Asanteni sana PSU chini ya TISS kwa kazi nzuri na iliyotukuka mlioifanya kwa huyo aliyekuwa 'mtoto mpendwa'

Asanteni sana PSU chini ya TISS kwa kazi nzuri na iliyotukuka mlioifanya kwa huyo aliyekuwa 'mtoto mpendwa'

Hana akili ya kutengeneza pesa bali kudhulumu na kuwatisha wahindi na waarabu wampe pesa kwa nguvu ya madaraka aliyokuwa nayo[ EXTORTIONIST]!!!

Na Watu wengi 'wasichokijua' tu ni kwamba huyu 'Juha' sasa hivi hana Amani na Furaha kwakuwa anajua 'Laana' za 'aliowatesa' zinamuingia hasa!!
 
Bashite yeye alitampoteza nyaulingo kupoteza ushahidi na yeye asipokuwa makini atapotezwa ili wapoteze ushahidi wa shambulio la Tundu aliloliratibu vibaya mpaka mtukufu kumchukia sana
Waliotaka lisu afe kabla yao wengi wametangulizana wao kabla ya lisu.
Mwanaume unatumika kumuuwa MTU then ukimaliza unauliwa kuficha siri unaacha familia hii ni akili matope unatofauti gani na shoga
 
Bashite kafurahi kupata mapacha hali kuna wazazi wanahuzunika kupoteza watoto wao.
Herode baada ya kuwauwa watoto wa kiebrania alipozaliwa Yesu,wake Mungu aliwauwa walipokuwa wakubwa ili apate maumivu zaidi kuliko waliyopata waebrania,apandacho MTU ndicho.
 
Na baada ya Pompeo kumjia juu na kumpiga ban ya kutokanyaga USA yeye pamoja na ndugu zake .. Ndio serikali ya ccm ikashtuka kwamba huyo kijana wasipo mchukulia hatua atakuja kuiingiza nchi matatizoni
Walishachelewa,Leo hatuna uhusiano na hata east afrika zaidi ya Burundi, sababu ya watu waliokosa malezi bora utotoni
 
Mtukufu anaplan ya kumpa uwaziri baada ya kumzawadia ubunge katika vile viti 10
Tutamsalia mtu, tutapukutishwa kama kuku,wakati sahihi ni sasa tukirudia kosa watang'ang'ania madaraka hadi 2040 huku tukiwa tumesambaratika kabisa
 
Njoo nikufire **** la mamaako kama umezoea kuuza mkunduu ni wewe.

Sikuwahi kudhania kuwa hata Wewe Mtu wa Idara 'Nyeti' nchini ungeweza 'Kupanikishwa' tu hivi hadi 'Kujidhalilisha' kwa haya 'Matusi' makubwa!!!
 
Kwenye hili nafikiria tofauti kidogo na watu wengi, Magu huyu Makonda kamute kidogo ili aonekane yeye ni msafi then baada ya hapo utamuona tena kwenye State akishinda.

Note hii comment
Utakuwa sahihi, aliemuheshimisha ndie kamshusha na bado anayo mamlaka ya kumuheshimisha tena.
 
Kuna Watu nakumbuka hapa hapa Jamvini JamiiForums GENTAMYCINE niliposema kuwa aliyekuwa 'Mtoto Mpendwa' wa Mkoa wa Dar es Salaam Mr. Taulo la Christina Linanikondesha hana chake tena katika Mfumo (System) ya nchi hii hawakunielewa na wapo walionihakikishia kuwa Baba yake hatomuacha na bado ataendelea tu Kumbeba.

Sasa ninawataarifuni hapa hapa kuwa baada ya leo kuanza kupewa 'Dozi' yake ya awali kabisa pale Dodoma kupitia Walinzi wa Kikosi cha Rais (PSU) 'Kuzuiwa' kwenda Kuketi Jukwaa Kuu kama alivyozoea kuna 'Dozi' yake nyingine ya Pili inakuja ambayo hii sasa ni ya Kumuharibu kabisa 'Kisaikolojia' na nataoa 'Tahadhari' mapema kwa Watu wake wa karibu huyu Mtu anaweza hata kuja 'Kujiua' tu.

Halafu kuna Jambo ambalo linauma kama leo hii wale Watu ambao walikuwa 'wakikunyenyekea' na 'ukiwatesa' ndiyo Wanakuadabisha bila Uwoga.
Akili fupi tu.Kwa kosa lipi ? Majaliwa kawaambia leo kuwa kura hazikutosha lakini wanateulika.Hapo weaka moja kichwani kama Mungu amekujaalia kufikiri
 
Sikuwahi kudhania kuwa hata Wewe Mtu wa Idara 'Nyeti' nchini ungeweza 'Kupanikishwa' tu hivi hadi 'Kujidhalilisha' kwa haya 'Matusi' makubwa!!!
🤣🤣🤣 Harudi tena huku, atabakia Facebook na Instagram kwa watoto wa shule.
 
Kwenye hili nafikiria tofauti kidogo na watu wengi, Magu huyu Makonda kamute kidogo ili aonekane yeye ni msafi then baada ya hapo utamuona tena kwenye State akishinda.

Note hii comment
exactly my thoughts.

anawazuga Watz tu ili wampe kura kijinga!
 
Back
Top Bottom