga mkono Mujahedeen ambao walikuwa ni against na Serikali sasa hapo CIA ndio walishirikiana na Osama Bin Laden(mtoto wa tajiri Saudi Arabia) ambaye alikuwa ni kiungo muhimu katika ishu ya Foreign support Financially ambaye baadae pia ndio alikuwa kiungo muhimu wa Alqaeda mpaka hapa unaweza kuona zimwi likujualo.Kwahiyo Serikali mpya ilipoingia madarakani 1992 ilikuwa kibaraka wa Marekani baadhi ya Waafghan hawakuitaka Serikali hii ndipo ambapo Mullah omar aliunda Taleban hili kuitoa serikali ya vibaraka wa Marekani Madarakani..Marekani alipoona vibaraka wamezidiwa ikabidi atafute sababu ya kuvamia Afghanistan hili kuirejesha Serikali ya vibaraka wake Madarakani ndipo akapata sababu ya Al Qaeda na alikuwa na taarifa zote za Intelligence kwamba Al Qaeda wapo mbioni kulipua majengo ya WTC lakini wakakausha wakijua fika mbuzi kafia kwa muuza supu hii itakuwa sababu tosha ya wao kuvamia Afghanistan


2.Umeongelea kuhusu njaa Africa unasema njaa inasababishwa na vita nikakuambia matokeo ya njaa Africa inajulikana ni mabadiliko ya tabia ya nchi ikizingatia nchi zinazoface janga la njaa kwa sasa sio importers wakubwa wa ngano kutoka Russia wewe umetaja Misri,Algeria na Morocco umesikia hizo nchi zinalalamika njaa kwa sasa?

3.Ukomunisti ulilazimishwa au ilikuwa ni matakwa ya viongozi?..Kimsingi USA alikuwa anaogopa sera za Russia kumsogelea karibu ndio maana akajikuta anapachika viongozi vibaraka ambao walihusika pakubwa kusimamia maslahi ya Marekani kwa mfano Guatemala kulikuwa na kampuni ya kilimo cha ndizi ya kimarekani ambayo ilikuwa ni untouchable ilifikia kipindi kampuni hiyo ikawa na GDP kubwa kuliko hata serikali wananchi waliilalamikia sana kutokana na kufanya mambo kiholela hata kodi kwanza walikuwa hawalipi hii ilikuwa ni athari ya kupachika vibaraka katika nchi za watu,watu wa Guatemala walilia njaa sana kutokana na kuingiliwa na marekani katika mambo yao..kwingineko watu wa Cuba walilia sana na utawala wa mabavu wa kibaraka wa Marekani Fulgencio Batista kabla ya kupinduliwa na baadae Fidel Castro kushika madaraka..So hofu ya Marekani ilikuwa sio tu kupandikiza vibaraka hili kuzuia ucommunist hapna pia ilikuwa ni kwa ajili ya kulinda maslahi ya kiuchumi ya Marekani..Kumbuka hakuna aliyeshikiwa fimbo kuadopt Communism bali ni ile tu raia walichoka kuwa na utawala wa madikteta wa Marekani thus why Wacommunist walipata support sana Marekani kusini
Ukiskia kujenga hoja kwa facts ndo huku. Sijui ilikuwaje watu kama wewe mkapungua jf. Kuna wanaojadili kwa mihemko sasa hiv. Wengi hatupendi kujiongeza maarifa.
Ukweli ni kwamba marekan sijui ni taifa la namna gani lakin ndo kinara wa majanga makubwa ya dunia ikiwemo ukosefu wa amani.
Sema watu wengi tunapotea pale tunapoangalia aliyeko mbele yetu kwenye tatizo bila kujua nyuma yake nani amezalisha tatizo. Vita nying dunian marekan sura yake hutaiona hasa africa lakini ni ana mkono wake.
Hata sasa Hakuna anayeona mkono wa marekan kule rwanda dhidi ya drc na mali zake!
Watu hawaelew kwamba kutumia uchu wa kitu na nguvu yako au ushawishi mtu mwingine afanye jambo baya, kwa ajiri yako au kwa ushirikiano kufaidishana, nawe una hatia!
 
Muda mwingine muwe mnakaa kimya kuepusha kujichoresha mbele ya wengine,
Sasa ndo umeandika nn hapa? Lol.
Nini hukuelewa? Swali au maelezo! Sasa kama huna akili za kuelewa kwan hukai vzur na majirani ukasaidiwa?
Ukiwaga p unakuwa msumbufu sijui kwanini!
 
