Asikwambie mtu, kumiliki a Brand New Mercedes Benz is so much fun

Asikwambie mtu, kumiliki a Brand New Mercedes Benz is so much fun

Zimekaa poa saana zile. Siku hizi wanaziita GLS. Na bei zinashuka haraka kuliko Land Cruiser. Sema wasiwasi wangu ni kwenye vipuli na mafundi wetu.

Sure kitu AMG hicho,Kuna mbunge analo hilo ndani lipo kama ndege na speed yake ni balaa.

Ngoja niimbe ule wimbo wa 'tenda miujiza'.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Wataumbuka wengi
Kuna biashara haramu kibao humo

Sent from my SM using Tapatalk
Sure kitu AMG hicho,Kuna mbunge analo hilo ndani lipo kama ndege na speed yake ni balaa.

Ngoja niimbe ule wimbo wa 'tenda miujiza'.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Bana hizo gari ni balaa. Nilipewa lift kwenye S Class, usifanye mchezo. Ndani ni kuzuri balaa. Akikuwekea seat heaters na massage, unaweza usishuke. Omba siku moja uliendeshe utoe gundu. Maana G class tena AMG ni next level. Bei yake hata S class haitii mguu.
 
Hehehee. Waliniruhusu aise. Ukitaka hata test ride wanakupa. Nilikuwa more interest na the S Class. Ndio niliingia ndani. Nitaleta hiyo video soon.


Swali la pili umesahau kulijibu.....
 
Hahahahahahahaha

aliekuloga mama nadhan ameshafariki


Wewe na Rugambwa ni mtu mmoja??

Hivi kuna wachawi duniani? na kama wanachawia, mbona huwa hawachawii wao wasife? waishi milele na milele? Kuna anayependa kufa kweli...!!!??

Wewe aliyekuroga bado yupo??

K' Matata.
 
Wewe na Rugambwa ni mtu mmoja??

Hivi kuna wachawi duniani? na kama wanachawia, mbona huwa hawachawii wao wasife? waishi milele na milele? Kuna anayependa kufa kweli...!!!??

Wewe aliyekuroga bado yupo??

K' Matata.
Mmmh
 
Back
Top Bottom