Kariakoo-Career Call sehemu ya makuli kupata ajira
Msasani-Kulikuwa na mwarabu akiitwa Mussa Hasan aliyekuwa na duka pekee hapo kijijini
Mwana nyamala-Kizaramo mtoto nyamaza,ambapo mama alikuwa anambembeleza mtotot katikati ya msitu uliokuwa na Simba hapo ilio mwananyamala leo.
Mikocheni-kulikuwa na miti mingi sana ya Mikoche ambayo hufanana na minazi
kawe-cow road!kulikuwa na barabara ya ng'ombe kwenda kiwandani wazungu wanatamka cow road wabongo wanachakachua kawe!
Kariakoo-Career Call sehemu ya makuli kupata ajira
Msasani-Kulikuwa na mwarabu akiitwa Mussa Hasan aliyekuwa na duka pekee hapo kijijini
Mwana nyamala-Kizaramo mtoto nyamaza,ambapo mama alikuwa anambembeleza mtotot katikati ya msitu uliokuwa na Simba hapo ilio mwananyamala leo.
Mikocheni-kulikuwa na miti mingi sana ya Mikoche ambayo hufanana na minazi
cow way = kawe
jamaa alikuwa anaitwa michael china but wazaramo walimuita mikocheni. hehehee
Kariakoo-Career Call sehemu ya makuli kupata ajira
Msasani-Kulikuwa na mwarabu akiitwa Mussa Hasan aliyekuwa na duka pekee hapo kijijini
Mwana nyamala-Kizaramo mtoto nyamaza,ambapo mama alikuwa anambembeleza mtotot katikati ya msitu uliokuwa na Simba hapo ilio mwananyamala leo.
Mikocheni-kulikuwa na miti mingi sana ya Mikoche ambayo hufanana na minazi