Nini hukuelewa? Swali au maelezo! Sasa kama huna akili za kuelewa kwan hukai vzur na majirani ukasaidiwa?
Ukiwaga p unakuwa msumbufu sijui kwanini!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] una tatizo wee sio buree. Lol
 
Litafute azimio 1973 (2011) lilopigiwa kura ya kuungwa mkono na wanachama 10 wa baraza la usalama huku 5 (Brazil, China, Ujerumani, India, Russian) wakiharibu kura zao.

Waliweka no fly Zone Gaddafi akajifanya kichwa kigumu akapambana nao.

Osama hakuenda Afghanistan wala hakuwa na mahusiano yoyote na Afghanistan mwaka 1978. Osama Alienda Afghanistan mwaka 1996 akitokea Sudan baada ya serikali ya nchi hiyo kumuondolea hifadhi yake.

Wamarekani walienda Afghanistan miaka ya 1980 kuwasaidia Mujahideen dhidi ya uvamazi wa USSR/Urusi uliodumu kwa miaka 10 (1979-1989) baada ya wakomunisti wa PDPA wakishirikiana na sehemu ya jeshi kufanya mapinduzi yaliyoishia kuleta vurugu na machafuko makubwa Afghanistan 1978.

Mwisho umekubali mwenyewe ni kweli Al Qaeda walihusika na mashambulizi ya September 11 ila kituko umekubali kwa kuunganisha na conspiracy ya kijinga eti CIA walijua wakaacha tu ili US wapate sababu ya kuivamia Afghanistan, hii ni conspiracy ya kitoto sana. Afghanistan haina rasilimali zozote za maana au mafuta ambayo yangefaa conspiracy theory yako.
1.Unaweza kutupatia memorandum ya azimio la UN kuipa idhini US kwenda kuweka No Fly Zone Libya!!?,Na ni kweli waliweka no Fly zone au waliishia kuwa side ya waasi na kushambulia misafara ya Ghadafi!!?, US walikuwepo Afghanistan kabla hata ya uwepo wa Taleban madarakani na Osama Binladen ni zao la kwao wao Marekani ishu ilikuwa hivi mwaka 1978 people's Democratic party of Afghanistan(PDPA) iliingia madarakani lakini Marekani kupitia CIA kwa kushirikiana na intelligence ya Pakistani walikuwa wanaunga mkono Mujahedeen ambao walikuwa ni against na Serikali sasa hapo CIA ndio walishirikiana na Osama Bin Laden(mtoto wa tajiri Saudi Arabia) ambaye alikuwa ni kiungo muhimu katika ishu ya Foreign support Financially ambaye baadae pia ndio alikuwa kiungo muhimu wa Alqaeda mpaka hapa unaweza kuona zimwi likujualo.Kwahiyo Serikali mpya ilipoingia madarakani 1992 ilikuwa kibaraka wa Marekani baadhi ya Waafghan hawakuitaka Serikali hii ndipo ambapo Mullah omar aliunda Taleban hili kuitoa serikali ya vibaraka wa Marekani Madarakani..Marekani alipoona vibaraka wamezidiwa ikabidi atafute sababu ya kuvamia Afghanistan hili kuirejesha Serikali ya vibaraka wake Madarakani ndipo akapata sababu ya Al Qaeda na alikuwa na taarifa zote za Intelligence kwamba Al Qaeda wapo mbioni kulipua majengo ya WTC lakini wakakausha wakijua fika mbuzi kafia kwa muuza supu hii itakuwa sababu tosha ya wao kuvamia Afghanistan


2.Umeongelea kuhusu njaa Africa unasema njaa inasababishwa na vita nikakuambia matokeo ya njaa Africa inajulikana ni mabadiliko ya tabia ya nchi ikizingatia nchi zinazoface janga la njaa kwa sasa sio importers wakubwa wa ngano kutoka Russia wewe umetaja Misri,Algeria na Morocco umesikia hizo nchi zinalalamika njaa kwa sasa?

