Asikwambie mtu, kumiliki a Brand New Mercedes Benz is so much fun

Asikwambie mtu, kumiliki a Brand New Mercedes Benz is so much fun

Nimecheka balaa, lakini hii harufu nzur hata zitokazo japan zenye uhafadhali zinanukia. Hivi aliyonayo yusuf bakhresa ndo km hii msemayo g wagon? Imeandikwa BRABUS

Sent using Jamii Forums mobile app
Hehehee, zinanukia vizuri aise. Na harufu haishi. Sio ile ya ku spray kwenye car wash.

Ile ni G class yes. Sema iko tuned na hoo watu wa BRABUS. Ni kampuni inayotune (kama ku customize) magari ya Mercedes, lakini mara nyngi hawabadilishi mwonekano wa nje, ila wanaweka logo yako ya B. Lile dude ni zuri balaa. Niliwahi kuona picha zake.
 
Mercedes Benz ni moja ya magari ambayo naona hayajakosewa kabisa aisee hapo kwa kaburu ndio wanafyatua matoleo mapya ya vijana kila mwezi na ukijaribu kudrive Benz huwezi kuendesha Gari zingine ukaona Comfort iliyopo humo pamoja na balance walitengeneza Gari hao jamaa na uzuri ina spare imara sio za kubadilisha badilisha...tatizo kodi yake imenyanyuka sana hasa haya matoleo ya 2012 kuendelea...
 
Mercedes Benz ni moja ya magari ambayo naona hayajakosewa kabisa aisee hapo kwa kaburu ndio wanafyatua matoleo mapya ya vijana kila mwezi na ukijaribu kudrive Benz huwezi kuendesha Gari zingine ukaona Comfort iliyopo humo pamoja na balance walitengeneza Gari hao jamaa na uzuri ina spare imara sio za kubadilisha badilisha...tatizo kodi yake imenyanyuka sana hasa haya matoleo ya 2012 kuendelea...
Naunga mkono hoja. Japo jamaa wanasema lile la nyumbani kwa Mjerumani ni habari nyingine. Sababu huko benz zinatumika kwa karibu kila kazi. Mpaka taxi. So ni gumu balaa. Hizi za nje huwa sio imara saana.
 
Naunga mkono hoja. Japo jamaa wanasema lile la nyumbani kwa Mjerumani ni habari nyingine. Sababu huko benz zinatumika kwa karibu kila kazi. Mpaka taxi. So ni gumu balaa. Hizi za nje huwa sio imara saana.
Mjerumani anachokifanya ni kutoa leseni hao wengine watengeneze kwa ubora wake ndio maana alimfutia leseni Mjapani kuzitengeneza zilikua zinakua nyepesi sana...Mkuu Benz hazijakosewa amini ninachokueleza ndio maana hata kwa sisi tunaosafiri umbali mrefu kutoka Johannesburg mpaka Tanzania hutakutana na Benz imesumbua bara barani tatizo la umeme au haliwaki kama magari mengine hicho kitu sahau kabisa..
 
Mjerumani anachokifanya ni kutoa leseni hao wengine watengeneze kwa ubora wake ndio maana alimfutia leseni Mjapani kuzitengeneza zilikua zinakua nyepesi sana...Mkuu Benz hazijakosewa amini ninachokueleza ndio maana hata kwa sisi tunaosafiri umbali mrefu kutoka Johannesburg mpaka Tanzania hutakutana na Benz imesumbua bara barani tatizo la umeme au haliwaki kama magari mengine hicho kitu sahau kabisa..
Okay, hizo za SA kweli sina uzoefu nazo saana. US ndio nilisikia jamaa wanalalamika. Kwamba Benz za kwao kidogo zinasumbua ukilinganisha na imports from Ujerumani au zile zinazouzwa Ulaya.
 
Okay, hizo za SA kweli sina uzoefu nazo saana. US ndio nilisikia jamaa wanalalamika. Kwamba Benz za kwao kidogo zinasumbua ukilinganisha na imports from Ujerumani au zile zinazouzwa Ulaya.
Sio saloon car tuu hata upate Benz Actros roli au Scania ya kaburu ipo tofauti na za Ulaya...
Benz Mimi nimezipitisha na SA ikiwa katika Auction za ajali haina bei tofauti na Gari zingine hata kama haijagongwa bei ipo kawaida sana tatizo kodi...kuna wahindi wanayajua machaka mengi ya Benz SA wanauza Benz zimenyooka sana hapo Borgsburg na bei nzuri tu..
 
Sio saloon car tuu hata upate Benz Actros roli au Scania ya kaburu ipo tofauti na za Ulaya...
Benz Mimi nimezipitisha na SA ikiwa katika Auction za ajali haina bei tofauti na Gari zingine hata kama haijagongwa bei ipo kawaida sana tatizo kodi...kuna wahindi wanayajua machaka mengi ya Benz SA wanauza Benz zimenyooka sana hapo Borgsburg na bei nzuri tu..
Kwa kweli jamaa huwa ninawakubali saana kwenye technologia. Hata ukipanda Actros, ndani ni comfortable utadhani saloon car. Ila soon wataanza kuziassembe Afrika Mashariki. Wenda itasaidia kwenye kodi.
 

Kwa kweli watu wanaonunua brand new cars (wengi tunaziita 0 km) wanafaidi saana. Yaani unakuta gari ni safi, kila kitu kiko on point, miguu imekaa vizuri, seat ni safi, rangi imetulia hakuna scratch hata moja, taa zote zinang'ara, yaani mpaka tairi ni mpya. Sasa ukute ni gari la Mjerumani kama hilo E class nililobahatika kuliona ndio usipime. That was my first time around a brand new car, ila nimegundua kwa kweli sisi tunaonunua used cars za miaka 10 iliyopita na zaidi, tunamiss vitu vingi saana.

Unavonung'unika aisee Nenda kanunu New bland moyo wako utulia, maana unapunjwa na akina manji, dewji 😂😂😂
 
Unavonung'unika aisee Nenda kanunu New bland moyo wako utulia, maana unapunjwa na akina manji, dewji 😂😂😂
Hehehee. One day kitaeleweka aise. Maana hii inabidi kujipa moyo kama wale jamaa wa masoko ya mtandao.
 
G wagon mpya hiyo eeh! Safi saana. Enzi hizo walikuwa nazo maaskofu. Siku hizi naona wamehamia kwenye Land Cruiser.
Hii machine ukiichek befoward inagonga $35,000 na mailage kama 90,000km kudadeki
 
undefinedinakaa kama landrover 109
Huyo mzee baba unamfananisha na Landrove'109?
2019-G-SUV-FUTURE-HIGHLIGHTS-01-D.jpg
 
Back
Top Bottom