MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
Trouble in tooown!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Trouble in tooown!
Mzee hii machine ni hatari sanaaaa.
Kuna dogo moja hivi analo bwana: Tunanyooka sana.G wagon mpya hiyo eeh! Safi saana. Enzi hizo walikuwa nazo maaskofu. Siku hizi naona wamehamia kwenye Land Cruiser.
Duu! Kweli ni heshima aise. Safi saana. Wabongo siku hizi tunajitusua. Hilo dude linageuzisha watu shingo popote duniani.Kuna dogo moja hivi analo bwana: Tunanyooka sana.
Saana. Kodi iko juu balaa. Na ukitaka model ya karibuni ndio utakimbia.
Hii ndio G wagon ya kwanza ku fall inlove nayo. Imekuwa designed with appealing round edges hata taa zake ziko very tempting. G wagon inapendeza ikiwa hivi bila kuweka ma kit ya ajabu ajabu.
Hahahahaaa!Niombeeni dua njema.Sasa wewe chuma kama hicho hapo juu utakidaka lini mzee ?
Kuna jamaa wa YouTube, Doug DeMuro, aliwaponda saana kwenye channel yake, naona wakafanya maboresho. Ametoa video nyingine na ku appreciate hizo changes.Hii ndio G wagon ya kwanza ku fall inlove nayo. Imekuwa designed with appealing round edges hata taa zake ziko very tempting. G wagon inapendeza ikiwa hivi bila kuweka ma kit ya ajabu ajabu.
Mtu bora ununue South Africa uje nalo Tanzania na usajili wa South uliombee kibali cha mwaka kikiisha unaongeza huku unaendelea kutumia nchini.Saana. Kodi iko juu balaa. Na ukitaka model ya karibuni ndio utakimbia.
Hiyo nasikia mwisho ni miezi kadhaa. Baada ya hapo unakamatwa. Lazima uisajili kwa huku.Mtu bora ununue South Africa uje nalo Tanzania na usajili wa South uliombee kibali cha mwaka kikiisha unaongeza huku unaendelea kutumia nchini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hiyo brand new ukiendesha ndani ya mwaka unakuwa walau umefikia maximum satisfaction kwa maisha ya mtanzania.Hiyo nasikia mwisho ni miezi kadhaa. Baada ya hapo unakamatwa. Lazima uisajili kwa huku.
Hehehee, I like your spirit kwa kweli. Bana ina satisfaction yake kweli. Kwanza sijui inanukia nini. Nafikiri inakuja na mafuta ya kiwandani pia, maana mmmhMkuu hiyo brand new ukiendesha ndani ya mwaka unakuwa walau umefikia maximum satisfaction kwa maisha ya mtanzania.
Unajikaza kulipia vibali vya kutumia hata kama ni miezi 4 najua ndani ya mwaka utalipia mara 3.
Brand new ina raha yake, inatoa stress zote na kukupa heshima.
Sent using Jamii Forums mobile app
Zimekaa poa saana zile. Siku hizi wanaziita GLS. Na bei zinashuka haraka kuliko Land Cruiser. Sema wasiwasi wangu ni kwenye vipuli na mafundi wetu.
Mkuu naitafuta hiyo ya zamani hata kama imekufa nitaiamshaG wagon mpya hiyo eeh! Safi saana. Enzi hizo walikuwa nazo maaskofu. Siku hizi naona wamehamia kwenye Land Cruiser.
Nimecheka balaa, lakini hii harufu nzur hata zitokazo japan zenye uhafadhali zinanukia. Hivi aliyonayo yusuf bakhresa ndo km hii msemayo g wagon? Imeandikwa BRABUSHehehee, I like your spirit kwa kweli. Bana ina satisfaction yake kweli. Kwanza sijui inanukia nini. Nafikiri inakuja na mafuta ya kiwandani pia, maana mmmh
Hiyo safi saana. Maana wanakuondoloea usufumbu wa kutafuta mjeta kuuza gari lako la zamani. Na unakuta hauongezi pesa nyingi saana kama gari limetunzwa vizuri.Kuna siku nilipita ford kule changombe,wana kama warehouse flan,ndo vifaa vyote vya gar zao vipo kule,batery etc...kuna gar mpya tuu huko,0km...wale jamaa kama ukichkua gar kwao,halaf badae kama imetoka brand new,unaongeza pesa unabadili gar wanakupa brand new
Wanasema ndo utaratib wa kampuni nying,..kwa gar mpya lakin,0km
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes, wamebadilisha naming system yao, na kuongeza hizo CLC NA GLA. GLE zamani ilikuwa ML au M Class. Hizo Bongo naziona nyingi kidogo, japo ni zile model za zamani.Kuna Gl E, Gl C na GLS. Zinaendana na salon models A, C, E na S. So GLS ina options zote kwa kiwango cha juu ikifuatiwa na GLE
Sent using Jamii Forums mobile app
Bana, hizo gari hazifi. Ni kama Land Rover 109 na Defender. Watu wamezitumia kwa miaka kibao na bado zipo. Ila nimepitia website za used cars nimeziona, ila mkasi wake bado uko juu kwa gari la kizamani.