3.Ukomunisti ulilazimishwa au ilikuwa ni matakwa ya viongozi?..Kimsingi USA alikuwa anaogopa sera za Russia kumsogelea karibu ndio maana akajikuta anapachika viongozi vibaraka ambao walihusika pakubwa kusimamia maslahi ya Marekani kwa mfano Guatemala kulikuwa na kampuni ya kilimo cha ndizi ya kimarekani ambayo ilikuwa ni untouchable ilifikia kipindi kampuni hiyo ikawa na GDP kubwa kuliko hata serikali wananchi waliilalamikia sana kutokana na kufanya mambo kiholela hata kodi kwanza walikuwa hawalipi hii ilikuwa ni athari ya kupachika vibaraka katika nchi za watu,watu wa Guatemala walilia njaa sana kutokana na kuingiliwa na marekani katika mambo yao..kwingineko watu wa Cuba walilia sana na utawala wa mabavu wa kibaraka wa Marekani Fulgencio Batista kabla ya kupinduliwa na baadae Fidel Castro kushika madaraka..So hofu ya Marekani ilikuwa sio tu kupandikiza vibaraka hili kuzuia ucommunist hapna pia ilikuwa ni kwa ajili ya kulinda maslahi ya kiuchumi ya Marekani..Kumbuka hakuna aliyeshikiwa fimbo kuadopt Communism bali ni ile tu raia walichoka kuwa na utawala wa madikteta wa Marekani thus why Wacommunist walipata support sana Marekani kusini
 
[emoji3538][emoji3538][emoji3538]There are reports that Ukrainian troops in Gorskoe and Zolotoe are signaling their readiness to surrender, there are up to 2,000 militants there (numbers are estimates)
Ambassador of the LPR to the Russian Federation[emoji3538][emoji3538][emoji3538]
 
Acha kutuchafulia uzi.
[emoji3538][emoji3538][emoji3538]There are reports that Ukrainian troops in Gorskoe and Zolotoe are signaling their readiness to surrender, there are up to 2,000 militants there (numbers are estimates)
Ambassador of the LPR to the Russian Federation[emoji3538][emoji3538][emoji3538]
 
Hakuna mahali nimezungumzia njaa Africa inasababishwa na vita. Nilichosema ni kwamba Africa ndio mnunuzi mkubwa wa chakula kutoka Russia na Ukraine na wala sio Ulaya kama ulivyokuwa unapotosha kama ulikwa hujui.

Lakini pia sio kweli kwamba matatizo ya chakula kwa sehemu kubwa ya Africa yanasababishwa na mabadiliko ya tabia ya nchi kwa miaka yote au mingi. Mambo yanayoleta shida ya chakula Africa kwa kiasi kikubwa ni umaskini na maendeleo duni kwa sekta zote.
1.Unaweza kutupatia memorandum ya azimio la UN kuipa idhini US kwenda kuweka No Fly Zone Libya!!?,Na ni kweli waliweka no Fly zone au waliishia kuwa side ya waasi na kushambulia misafara ya Ghadafi!!?, US walikuwepo Afghanistan kabla hata ya uwepo wa Taleban madarakani na Osama Binladen ni zao la kwao wao Marekani ishu ilikuwa hivi mwaka 1978 people's Democratic party of Afghanistan(PDPA) iliingia madarakani lakini Marekani kupitia CIA kwa kushirikiana na intelligence ya Pakistani walikuwa wanaunga mkono Mujahedeen ambao walikuwa ni against na Serikali sasa hapo CIA ndio walishirikiana na Osama Bin Laden(mtoto wa tajiri Saudi Arabia) ambaye alikuwa ni kiungo muhimu katika ishu ya Foreign support Financially ambaye baadae pia ndio alikuwa kiungo muhimu wa Alqaeda mpaka hapa unaweza kuona zimwi likujualo.Kwahiyo Serikali mpya ilipoingia madarakani 1992 ilikuwa kibaraka wa Marekani baadhi ya Waafghan hawakuitaka Serikali hii ndipo ambapo Mullah omar aliunda Taleban hili kuitoa serikali ya vibaraka wa Marekani Madarakani..Marekani alipoona vibaraka wamezidiwa ikabidi atafute sababu ya kuvamia Afghanistan hili kuirejesha Serikali ya vibaraka wake Madarakani ndipo akapata sababu ya Al Qaeda na alikuwa na taarifa zote za Intelligence kwamba Al Qaeda wapo mbioni kulipua majengo ya WTC lakini wakakausha wakijua fika mbuzi kafia kwa muuza supu hii itakuwa sababu tosha ya wao kuvamia Afghanistan


2.Umeongelea kuhusu njaa Africa unasema njaa inasababishwa na vita nikakuambia matokeo ya njaa Africa inajulikana ni mabadiliko ya tabia ya nchi ikizingatia nchi zinazoface janga la njaa kwa sasa sio importers wakubwa wa ngano kutoka Russia wewe umetaja Misri,Algeria na Morocco umesikia hizo nchi zinalalamika njaa kwa sasa?

