JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
We ni shabiki wa team gani?Lets wait n see.
!!!!
Kolo ntakurudia baada ya mpira kuisha kaa kwa kutulia Yanga 2 Kolo 1[emoji23][emoji23]kwa nyomi la mashabiki la simba leo hapo kirumba uto sijui mnatokaje leo
cha msingi uto usizime simuKolo ntakurudia baada ya mpira kuisha kaa kwa kutulia Yanga 2 Kolo 1[emoji23][emoji23]
πππππcha msingi uto usizime simu
Upo juu ya mwamba likipata moto utaungua makalioWale tuliowahi chance ktk vilima vya kirumba na kitangiri ili tushuhudie hii mechi bure naomba tujuane hapa π
Kwani we upo juu ya kigoda?Upo juu ya mwamba likipata moto utaungua makalio
Nimeuliza tu Mimi nipo naangalizia runingani.Kwani we upo juu ya kigoda?
Sipendi sarau