Kumbe wee ni wa kinole 🤣🤣🤣🤣Me ni Muha wa Morogoro
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe wee ni wa kinole 🤣🤣🤣🤣Me ni Muha wa Morogoro
Mbinguni hakuna menejaNdo kwanza siwazi, mimi ni mtoto haramu lakini ni meneja kiwanda X cha cement. Pia nina hisa kwenye kampuni X ya vigae. Pia nina mtoto haramu aliyeko Addis Ababa Jeshini. Watoto halali wote wa father ni fundi Ujenzi kisesa
Sio kweli.Watoto wengi wa nje ya ndoa ndio waliofanikiwa/wanaofanikiwa.
Mwanaharamu menyewe!
UMeona ee.Kuoa ukiwa na miaka 30 ni kujitakia maana hakuna aliye kukataza kuoa ukiwa chini ya miaka 30 ,uzinzi ni uovu kama uovu mwingine na umesababisha maafa ndani ya jamii.
Umeona ee.KITANDA HAKIJAWAHI ZAA HATA SIKU MOJA. MIMI NINA VITANDA TOKA MIAKA YA 90 MPAKA LEO HAKUNA AMBACHO KIMEZAA...
Kwa hiyo unatuhakikishia kuwa na Ishmail, Peresi (babu wa Daudi), Sulemani na Yesu wote ni watoto wa haramu siyo? Unapaswa kutapika matango pori uliyolishwa.Tusipunguze ukali wa maneno wala nini, mliozaliwa nje ya ndoa wote ni wana haramu.
Mlipatikana kwa njia ya uzinzi kinyume na mipango ya Mungu.
Na mnaozaa nje ya ndoa watoto wenu ni wana haramu.
Vijana fungeni ndoa mpunguze kizazi cha wana haramu