3.Ukomunisti ulilazimishwa au ilikuwa ni matakwa ya viongozi?..Kimsingi USA alikuwa anaogopa sera za Russia kumsogelea karibu ndio maana akajikuta anapachika viongozi vibaraka ambao walihusika pakubwa kusimamia maslahi ya Marekani kwa mfano Guatemala kulikuwa na kampuni ya kilimo cha ndizi ya kimarekani ambayo ilikuwa ni untouchable ilifikia kipindi kampuni hiyo ikawa na GDP kubwa kuliko hata serikali wananchi waliilalamikia sana kutokana na kufanya mambo kiholela hata kodi kwanza walikuwa hawalipi hii ilikuwa ni athari ya kupachika vibaraka katika nchi za watu,watu wa Guatemala walilia njaa sana kutokana na kuingiliwa na marekani katika mambo yao..kwingineko watu wa Cuba walilia sana na utawala wa mabavu wa kibaraka wa Marekani Fulgencio Batista kabla ya kupinduliwa na baadae Fidel Castro kushika madaraka..So hofu ya Marekani ilikuwa sio tu kupandikiza vibaraka hili kuzuia ucommunist hapna pia ilikuwa ni kwa ajili ya kulinda maslahi ya kiuchumi ya Marekani..Kumbuka hakuna aliyeshikiwa fimbo kuadopt Communism bali ni ile tu raia walichoka kuwa na utawala wa madikteta wa Marekani thus why Wacommunist walipata support sana Marekani kusini
 
Litafute azimio 1973 (2011) lilopigiwa kura ya kuungwa mkono na wanachama 10 wa baraza la usalama huku 5 (Brazil, China, Ujerumani, India, Russian) wakiharibu kura zao.

Waliweka no fly Zone Gaddafi akajifanya kichwa kigumu akapambana nao.

Osama hakuenda Afghanistan wala hakuwa na mahusiano yoyote na Afghanistan mwaka 1978. Osama Alienda Afghanistan mwaka 1996 akitokea Sudan baada ya serikali ya nchi hiyo kumuondolea hifadhi yake.

Wamarekani walienda Afghanistan miaka ya 1980 kuwasaidia Mujahideen dhidi ya uvamazi wa USSR/Urusi uliodumu kwa miaka 10 (1979-1989) baada ya wakomunisti wa PDPA wakishirikiana na sehemu ya jeshi kufanya mapinduzi yaliyoishia kuleta vurugu na machafuko makubwa Afghanistan 1978.

Mwisho umekubali mwenyewe ni kweli Al Qaeda walihusika na mashambulizi ya September 11 ila kituko umekubali kwa kuunganisha na conspiracy ya kijinga eti CIA walijua wakaacha tu ili US wapate sababu ya kuivamia Afghanistan, hii ni conspiracy ya kitoto sana. Afghanistan haina rasilimali zozote za maana au mafuta ambayo yangefaa conspiracy theory yako.
Huko juu naona umerukaruka ila mwishowe umeona hila za Marekani na NATO katika kusababisha machafuko kwenye nchi nyingine(rejea hizo nchi zilizolazimisha kuunga mkono azimio hilo hapo utaona ni wazi kabisa nyingine hazikuwa tayari ila kwa hila za Marekani na zense yake ya usuperpower akalazimisha kuingia Libya ambapo mwisho wa siku raisi wa marekani Obama alijuta kwa kuivamia Libya..

