RugambwaYT
JF-Expert Member
- Jan 11, 2014
- 1,397
- 1,899
- Thread starter
- #81
Ya mwaka gani hiyo?Hii machine ukiichek befoward inagonga $35,000 na mailage kama 90,000km kudadeki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya mwaka gani hiyo?Hii machine ukiichek befoward inagonga $35,000 na mailage kama 90,000km kudadeki
Saana. Na wamesikiliza maoni.Jamaa amewasaidia sana aisee
2003 mkuu!! 1997 inagonga $25,000Ya mwaka gani hiyo?
TatizoMercedes Benz ni moja ya magari ambayo naona hayajakosewa kabisa aisee hapo kwa kaburu ndio wanafyatua matoleo mapya ya vijana kila mwezi na ukijaribu kudrive Benz huwezi kuendesha Gari zingine ukaona Comfort iliyopo humo pamoja na balance walitengeneza Gari hao jamaa na uzuri ina spare imara sio za kubadilisha badilisha...tatizo kodi yake imenyanyuka sana hasa haya matoleo ya 2012 kuendelea...
Mkuu hiyo toleo la sasa hivi ni kuanzia usd 100,000 mpaka 200,000 huwa nayaangalia tuu nipo kwenye yale yetu ya usd 5000 na kupanda kidogo...Tatizo View attachment 1212126Bei inasimamia kucha mkuu cheki hiyo ya mwaka 1997 inagonga $25,000
Hayo madude kushuka bei ni ngumu saana aise.2003 mkuu!! 1997 inagonga $25,000
Na hapo hujatia kodi.Mkuu hiyo toleo la sasa hivi ni kuanzia usd 100,000 mpaka 200,000 huwa nayaangalia tuu nipo kwenye yale yetu ya usd 5000 na kupanda kidogo...
Aisee itakua ni hatari Arusha niliyaona hayo yapo matatu tuu na ubishi wao wote...Na hapo hujatia kodi.
Kuna kipindi maaskofu walikuwa wanayapenda saana hayo madude. Siku hizi sijui imekuaje. Naona wengi wana Land Cruisers.Aisee itakua ni hatari Arusha niliyaona hayo yapo matatu tuu na ubishi wao wote...
Ok kwa wao sio mbaya Kodi hawalipi nadhani wameona Cruiser ni bora zaidi na ina mapumziko pia...Kuna kipindi maaskofu walikuwa wanayapenda saana hayo madude. Siku hizi sijui imekuaje. Naona wengi wana Land Cruisers.
Yes. Maana naamini Land Cruisers ni reliable zaidi kuliko hizo gari.Ok kwa wao sio mbaya Kodi hawalipi nadhani wameona Cruiser ni bora zaidi na ina mapumziko pia...
Mkuu ukiziona unaona kama ni ngumu fulani ila zipo comfort sana kuliko unavyodhania na pia balance ya hiyo G huwezi kufananisha na aina nyingi za magari limetulia bara barani utadhani jiwe hiyo ndugu zake ni Porsche Cayanne sio Cruiser...Yes. Maana naamini Land Cruisers ni reliable zaidi kuliko hizo gari.