Kiufupi mtoa mada umenisonononesha sana kwakwel,,hv unadhani mpaka mwanamke mpaka kutoa hela yake mfukoni ni ishu ndogo??...yaan nataman ningekuwa karibu na ww NIKUKANDE MAKOFI...mwanamke ana namna mbalimbali ya kutongoza ila sio kwa mdomo kamwe...mimi kuna demu kila siku nikikutana nae anazisifia ndevu zangu nikaona sio kase nikamwita geto aje AZISIFIE kwa ukaribu tukiwa kitandani