Hakuna sehemu umeambiwa OSAMA ameenda Afghanistan lakini Osama kwa kushirikiana na CIA na Pakistan Intelligence walifanya juhudi kubwa sana kufanya external support kwa mujahedeen baadae hapa kupitia mujahedeen ndio taliban na makundi mengine yakaundwa

Alqaueda ni kweli walivamia Majengo ya WTC na umeniita kituko ok fine!!..lakini naomba nikwambie kituko ni wewe unayeamini kila mtu anaishi kwa conspiracy theory kama unavyojiaminisha..Nakazia tena kwa mujibu wa CIA declassified report ni kweli kwamba jaribio la ugaidi la September 11 waliligundua before na kwakuwa CIA hawakuwa na Jurisdiction ya matukio ya ndani ya nchi wakaiachia FBI ambao nao walijua muda sana kinachoenda kutokea na hata MOSSAD walionya kutokea shambulio na wakaanza kutoa alerts kwa waisrael wanaofanya kazi hapo wahame.HAPA CHINI NAKUWEKEA KIPANDE CHA DECLASSIFIED REPORT YA CIA HILI UANGALIE VIZURI HAPO NILIPOWEKA INK NYEUSIqqqq
 

Attachments

  • Screenshot_20220623-165035_Chrome.jpg
    Screenshot_20220623-165035_Chrome.jpg
    230 KB · Views: 6
Hakuna Wakomunusti waliongia Madarakani kwa njia za kidemokrasia.
USSR ilikuwa inatumia propoganda na uharimia wa kijasusi kuzifanya nchi ziingie kwenye ukomunisti kwa mapinduzi . Walifikia hata kujenga ukuta mkubwa wa matofali kati ya Ujerumani Mashariki na Ujerumani magharibi.US naye hakubaki nyuma aliendelea kukabiliana na Ukomunisti kwa njia za wazi na gizani hadi pale USSR ilipoanguka

Kama Mataifa yangekuwa hayashikiwi fimbo kujiunga na Ukomunisti usingeona furaha na shangwe kubwa kama zile za miaka ya 1990 wakati USSR inaanguka na mataifa yalipoamua kwa hiyari yao kuwa na uhuru wao na kufuata ubepari kuliko kubaki ndani USSR
1.Unaweza kutupatia memorandum ya azimio la UN kuipa idhini US kwenda kuweka No Fly Zone Libya!!?,Na ni kweli waliweka no Fly zone au waliishia kuwa side ya waasi na kushambulia misafara ya Ghadafi!!?, US walikuwepo Afghanistan kabla hata ya uwepo wa Taleban madarakani na Osama Binladen ni zao la kwao wao Marekani ishu ilikuwa hivi mwaka 1978 people's Democratic party of Afghanistan(PDPA) iliingia madarakani lakini Marekani kupitia CIA kwa kushirikiana na intelligence ya Pakistani walikuwa wanaunga mkono Mujahedeen ambao walikuwa ni against na Serikali sasa hapo CIA ndio walishirikiana na Osama Bin Laden(mtoto wa tajiri Saudi Arabia) ambaye alikuwa ni kiungo muhimu katika ishu ya Foreign support Financially ambaye baadae pia ndio alikuwa kiungo muhimu wa Alqaeda mpaka hapa unaweza kuona zimwi likujualo.Kwahiyo Serikali mpya ilipoingia madarakani 1992 ilikuwa kibaraka wa Marekani baadhi ya Waafghan hawakuitaka Serikali hii ndipo ambapo Mullah omar aliunda Taleban hili kuitoa serikali ya vibaraka wa Marekani Madarakani..Marekani alipoona vibaraka wamezidiwa ikabidi atafute sababu ya kuvamia Afghanistan hili kuirejesha Serikali ya vibaraka wake Madarakani ndipo akapata sababu ya Al Qaeda na alikuwa na taarifa zote za Intelligence kwamba Al Qaeda wapo mbioni kulipua majengo ya WTC lakini wakakausha wakijua fika mbuzi kafia kwa muuza supu hii itakuwa sababu tosha ya wao kuvamia Afghanistan


2.Umeongelea kuhusu njaa Africa unasema njaa inasababishwa na vita nikakuambia matokeo ya njaa Africa inajulikana ni mabadiliko ya tabia ya nchi ikizingatia nchi zinazoface janga la njaa kwa sasa sio importers wakubwa wa ngano kutoka Russia wewe umetaja Misri,Algeria na Morocco umesikia hizo nchi zinalalamika njaa kwa sasa?

