Asante Sana Urusi, Asante sana Vladimir Putin kwa kusimama kiume dhidi ya Mafedhuli

Asante Sana Urusi, Asante sana Vladimir Putin kwa kusimama kiume dhidi ya Mafedhuli

[emoji3517]BREAKING: Takriban au zaidi ya wanajesh wa ukraine 500 wa Brigedi ya 59 wameuwawa baada ya workshop ya kutengeneza meli walipokuwa wamejificha uko Nikolaevk kuharibiwa vibaya na makombora.

Taarifa za awali kulikuwa na mamluki kama 30 wa [emoji631][emoji636] wameuwawa na wengine kujeruhiwa
good to hear that news!! praying to happens more than that!!
 
1.Marekani amevamia nchi zifuatazo na kuua maelfu ya watu Libya,Yemen,Iraq,Afghanistan,na makumi ya nchi hapa duniani.

2.aslimia kubwa ya stock ya Chakula cha Urusi haiendi Africa kimsingi Ulaya ndio hasa inategemea chakula cha Urusi,Africa has nothing to do with it.

3.Marekani anahusika kupachika madikteta zaidi ya Robo tatu katika nchi za America kusini zikiwemo Guatemala,Cuba(Furgencio Batista),Bolivia n.k

Kwahiyo unataka kutuambia nn ndugu Yodavichenko!?

Mkuu, ni vigumu sana kumuelewa jamaa huyu!!
 
Uko zako mbande hata kutengeneza kiberiti hujui unakandia USA nchi inayoifadhiri nchi yako ili wewe uishi vizuri kenge wahed....hapo ulipo unatumia kitu gani kutoka kwa mpumbavu mwenzio Russia ?

Kwa akili zilizochuchumaa kama hizi lazima uwe tu MTOTO WA KUKU. Hamna namna tena!
 
Back
Top Bottom