SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
Jana nilishauri weka Chama, Phiri na Luis pale mbele utaona maajabu tena waanze siyo unawaingiza dakika ya 80. Tunafanya mambo yanakuwa magumu bila sababu ya msingi.Kwa forward hii ya kina beleke 🤣🤣