3.Ukomunisti ulilazimishwa au ilikuwa ni matakwa ya viongozi?..Kimsingi USA alikuwa anaogopa sera za Russia kumsogelea karibu ndio maana akajikuta anapachika viongozi vibaraka ambao walihusika pakubwa kusimamia maslahi ya Marekani kwa mfano Guatemala kulikuwa na kampuni ya kilimo cha ndizi ya kimarekani ambayo ilikuwa ni untouchable ilifikia kipindi kampuni hiyo ikawa na GDP kubwa kuliko hata serikali wananchi waliilalamikia sana kutokana na kufanya mambo kiholela hata kodi kwanza walikuwa hawalipi hii ilikuwa ni athari ya kupachika vibaraka katika nchi za watu,watu wa Guatemala walilia njaa sana kutokana na kuingiliwa na marekani katika mambo yao..kwingineko watu wa Cuba walilia sana na utawala wa mabavu wa kibaraka wa Marekani Fulgencio Batista kabla ya kupinduliwa na baadae Fidel Castro kushika madaraka..So hofu ya Marekani ilikuwa sio tu kupandikiza vibaraka hili kuzuia ucommunist hapna pia ilikuwa ni kwa ajili ya kulinda maslahi ya kiuchumi ya Marekani..Kumbuka hakuna aliyeshikiwa fimbo kuadopt Communism bali ni ile tu raia walichoka kuwa na utawala wa madikteta wa Marekani thus why Wacommunist walipata support sana Marekani kusini
 
Hakuna Wakomunusti waliongia Madarakani kwa njia za kidemokrasia.
USSR ilikuwa inatumia propoganda na uharimia wa kijasusi kuzifanya nchi ziingie kwenye ukomunisti kwa mapinduzi . Walifikia hata kujenga ukuta mkubwa wa matofali kati ya Ujerumani Mashariki na Ujerumani magharibi.US naye hakubaki nyuma aliendelea kukabiliana na Ukomunisti kwa njia za wazi na gizani hadi pale USSR ilipoanguka

Kama Mataifa yangekuwa hayashikiwi fimbo kujiunga na Ukomunisti usingeona furaha na shangwe kubwa kama zile za miaka ya 1990 wakati USSR inaanguka na mataifa yalipoamua kwa hiyari yao kuwa na uhuru wao na kufuata ubepari kuliko kubaki ndani USSR

Tuliza wenge wewe
 
Nimerudia kuisoma hiyo screenshot zaidi ya mara 23 sijaona popote ambapo inasema CIA au FBI walikuwa wanafahamu mpango wa Al Qaeda kufanya mashambulizi September 11 2001
Huko juu naona umerukaruka ila mwishowe umeona hila za Marekani na NATO katika kusababisha machafuko kwenye nchi nyingine(rejea hizo nchi zilizolazimisha kuunga mkono azimio hilo hapo utaona ni wazi kabisa nyingine hazikuwa tayari ila kwa hila za Marekani na zense yake ya usuperpower akalazimisha kuingia Libya ambapo mwisho wa siku raisi wa marekani Obama alijuta kwa kuivamia Libya..

Hakuna sehemu umeambiwa OSAMA ameenda Afghanistan lakini Osama kwa kushirikiana na CIA na Pakistan Intelligence walifanya juhudi kubwa sana kufanya external support kwa mujahedeen baadae hapa kupitia mujahedeen ndio taliban na makundi mengine yakaundwa

Alqaueda ni kweli walivamia Majengo ya WTC na umeniita kituko ok fine!!..lakini naomba nikwambie kituko ni wewe unayeamini kila mtu anaishi kwa conspiracy theory kama unavyojiaminisha..Nakazia tena kwa mujibu wa CIA declassified report ni kweli kwamba jaribio la ugaidi la September 11 waliligundua before na kwakuwa CIA hawakuwa na Jurisdiction ya matukio ya ndani ya nchi wakaiachia FBI ambao nao walijua muda sana kinachoenda kutokea na hata MOSSAD walionya kutokea shambulio na wakaanza kutoa alerts kwa waisrael wanaofanya kazi hapo wahame.HAPA CHINI NAKUWEKEA KIPANDE CHA DECLASSIFIED REPORT YA CIA HILI UANGALIE VIZURI HAPO NILIPOWEKA INK NYEUSIqqqq
 
Ewe Mwenyezi Mungu tunakuomba uilinde Urusi, Linda viongozi wao walio bega kwa bega na Putin katika kuwashikisha adabu mashetani.

Mlinde Putin na umwongoze vyema katika kuongoza dunia mpya atakayoitwaa toka mikononi mwa mashetani.
 
Back
Top Bottom