Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
GOD BLESS RUSSIA [emoji635][emoji635][emoji635]
LIVE LONG PUTIN[emoji1377].
LIVE LONG PUTIN[emoji1377].
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini unaficha mkuu,God is behind him.Putin hapigani mwenyewe ana support invisible
AmeenEwe Mwenyezi Mungu tunakuomba uilinde Urusi, Linda viongozi wao walio bega kwa bega na Putin katika kuwashikisha adabu mashetani.
Mlinde Putin na umwongoze vyema katika kuongoza dunia mpya atakayoitwaa toka mikononi mwa mashetani.
good to hear that news!! praying to happens more than that!![emoji3517]BREAKING: Takriban au zaidi ya wanajesh wa ukraine 500 wa Brigedi ya 59 wameuwawa baada ya workshop ya kutengeneza meli walipokuwa wamejificha uko Nikolaevk kuharibiwa vibaya na makombora.
Taarifa za awali kulikuwa na mamluki kama 30 wa [emoji631][emoji636] wameuwawa na wengine kujeruhiwa
Naona uliamua kupumzika kabisa baada ya kuona mambo hayaeleweki tena.Zaidi ya wanajesh 2000 wa Ukraine wewekwa mtu kati. Option ni mbili kujisalimisha au kuuwawa. View attachment 2268951
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naona uliamua kupumzika kabisa baada ya kuona mambo hayaeleweki tena.
1.Marekani amevamia nchi zifuatazo na kuua maelfu ya watu Libya,Yemen,Iraq,Afghanistan,na makumi ya nchi hapa duniani.
2.aslimia kubwa ya stock ya Chakula cha Urusi haiendi Africa kimsingi Ulaya ndio hasa inategemea chakula cha Urusi,Africa has nothing to do with it.
3.Marekani anahusika kupachika madikteta zaidi ya Robo tatu katika nchi za America kusini zikiwemo Guatemala,Cuba(Furgencio Batista),Bolivia n.k
Kwahiyo unataka kutuambia nn ndugu Yodavichenko!?
Uko zako mbande hata kutengeneza kiberiti hujui unakandia USA nchi inayoifadhiri nchi yako ili wewe uishi vizuri kenge wahed....hapo ulipo unatumia kitu gani kutoka kwa mpumbavu mwenzio Russia ?