Asili ya Waislamu wa Masama, Hai Kilimanjaro ni wapi?

Asili ya Waislamu wa Masama, Hai Kilimanjaro ni wapi?

NasDaz,
Ninavyosema watu wanaakili za Bokoharam na maanisha bokoharam kwa maana yake halisi kuwa elimu ya magharibi haifai. Na akili hii ipo mapaka sasa hivi miaka 50 baada ya uhuru. Mimi nilisoma primary school miaka ya 80 na 90 dar. Kunakijana nilisoma nae muislam ambae alikuwaga wa kwanza darasani. Baadae akaanza kuingia kwenye dini na alipoingia sekondari mambo yakamshinda. Na tulikuwa tunasoma shule za serekali ambazo nyerere alizitaifisha ili na waislam waweze kusoma bila kukwazika na imani unazosema za kulishwa nguruwe. Ukweli kwamba miaka ya 80 na 90 watu wa mikoa ya kilimanjaro, mbeya na kagera walikuja pwani kumalizia shule kwasababu ilikuwa rahisi kufaulu kwasababu watu wa pwani hawakujituma shule na walipendelewa na nyerere nafasi nyingi za kwenda secondary za serekali kuliko uweozo wao. Na ndio maana watu wa kagera, kilimanjaro na mbeya wakawa wanakuja pwani kuzifata.

Pia swala la mfumo wa elimu kuwa umeridhi mfumo wa elimu wakati wa ukoloni ni uongo. Nyerere alizitaifisha shule za makanisa ili kuondoa mfumo wa wakoloni. Kuna wahindi tena waislam tumesoma nao shule hizo hizo za serekali na walikuwa wakifaulu vizuri sana. Pia wahindi ambo ambao sio wakristo na wengine ni waislam walifaulu vizuri shule za serekali na poa walikuwa na shule zao wenyewe nzuri sana kama mzizima secondary. Nante watu wa pwani kwanini hamkujifunza kwa wahindi waisilamu kupenda shule kama wao.

mwisho swala la shule za kanisa kuwa nzuri sio swala wakati wa ukoloni. Hata sasa hivi huko nchi za magharibi wakoloni walipotoka shule za makanisa ndio nzuri sana. Na hata huku bongo itaendelea kuwa hivyo hivyo kwa miaka kama mia ijayo shule za kanisa zitaemdelea kuwa shule nzuri. Na sababu ni philosophy ya kanisa. Wakristo sadaka zinatumika kuhudumia jamii kwa kujenga mahospitali, shule na vyuo. Wakristo wanaamini kueneza dini kwa kuisaidia jamii.

Tofauti na philosophy ya uislam unaotoka sauidi sasa hivi. Pesa yao inapelekwa kupigania dini na kujenga misikiti. Ndio maana sasa hivi kuna boko haramu na misikiti inajengwa kila maali huku pwani. Nitakupa dili. Waambie wasaudi unataka kujenga msikiti chini ya bahari uone watakapo kutupia hela kibao
Acha uongo, labda ww ulikuwa mtoto, ukweli ni kwamba mlikata majina mengi sana ya watoto wa pwani na waislamu kwa ujumla na kutumika na wagalatia. Matokeo yake ndio hawa vilaza tulionao serikalini na wenye akili zao halisi wamebaniwa. Hii dhambi itaitesa taifa hadi kiyama. Kamuulize kaka yako atakuthibitishia hivi
 
Can we conclude then that Europeans are superior to Arabs in terms of intelligence??

For a start i dont ascribe to the myth of one race being superior to another in terms of intelligence!! Individuals of all races have equal chances of being intelligent.

Then if you must recall, current scientific, medical and mathematical advancements in the western world actually have their root in the arab scholars of the past!!! Here is the example in astronomy

The Most Famous Muslim Astronomers | Islam Story - Supervised by Dr. Ragheb Elsergany


This too does not make arabs superior to non-arabs either.
 
huyu baadaye mtoto wake atakuja kutuambia tusimseme vibaya osama bin laden.

acha kuishi kwa hisia na kuwa mtumwa wa dini na soma historia na kama wewe ni mvivu wa kusoma tembelea historical site na nenda Zanzibar upewe khabari za hawa waarabu halafu ndio urudi hapa kuwasifu waarabu.

unajuwa ni kwa nini Zanzibar hawataki kumsikia kabisa sultan jemshid? je wewe unavyopenda kuwa mwarabu si ungempa mkeo kabisa?

