Asili ya Waislamu wa Masama, Hai Kilimanjaro ni wapi?

Asili ya Waislamu wa Masama, Hai Kilimanjaro ni wapi?

Teeh tehe teeh nilikuambia kingereza haukiwezi rudi kwenye lugha yako, faby kahtaan Gs-300 Punjab Singh Sword angalieni hapa kwenye bold anavyojichanganya.

Teh teh teh!
Mkuu Shariff km usemavyo huyo jamaa ule utumbo wa kitimoto na mapuya unachafua hali ya hewa!

Anajikakamua vibaya! Mwishowe anatumwagia uharo jukwaani!

Mwambie atuandikie ki Russia manake Kiingereza anaweza kutukana akapigwa ban bila kujua!

Kwi kwi kwi kwi!
 
Last edited by a moderator:
I knew you will come back barking and cursing since you cannot counter reply with data to refute what I said and since I hit you where it hurts being a Christian and not knowing English, polee dogo mimi hakuna pipi kumpa wewe pate nyamaza.

Buy since you started matusi I will just sit here and enjoy it. By the way you forgot to.put in your CV that you speak Arabic as well? Teh teh teh poor Matola at least my Arab friend Kahtaan taught you Arabic well. :clap: :clap:
karibu kachori sighbai.
 
I knew you will come back barking and cursing since you cannot counter reply with data to refute what I said and since I hit you where it hurts being a Christian and not knowing English, polee dogo mimi hakuna pipi kumpa wewe pate nyamaza.

Buy since you started matusi I will just sit here and enjoy it. By the way you forgot to.put in your CV that you speak Arabic as well? Teh teh teh poor Matola at least my Arab friend Kahtaan taught you Arabic well. :clap: :clap:
Tehe teh tehe teeh..
Mimi sijui kingereza, msubili Kiranga muoneshane umahiri wa hiyo lugha.
faby msome jamaa yako analia lia.
 
Last edited by a moderator:
karibu kachori sighbai.
Kwi kwi kwi kwi, teeh teeh teeh.
quote_icon.png
By Matola
Mimi sijui kingereza, msubili Kiranga muoneshane umahiri wa hiyo lugha.
 
karibu kachori sighbai.

Karibise mimi kitimoto bhanaa si ndio chakula yako iyo? Kachori takaribisa wewe pale jumbani yetu Gerezani mimi tamambia mama Amrita napikia wewe special na pilipili mingi badae kula wewe alafu subuhi nakwenda ku toilet naita Dr. Kahtaan kuja saidia wewe okay?
 
Tehe teh tehe teeh..
faby msome jamaa yako analia lia.

Kwi kwi kwiiii nilishasema huyo pimbi wa segerea hakuna anachojua zaidi ya kufua chupi ya shemeji yake...


By the way Matola vipi mkeo bado anagongwa na yule mcongo wa migo migo


Halafu dawa ya minyoo ninayo... unaingiza kuleeeeeee wanakopenda wachungaji..


Ni PM kama wataka nitafurahi kukuhudumia mpaka upone
 
Last edited by a moderator:
[QUOE=Matola;9488360]lazima mwarabu atakuwa alipita hapo, ngoja niingie maktaba nitarudi hapo maana nataka kujifunza na baadhi ya wahaya nao walipata wapi mapokeo ya uislamu.[/QUOTE]
Hapo mzungu itakuwa alifukuzwa tu akapita wima wima.
 
Do you think Matola he is available all the time here in jf?

today is weekend I have some personal business with my siblings, there is plenty of jobless who are available here 24/7. but am not, amoung those.

so am here now tell me what u want?

You remind me Idd amin speech when he says" I wish nyerere was a woman so I could marry him"!

Teh teh teh!

Teh teh teh teh!
 
Unawasifu wachaga kina 2013 na Nicholas kuwa ni WAUWAJI!

Tena uuwaji wenyewe umetokana na imani za KIDINI!

Ina maana unataka kuueleza umma kuwa Asilimia kubwa ya Wana CHADEMA wanaweza kufanya kitu kama hicho kwa WAISLAMU??

Ngoja tusubiri wachaga waje hapa kutueleza je! Wanakubaliana na wewe kuwa WALIUWA WAISLAMU tena MLEMAVU tu kwa sababu ya IMANI YAKE! Na ni kweli WAKO TAYARI KUENDELEA KUUA MUISLAMU YYT AKAAE KWAO!??

CC Ritz gombesugu Mzito Kabwela MUNGU SI MZUNGU

Teh teh teh

Kweli mungu si mzungu.


Ina maana hao waandishi wa injili kina mark luka na kadhalika hawawajui wazaz wao??

Kwaiyo watakuwa ni watoto wa zinaa nini mkuu??
 
Last edited by a moderator:
Tanzania maeneo karibia yote ya mijini kumejaa Waislam na maeneo mengine hawapo waarabu.

