Ndo HV HV mlisema kwa GalaxyMa simba mkienda kwao Asec mimosas mjipange kwa kweli
Ndo nachotaka na mie.Mungu Saidia game iishe draw
Hii game anakufa wydad ni suala la mda tuMungu Saidia game iishe draw
Alafu ukija na pesa wanakupa tu, msimu ujao wanawasha kama kawaida. Aisee.Asec kuna dogo (Kabore) ana miaka kumi na sita na kaanza kikosi cha kwanza.
Hawa jamaa wapo serious kwenye kutengeneza vijana.
mkashinda?Ndo HV HV mlisema kwa Galaxy
Kabisa...Mungu Saidia game iishe draw