Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Mhuni Tu huyuMmiliki wa bendi ya mziki ya Twangapepta awagawa watanzania.
Asha Baraka ametoa maneno ya chuki na kibaguzi dhidi ya wana ccm na watanzania wengine wasio wana ccm.
Ebu msikilizeni ila tunamwambia kuwa kapanda ajihidi sana kuvuna alichokipanda.View attachment 2880803
Twanga pepeta imekufa hana pakuongelea maskini.Mmiliki wa bendi ya mziki ya Twangapepta awagawa watanzania.
Asha Baraka ametoa maneno ya chuki na kibaguzi dhidi ya wana ccm na watanzania wengine wasio wana ccm.
Ebu msikilizeni ila tunamwambia kuwa kapanda ajihidi sana kuvuna alichokipanda.View attachment 2880803
Sijajua ila kwa kumnukukuu amesema hy n sehemu ya ccm hvy yupo sahihi kusema Chadema wasifike hapoSio kwamba p o m b e zinamsumbua?
Na kuanza kwa kishindo kwenye kombe la ligi ya mabingwa wa Afrika[emoji2960][emoji2960][emoji2960]Huyu ndie mshauri wa simba anamshauri CEO, Mangungu etc[emoji1][emoji1][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa naamini thats why whatsapp channel kwao ni mafanikio
Ni kweli lakini umeona kweli serikali ikisimamia uvunjwaji wa sheria? Viongozi wa CCM wamekuwa mstari wa mbele kuvunja sheria vivyo hivyo wa wanachama wao.Mkuu ulevi siyo green light ya kuvunja sheria
Bado cjaona kosa lake kwa alichokiongea. Labla kama Chadema mnataka kulipiza kisasi kwa kuwabania nafasi.Yeye ni mfanya biashara za mziki na pia ana bar yake pale Kibaha anauza vinywaji na lounge mzuri tu ambayo anahitaji kupata wateja.
Kwa matamshi haya wapinzani waamue kususia huduma za lounge yake .
Maana anasema sehemu ya ccm hairuhusiwi kutumiwa na wapinzani.
Sasa ajiandae awauzie tu wana ccm wenzake kuanzia Sasa.
Sidhani kama viongozi wa sehemu husika watalifumbia macho hili maana lina matokeo mabaya sanaNi kweli lakini umeona kweli serikali ikisimamia uvunjwaji wa sheria? Viongozi wa CCM wamekuwa mstari wa mbele kuvunja sheria vivyo hivyo wa wanachama wao.
Sijui ataamua yeye mana ndie mmilikiKwahiyo hata kwenye bar yake atawauzia pombe zake ccm wenzake tu.
Mzee huo siyo utamaduni wa watanzania najua na wewe unalielewa hilo.Bado cjaona kosa lake kwa alichokiongea. Labla kama Chadema mnataka kulipiza kisasi kwa kuwabania nafasi.
Nikuulize wewe, unaweza kwenda kuuza nguo zenye nembo ya Chadema kwenye ofisi za ccm.?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyu ndie mshauri wa simba anamshauri CEO, Mangungu etc[emoji1][emoji1][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa naamini thats why whatsapp channel kwao ni mafanikio
Umebadili gia angani? Umekimba maandamano unaweweseka na maccm.Mmiliki wa bendi ya mziki ya Twangapepta awagawa watanzania.
Asha Baraka ametoa maneno ya chuki na kibaguzi dhidi ya wana ccm na watanzania wengine wasio wana ccm.
Ebu msikilizeni ila tunamwambia kuwa kapanda ajihidi sana kuvuna alichokipanda.View attachment 2880803
Naelewa mkuu, lkn mm nazungumzia pale mali ya mtu kuja kutumiwa na mtu ambaye sio sahihi kutumiaMzee huo siyo utamaduni wa watanzania najua na wewe unalielewa hilo.
Utamaduni wetu ni kuishi wote kama ndugu
Eneo lenyewe unalijua na nini kinafanyika hapo au umeegemea kwenye unazi wa vyama tu? Yule kafanya kwa ulevi wake tu lakini amekosea sana.Naelewa mkuu, lkn mm nazungumzia pale mali ya mtu kuja kutumiwa na mtu ambaye sio sahihi kutumia