Waarabu hawakuja Tanzania wala Tanganyika wala Afrika in this matter, Waarabu Afrika ni kontinenti la asili yao. Huko Asia ambako wanakuwa depicted kuwa ndio kwao, "in reality" wame "spill over" tu kutokana na nature ya jina "Arabiya" = Caravan, Arabs = "people of the caravan" watu wa misafara.

Sijui hii "notion" ya kuwa Waarabu ni wageni hapa Africa imetokea wapi? na historical facts zake ni zipi?
 
WAISLAMU WACHACHE WALIOINGIZA UISLAMU KILIMANJARO WALITOKANA NA WAFANYA BIASHARA WA MBALI AZIA ASIA ,UAJEMI ,SOMALIA Etc ...AMBAO WALIINGIA MOSHI TAMBARARE KULETA NGUO ...WENGINE WALIKUJA WAKATI WA UJENZI WA RELI TOKA NCHI NYINGINE ZILIZOKUWA KOLONI LA UJERUMANI AU UINGEREZA UPANDE WA KENYA ..

INFLUENCE YA UISLAMU MOSHI IPO MJINI ...HASA WASOMALI[ INAAMINIKA PIA KATIBU MKUU WA CCM ABDULRAHMAN KINANA MAMA YAKE ANA ASILI YA KILIMANJARO KWENYE JAMII HII WAKIWA NA NDUGU HADI KIBOSHO]....
PIA MJI WA MOSHI ULIKUWA UKIKALIWA NA WATU WACHACHE SANA HASA WAGENI ,WAISLAMU HASA WASOMALI NA WAHINDI...DINI YA KIISLAMU ILIENEA MACHAME ,MASAMA NA MARANGU KOTE KIDOGO ,..NA HAIKUPANUKA SANA KWA KUWA WENGI WA WAUMINI WAKE WALIKWUA WA WAKIBATIZWA HASA KWA KUOA AU KOLEWA.....HATA KWENYE FAMILIA YA MANGI MKUU ALIRUHUSU Baadhi ya ndugu zake kuwa waislamu ......na alama hadi leo ipo kwa kuwa na waislamu wachache kilimanjaro
ILA NI KWELI WAISLAMU WA MOSHI WENGI WANA MSIMAMO WA KATI
KUHUSU FAMILIA YA SAIDI MWEMA WAO WANA MJI MJINI MOSHI NA KULE MACHAME


Hapana si kweli, hakuna Uislam wa msimamo wa kati au juu au chini au pembeni:
2_208.gif

Qur'an 2:208. Enyi mlio amini! Ingieni katika Uislamu kwa ukamilifu, wala msifuate nyayo za She'tani; hakika yeye kwenu ni adui aliye wazi.

Neno lilitumika kiarabu lilitofasiriwa hapo "kwa ukamilifu" ni "Kaffa", hilo neno maana yake ni "full stop". Ingieni katika Uislam "full stop".

Hakuna wa kati wala wa juu wa la chini katika Uislam, sasa sijui hayo mafundisho ya "msimamo wa kati" kwa Waislaam mmeyatoa wapi? kwani Uislam haufundishi hivyo na ushahidi ni hiyo aya ya Qur'an.
 
mkuu mimi naelewa kusoma na kuandika swahili, French, Russian na kizaramo.

bandiko langu nimeandika kiswahili jibu kiswahili usilete mambo ya copy and paste hapa.

Ungekuwa unaelewa Kiingereza cha kuweza kumjibu Punjab Singh usingetokwa povu.
 
Last edited by a moderator:
Thanks for this nice post.
Waislam wengi wangekuwa na mtazamo kama huu, hata mifarakano ya kidini ingepungua. Tatizo ni kuwa kuna watu kama Moh Said na mwenzake Ilunga na wengineo ambao ndio wamekomalia uongo wa kusema "sehemu zenye waislamu wengi zimeachwa duni makusudi, huku sehemu zenye wakristo zikisaidiwa na serikali yenye Mfumo kristo". Ukweli ni kuwa nchi nzima imejaa umaskini na maendeleo duni. Mwaka 2011 niliwahi kubishana na "Mohamed Shossi" na mwenzake "Topical "ambao walikuwa na mtazamo kama huo wa akina Moh Said. Nilijaribu kuwaeleza kuwa nchi nzima imejaa umaskini na huko vijijini, haijalishi wewe ni mkristo, mpagani au muislam. Lakini sometimes inakuwa vigumu sana kuwashawishi watu ambao wapo kwenye DENIAL.

