JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Yanga na Simba zinatarajiwa kukutana katika Nusu Fainali ya Azam Sports Federation Cup (ASFC) 2021/22, leo Jumamosi Mei 28, 2022 kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza, huo ni mchezo wa mwisho kwa timu hizo kukutana msimu huu.
Katika mechi zote mbili za Ligi Kuu Bara msimu huu hakuna mbabe, zilimalizika kwa sare, mchezo wa leo unaoanza saa 9:30 Alasiri ni lazima ushindi upatikane, hivyo lazima upande mmoja wacheke wengine wahuzunike.
Unadhani ni mashabiki wa timu gani watatoka vichwa chini baada ya matokeo pale Uwanja wa CCM Kirumba?
=====================
Kinachoendelea muda huu mitaa ya Kirumba jijini Mwanza.
Katika mechi zote mbili za Ligi Kuu Bara msimu huu hakuna mbabe, zilimalizika kwa sare, mchezo wa leo unaoanza saa 9:30 Alasiri ni lazima ushindi upatikane, hivyo lazima upande mmoja wacheke wengine wahuzunike.
Unadhani ni mashabiki wa timu gani watatoka vichwa chini baada ya matokeo pale Uwanja wa CCM Kirumba?
=====================
Kinachoendelea muda huu mitaa ya Kirumba jijini Mwanza.