Kumajaa waislam? unamaanisha hadi Moshi? Mbeya na Arusha,Shinyanga,Iringa... N.K mmh! Hapana Wewe utakuwa unamaanisha Kimanzichana,Bagamoyo,Kariakoo,Buguruni,Tandika,Mbagala,Tanga mjini,Mtwara Baadhi ya maeneo, Lindi Handeni na Vitongoji vingi nchini vyote vya ajabu ajabu.. na Si Lushoto, Korogwe...
 
Teh teh teh!
Mkuu unavunja mbavu zangu!
Matola anasema " eee mwaya"! Na kidole juu na huku ana minyoo mpaka makalioni!

Kwi kwi kwi kwi.

Kumbe matola shida yote hii ni kwa sababu minyoo inamtatiza makalioni??

Teh teh teh.
 
Last edited by a moderator:
Matola,

Mimi sahau uliza wewe wapi jua hii chakula kachori? Mimi fikiri Kahtaan chukuwa wewe kule Malindi Znz pale Jingbaris kula rojo bateta, kachori, bajia, methi nalisha wewe si ndio enh bhai?

Hahaha ...Hindi bhi chalega singhbai! Kyu tume taklif liya ?? ;-)
 
Last edited by a moderator:
Unaposema mbona hadi leo huku Pwani watu wana akili kama za "Boko Haram" (sifhamu unamaanisha nini hasa), you sound like huko Bara mambo swafiiii kabisa… watu wamebukua ile mbaya; jambo ambalo si kweli!! Let's be honest here… hivi ukiondoa Mkoa wa Kilimanjaro, Mbeya na Kagera, ni bara gani huko mnakosema watu wamebukua ile mbaya? Singida kwa akina Tundu Lissu na Mwigulu Nchemba? Mnzaungumzia Mwanza? Au Geita?Au Simiyu? Au Shinyanga? Huko Bara kwa Wakristo mnakosema watu wamebukua ile mbaya ni wapi? Au Rukwa? Au Dodoma? Kigoma? Are you talking of Ruvuma? Hivi ndugu zangu Wahehe nao wanaweza kututambia watu wa Pwani kwamba nao wamebukua ile mbaya?! Hivi kweli wale Wamasai na Wasonjo wa Arusha wamebukua wale kweli? Hivi kule Kiteto kweli watu wamebukua kule kiasi cha kuwaona watu wa Pwani ni Masakala wasioenda shule kwavile ni Waislamu? Ni Wakristo wa bara ipi hiyo ndugu zangu ambao wamebukua kiasi cha kutamba kila siku?!! Au huko nako wamejaza Waislmu wanaoishia kwenda madrasa?

Turudi huku Pwani! Tofauti na nyie wenzetu mnaojigamba mmepiga buku kweli kweli wakati majority ya Wakristo hawajui hata kusoma na kuandika, wenzenu angalau tunakiri kwamba kwa upande wetu kuna tatizo bila kujali kwamba kila mmoja atakuwa na mtazamo kuhusu chanzo cha tatizo! Sasa tukija kwenye hoja kwamba mbona hadi leo watu wa Pwani bado kabisa, ukweli ni huu hapa chini!!! Tuwiane radhi, wakati mwenzetu Diamond amejaaliwa kipaji cha muziki, wengine tumejaaliwa kipaji cha kuandika... tukianza maneno yanakuja tu... yanakuja tu, ukitanabhai, umejaza kurasa!!!

Tundelee!

Msingi wa mfumo wa sasa wa Taifa hili uliwekwa na Wakoloni wa Kijerumani na Kiingereza! Kama nilivyosema hapo awali, hawa wakalazimika kujenga mashule si kwa sababu waliwapenda wale waliowaingiza kwenye Ukristo bali walihitaji labor force inayofahamu elimu ya Kimagharibi! Tofauti na Waraabu, Wazungu walikuwa ni Watawala kwahiyo walilazimika kufanya hivyo! Kosa kubwa ambalo walifanya, tena kwa makusudi, ni kuacha elimu itolewe na Wamisionari kwenye nchi ambayo tayari ilikuwa na watu wa Imani nyingine. Tusisahau, Wamisionari hawa walikuwa ni Mawakala tu Wakoloni. Aidha, waliacha kwa makusudi elimu itolewe na Wamisionari kwavile walifahamu Utawala wao wa kikoloni usingekuwa rafiki kwa wananchi kwahiyo endapo elimu hiyo ingetolewa na serikali yenyewe ambayo hawakuwa na utu, kulikuwa na uwezekano mkubwa kwa wananchi kuisusia kwa kuona ni elimu ya madhalimu! Isitoshe, by that time wala hawakuwa na ufahamu na umuhimu wa hiyo elimu kwahiyo ilibidi itolewe na watu wa kuaminika! Kwa kufahamu hilo, wakaamua kuacha jukumu hilo kwa kanisa, watu wenye kauli ya upole na upendo!

