Asili ya jina Tanzania na mwasisi wake: Mohammed Iqbal Dar

Asili ya jina Tanzania na mwasisi wake: Mohammed Iqbal Dar

Ukweli ni Kuwa aghakan morogoro.sasa hivi ni morogoro secondary.
 
masultani haohao tuliowafurusha then watutungie jina la nchi!!??? majanga!

Na wewe utajiita Mtz wakati hujui hata historia ya Nchi yako humjui hata aliebuni jina la nchi yako, au wewe ni miongoni mwa wahamiaji haramu waliofurushwa Ngara?
 
hata siku moja siku wahi kuona ktk maandishi ya Mohamed Said akimtaja au kumzungumzia.nahisi huyu sio muislamu wa madhehebu ya sunni na wezee wake hawakuwa wazawa wa mzizima/gerezani kkoo.

Tanzania haina uhusiano na historia ya uhuru wa tanganyika
 
Last edited by a moderator:
hata siku moja siku wahi kuona ktk maandishi ya Mohamed Said akimtaja au kumzungumzia.nahisi huyu sio muislamu wa madhehebu ya sunni na wezee wake hawakuwa wazawa wa mzizima/gerezani kkoo.

Lini MS alizungunzia upatikanaji wa jina la TZ kwani? Na je MS ameshaacha kutunga vitabu au kuandika yale anayo yajua mpaka umuone hajatenda haki kwa kutomtaja mtunzi huyu wa jina Tz?
 
Last edited by a moderator:
kiukweli bwana Dar amesahaulika katika hisotoria ya Tanzanzania, vizazi vya sasa na vijavyo tunahitaji kujua wapi alipo na tunamuenzi vipi
 
Aliyebuni jina la TANZANIA ni Mtanzania mwenye asili ya Kihindi mkaazi wa Mtwara kwa jina Mohammed Iqbal Dar.

Sio wengi tunaojua kuhusu historia hii labda kwa sababu mbunifu wa jina hili sio MUAFRIKA. ImageUploadedByJamiiForums1402420590.340881.jpg
 
  • Thanks
Reactions: ELX
Mbona nasikia ni muunganiko wa herufi za Tanganyika na zanzibar baada ya udongo kuchanganywa?
 
Muhammad Iqbal Dar mtoto wa Dk Tufail Ahmad Dar Alizaliwa tarehe 8 mwezi wa 8 mwaka 1944 ktk mji wa Tanga.

Mwaka 1963 M.I.Dar alijiunga na secondary HH the Agakhan na mwaka uliofuata alijiunga na shule ya secondary ya mzumbe.

Akiwa shuleni hapo alisoma tangazo ktk gazeti la THE STANDARD ambapo aliona tangazo la kubuni jina la muungano wa Tanganyika na Zanzibar ambapo alifanikiwa kuunda jina la TANZANIA.

Baada ya siku kadhaa baba yake alipokea barua serikalini ikimjulisha kuwa mtoto wake amebuni jina la Muungano.

Mnamo tarehe 19/10/1964 wizara ya habari na utalii ilimtumia barua ya pongezi yenye kumbukumbu IT/P.702 na yenye kichwa cha habari JINA JIPYA-TANZANIA.

barua hyo ilisainiwa na Idrisa A. Wakili.

>>>iddyallyninga@Gmail.com
 
Kwa hiyo?
Muhammad Iqbal Dar mtoto wa Dk Tufail Ahmad Dar Alizaliwa tarehe 8 mwezi wa 8 mwaka 1944 ktk mji wa Tanga.
Mwaka 1963 M.I.Dar alijiunga na secondary HH the Agakhan na mwaka uliofuata alijiunga na shule ya secondary ya mzumbe.
Akiwa shuleni hapo alisoma tangazo ktk gazeti la THE STANDARD ambapo aliona tangazo la kubuni jina la muungano wa Tanganyika na Zanzibar ambapo alifanikiwa kuunda jina la TANZANIA.
Baada ya siku kadhaa baba yake alipokea barua serikalini ikimjulisha kuwa mtoto wake amebuni jina la Muungano.
Mnamo tarehe 19/10/1964 wizara ya habari na utalii ilimtumia barua ya pongezi yenye kumbukumbu IT/P.702 na yenye kichwa cha habari JINA JIPYA-TANZANIA.
barua hyo ilisainiwa na Idrisa A. Wakili.




>>>iddyallyninga@Gmail.com
 
Back
Top Bottom