Kilimbatz
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 4,331
- 5,865
AahaaaaKila la kheri timu langu Wydad Casablanca
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AahaaaaKila la kheri timu langu Wydad Casablanca
Acha akapambane na mnyama wauane wenyeweIla pia nimefurahi sana kuona timu ya waarabu inaburuza mkia na haina hata point 1. Tena litimu giant na maarufu sana. *****.
Asec na Jwaneng waachiane point pointKule kwa jwaneng na aisec na wao watacheza mechi mbili mfululizo za wao kwa wao.
Wote wana point 4.. mechi zao mbili atakaeshinda anafuzu. Bila kurudiana na simba ama waydad
Pambana kwanza na Wydad home and awayJwaneng, Asec, wydad fanyeni mfanyavyo tunawagonga nje ndani na kufuzu kibabe.
Simba ana shughuliJwaneng, Asec, wydad fanyeni mfanyavyo tunawagonga nje ndani na kufuzu kibabe.
Wakiweza kufanya hivi watafuzu, ila wapambane kweli kweliWydad vs Simba (ugenini) point 1
Simba vs wydad (nyumbani) point 3
Asec vs Simba (ugenini) point 1
Simba vs Galaxy ( nyumbani ) point 3
Points tulizo nazo 2.
Itakuwa 2+1+3+1+3=10
Ingewezekana hivo tunafuzu
Tunahakikisha tunashinda mechi mbili kwa mechi zilizobaki na draw mbili
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi unataka baleke afunge hatrick ilihali wachezaji anaoanza nao mechi ni kina Onana,Saido na kibu .Wachezaji ambao haeatengenezi nafasi kwa striker wala hawana maamuzi mazuri wanapokuwa ktk final third.Cha kushangaza wachezaji viwango vyao vinashuka mbele ya macho yetu wakiwa ndani ya Simba. Onana yule aliyecheza mechi ya Simba Day siyo huyu tena. Kuna uzi nilisema kuna mechi ya kwanza au ya pili ya msimu, kuna jambo niliona alilifanya nikajua huyu hatunaye tena.
Luis alionyesha flash za ubora mechi kadhaa za mwanzo ingawa bado hakuwa na ubora wa zamani ila sasa hivi ameshuka zaidi.
Che Malone aliyecheza mechi ya Simba Day siyo huyu wa sasa.
Phiri anayeimbwa na wengi naye hivyo hivyo hadi kuna watu wanadiriki kusema hafai kuwepo Simba. Hapo sijamuongelea Baleke aliyekuwa anapiga hat trick za kutosha msimu wake wa kwanza, sasa hivi kufunga goli moja tu ni mtihani.
Tujiulize inakuwaje viwango vya wachezaji wa Simba vimekuwa vinaporomoka ghafla?
Jwaneng na Assec mmoja lazima aende robo, na kat ya simba na wydad mmoja lazima aende robo.Kule kwa jwaneng na aisec na wao watacheza mechi mbili mfululizo za wao kwa wao.
Wote wana point 4.. mechi zao mbili atakaeshinda anafuzu. Bila kurudiana na simba ama waydad
Atakandwa yeye [emoji23][emoji23][emoji23]Atawakanda
Saidoo asicheze, akicheza n dkk 45 tyuuh.Jana nilishauri weka Chama, Phiri na Luis pale mbele utaona maajabu tena waanze siyo unawaingiza dakika ya 80. Tunafanya mambo yanakuwa magumu bila sababu ya msingi.
Nlshatazama jana.ZBC2
Li Saidooo hili mbna hamlitaji, lenyewe linafanya nn kwan? Si kujiangusha hovyoo tyuuh.Onana hakabi,halafu anapenda ku-dribble na hawezi mpira unanyang'anywa, akipewa mpira unaweza ana space kubwa ya kutoa pasi nzuri na watu wapo kwenye nafasi yeye anaanza kuchenga na mpira unapotea mnaanza kutafuta,hicho miquison alikuwa anaweza zamani,sasa hivi naye hivo hivo hata kukimbia tu hawezi, huyu kocha kama viongozi watamsikiliza sidhani kama wataendelea simba hata msimu mdogo,hizo nafasi watu wakipatikana wasipoachwa watasahaulika benchi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usijitoe ufahamu, suala siyo anacheza na nani, Baleke alipokuja Simba ilikuwa nafasi moja tu anakuliza, na alipokuwa anafunga hizo hattrick alikuwa anacheza na hao hao kina Kibu na Saido. Chama ameanza kufanyiwa sub mechi kama 2 tu zilizopita.Hivi unataka baleke afunge hatrick ilihali wachezaji anaoanza nao mechi ni kina Onana,Saido na kibu .Wachezaji ambao haeatengenezi nafasi kwa striker wala hawana maamuzi mazuri wanapokuwa ktk final third.
Chama ambaye alikuwa akipika mabao mengi ya Simba msimu uliopita ndio huyu anayeingia uwanjani ktk dk ya 70 huku striker akiwa kachoka ama katolewa. Unategemea striker atafanya miujiza gani?
Kilio changu cha muda mrefu toka msimu uliopita, hatimae wengine mmeweza kuliona hiloSaidoo asicheze, akicheza n dkk 45 tyuuh.
Kocha anatufelisha.
Aahaaaa