Sasa, ile hali ya kuiacha elimu itolewe na Makanisa tayari ikawa-exclude Waislamu kwavile tayari hawa walishalishwa propaganda za dini nyingine… hili lina effect mpaka leo; iwe ni kwa Waislamu au Wakristo! Leo hii hapa BAKWATA wawe na bonge la shule lenye maendeleo mazuri kitaalamu, wapo Wakristo watakaoacha kupeleka watoto wao huko kwavile tu ni ya Ki-Islamu… seuze wazee wa miaka mia moja iliyopita!!!!!! Ndio maana hata hapa, unaweza kumsikia Mkristo akisema anavyowachukia Waislamu lakini muulize wamewahi kumfanya nini; HAKUNA!

Sasa basi, msingi huo ukaja kurithiwa na serikali ya weusi ambayo ilitangaza kufuta ubaguzi wa Kidini! Lakini haya yanafanyika wakati tayari kuna msingi umeshajengwa! Babu yake NasDaz alizaliwa wakati wa Ukoloni… huyu hakupelekwa shule kv alishaambiwa hao Wazungu waliokuja wanalisha watu nguruwe!! Huyu Babu yangu nae akapata mwanae miaka michache kabla au baada ya uhuru! Kwahiyo ingawaje unamtangazia mtu kwamba elimu hii inatolewa kwa wote, bado unawatangazia watu wasiofahamu umuhimu wake! Tena hata huko kutangaza sijui walikuwa wanatangaza tangaza vipi wakati nchi yenyewe iikuwa ndo hivyo tu!

Kutokana na hilo, mtoto wa babu yangu nae hakupelekwa shule! Mtoto huyu alipokua mkubwa, harakati za maisha zikamfanya atembee huku na huko jambo ambalo baba ake hakufanya! Katika kutembea huko, akakutana na wenzake kama yeye ambao baba zao nao hawakupata shule lakini vilevile wakakutana na wenzao ambao wazazi wao walikumbwa na mfumo wa elimu ya Magharibi! Haya kwa kiasi kikubwa yalitokea miaka ya sabini kuja themanini! Kwahiyo ingawaje wazazi wetu nao hawakupata shule, kutembea kukawafanya wagundue alah, kumbe kusoma ni muhimu namna hii!!! Kama ilivyo desturi ya mabadiliko kuchelewa kushika kasi, hawa baada ya wao nao kupata watoto kuna wengine wakapeleka watoto wao shule na wengine hawakupeleka shule… hii ndio nature ya mabadiliko!!! Lakini hata wale ambao walipeleka watoto wao shule, bado hawakufahamu vizuri management ya mwanafunzi kwavile hata wao wenyewe hawakusoma! Kwahiyo, mtoto alikuwa akimaliza darasa la saba, ndo imetoka hiyo, labda Mungu apende awe alifaulu!! Lakini yule ambae mzazi wake alienda shule, hata akifeli, mzazi wake atatafuta namna nyingine coz' tayari anafahamu management ya mwanafunzi iko vipi!!!

Sasa na yule mtoto aliyeishia darasa la saba kwavile anakumbana na changamoto kadhaa za maisha na labda kusafiri zaidi au kukutana na watu wengi zaidi kuliko wazazi wake, it's obvious harakati hizi zitampa msukomo tofauti na kufahamu kwamba darasa la saba si lolote si chochote! Huyu atajitahidi mtoto wake asiishie darasa la saba!!

Kwa bahati mbaya, hii ni system itakayochukua miongo na sio miaka hadi kui-break ile circle! Kama ingekuwa ni genes, ni kwamba zile original genes zinakuwa neutralized from generation to generation to the point kwamba majority ya watoto wazazi wao watakuwa ni graduates! Kutokana na hilo, ndio maana naona ni vichekesho humu jamvini Wakristo wanavyojigamba wamepiga shule wakati majority, mama na baba zao wameishia darasa la saba na wengine hata kuta za darasa hawajui zinafananaje!!!!

NasDaz,
Ninavyosema watu wanaakili za Bokoharam na maanisha bokoharam kwa maana yake halisi kuwa elimu ya magharibi haifai. Na akili hii ipo mapaka sasa hivi miaka 50 baada ya uhuru. Mimi nilisoma primary school miaka ya 80 na 90 dar. Kuna kijana nilisoma nae muislam ambae alikuwaga wa kwanza darasani. Baadae akaanza kuingia kwenye dini na alipoingia sekondari mambo yakamshinda. Na tulikuwa tunasoma shule za serekali ambazo nyerere alizitaifisha ili na waislam waweze kusoma bila kukwazika na imani unazosema za kulishwa nguruwe. Ukweli ni kwamba miaka ya 80 na 90 watu wa mikoa ya kilimanjaro, mbeya na kagera walikuja pwani kumalizia shule kwasababu ilikuwa rahisi kufaulu kwasababu watu wa pwani hawakujituma shule na walipendelewa na nyerere nafasi nyingi za kwenda secondary za serekali kuliko uweozo wao. Na ndio maana watu wa kagera, kilimanjaro na mbeya wakawa wanakuja pwani kuzifata.

Pia swala la mfumo wa elimu kuwa umeridhi mfumo wa elimu wakati wa ukoloni ni uongo. Nyerere alizitaifisha shule za makanisa ili kuondoa mfumo wa wakoloni. Pia wahindi ambo sio wakristo na wengine ni waislam walifaulu vizuri shule za serekali na pia walikuwa na shule zao wenyewe nzuri sana kama mzizima secondary. Sasa niambie watu wa pwani kwanini hamkujifunza kwa wahindi waisilamu kupenda shule kama wao.

mwisho swala la shule za kanisa kuwa nzuri sio swala wakati wa ukoloni. Hata sasa hivi huko nchi za magharibi wakoloni walipotoka shule za makanisa ndio nzuri sana. Na hata huku bongo itaendelea kuwa hivyo hivyo kwa miaka kama mia ijayo shule za kanisa zitaemdelea kuwa shule nzuri. Na sababu ni philosophy ya kanisa. Wakristo sadaka zinatumika kuhudumia jamii kwa kujenga mahospitali, shule na vyuo. Wakristo wanaamini kueneza dini kwa kuisaidia jamii.

Tofauti na philosophy ya uislam unaotoka sauidi sasa hivi. Pesa yao inapelekwa kupigania dini na kujenga misikiti. Ndio maana sasa hivi kuna boko haramu na misikiti inajengwa kila maali huku pwani. Nitakupa dili. Waambie wasaudi unataka kujenga msikiti chini ya bahari uone watakavyo kutupia hela kibao
 
NasDaz,
Ninavyosema watu wanaakili za Bokoharam na maanisha bokoharam kwa maana yake halisi kuwa elimu ya magharibi haifai. Na akili hii ipo mapaka sasa hivi miaka 50 baada ya uhuru. Mimi nilisoma primary school miaka ya 80 na 90 dar. Kunakijana nilisoma nae muislam ambae alikuwaga wa kwanza darasani. Baadae akaanza kuingia kwenye dini na alipoingia sekondari mambo yakamshinda. Na tulikuwa tunasoma shule za serekali ambazo nyerere alizitaifisha ili na waislam waweze kusoma bila kukwazika na imani unazosema za kulishwa nguruwe. Ukweli kwamba miaka ya 80 na 90 watu wa mikoa ya kilimanjaro, mbeya na kagera walikuja pwani kumalizia shule kwasababu ilikuwa rahisi kufaulu kwasababu watu wa pwani hawakujituma shule na walipendelewa na nyerere nafasi nyingi za kwenda secondary za serekali kuliko uweozo wao. Na ndio maana watu wa kagera, kilimanjaro na mbeya wakawa wanakuja pwani kuzifata.

Pia swala la mfumo wa elimu kuwa umeridhi mfumo wa elimu wakati wa ukoloni ni uongo. Nyerere alizitaifisha shule za makanisa ili kuondoa mfumo wa wakoloni. Kuna wahindi tena waislam tumesoma nao shule hizo hizo za serekali na walikuwa wakifaulu vizuri sana. Pia wahindi ambo ambao sio wakristo na wengine ni waislam walifaulu vizuri shule za serekali na poa walikuwa na shule zao wenyewe nzuri sana kama mzizima secondary. Nante watu wa pwani kwanini hamkujifunza kwa wahindi waisilamu kupenda shule kama wao.

mwisho swala la shule za kanisa kuwa nzuri sio swala wakati wa ukoloni. Hata sasa hivi huko nchi za magharibi wakoloni walipotoka shule za makanisa ndio nzuri sana. Na hata huku bongo itaendelea kuwa hivyo hivyo kwa miaka kama mia ijayo shule za kanisa zitaemdelea kuwa shule nzuri. Na sababu ni philosophy ya kanisa. Wakristo sadaka zinatumika kuhudumia jamii kwa kujenga mahospitali, shule na vyuo. Wakristo wanaamini kueneza dini kwa kuisaidia jamii.

Tofauti na philosophy ya uislam unaotoka sauidi sasa hivi. Pesa yao inapelekwa kupigania dini na kujenga misikiti. Ndio maana sasa hivi kuna boko haramu na misikiti inajengwa kila maali huku pwani. Nitakupa dili. Waambie wasaudi unataka kujenga msikiti chini ya bahari uone watakapo kutupia hela kibao
Crackpot...
 
Back
Top Bottom