In fact, kwenye elimu, hata mikoa kama Kilimanjaro, Mbeya na Kagera sio kwamba ndio wamesoma sana... Ni kwamba wana unafuu kidogo tu, still kuna matatizo makubwa sana kwenye Elimu, na hata baadhi ya sehemu kama vile upareni (Kilimanjaro), (Chunya, Mbarali na Ileje (Mbeya) na maeneo ya Biharamulo(Kagera) uduni wa elimu katika maeneo hayo hautofautiani na maeneo kama Simiyu, Tabora, Dodoma na mikoa ya pwani.

Kwa wakati huu (miaka 53 ya uhuru), si sahihi kulaumu dini (au vitu vya kufikrika kama "mfumo kristo") kwa uduni wa Elimu katika maeneo hayo, badala yake ni Serikali ya CCM ndio inatakiwa kulaumiwa kwa utawala mbaya, sera mbovu, na ufisadi.


Usiogope na kukatisha-katisha jina la mtu, andika tu Mohamed Said.
 
Gombesugu!

You are entitled to your opinion as I am. You don't think Moh Said is divisive, I do.
I wonder if you have read all his writings?!?
He once asserted that the country's population is made of only two groups: Christians and Muslims and that Muslims are being marginalized in all developmental aspects by what he termed "christian lobby" which later was coined by Ilunga as "mfumo kristo". He claims that Nyerere's unification of Tanganyika and Zanzibar aimed at suppressing Islam and controlling Zanzibar Muslims. In some writings he cited CCM-chama cha mapinduzi as "Catholic church Movement",He also says that during CCM's nomination of Benjamin Mkapa for presidential candidacy in 1995, "hymns were heard" suggesting that the meeting was a kind of battle between Christians and Muslims. He claims to date that NECTA, supposedly a Catholic Church Proxy, is deliberately sabotaging moslems... To you he is not divisive, to me he is. We can agree to disagree.

What is this? his name is Mohamed Said.

Al Alama Mohamed Said, please pass by this way, someone is misquoting you and trying to put his/her words in your mouth..
 
Last edited by a moderator:
Do you think Matola he is available all the time here in jf?

today is weekend I have some personal business with my siblings, there is plenty of jobless who are available here 24/7. but am not, amoung those.

so am here now tell me what u want?

Jamani, mbavu zangu! hizi lugha za watu ni lazima mzitumie? kama lugha ya watu inakupa shida si uandike Kiswahili tu.
 
Jamani, mbavu zangu! hizi lugha za watu ni lazima mzitumie? kama lugha ya watu inakupa shida si uandike Kiswahili tu.
Kwa nini baba yake wa kufikia kahtaan asimtafutie mwalimu wa kiingereza.

FaizaFoxy kama unafahamu dawa yeyote ya minyoo sugu tunaomba umpe Matola dawa zote zimechemsha ana minyoo sugu.
 
Last edited by a moderator:
Waarabu hawakuja Tanzania wala Tanganyika wala Afrika in this matter, Waarabu Afrika ni kontinenti la asili yao. Huko Asia ambako wanakuwa depicted kuwa ndio kwao, "in reality" wame "spill over" tu kutokana na nature ya jina "Arabiya" = Caravan, Arabs = "people of the caravan" watu wa misafara.

Sijui hii "notion" ya kuwa Waarabu ni wageni hapa Africa imetokea wapi? na historical facts zake ni zipi?
nina nia ya kujifunza hili na kupata fact, unaweza kunisaidia link ili nipanuwe ufahamu wangu?
 
hapa nilipo nakula nguruwe ya kuchoma nashushia na azam cola.

Sasa unatesa watu kwanini kwa kutaka dawa ya minyoo? jisomee:

[FONT=Times New Roman, Times, serif]PIG & PORK FACTS[/FONT]​
[FONT=Times New Roman, Times, serif]THE pig or swine is a very popular food item with most Christians. Yet Christians are unaware that the God they profess to believe in had condemned the eating of swine's flesh. The condemnation was based on some very sound biological principles. Here are some facts on pork that prove it to be a very unhealthy food to eat: [/FONT]
[FONT=Times New Roman, Times, serif]
Redball.gif
A pig is a real garbage gut. It will eat anything including urine, excrement, dirt, decaying animal flesh, maggots, or decaying vegetables. They will even eat the cancerous growths off other pigs or animals.
[/FONT]
[FONT=Times New Roman, Times, serif]
Redball.gif
The meat and fat of a pig absorbs toxins like a sponge. Their meat can be 30 times more toxic than beef or venison.
[/FONT]
[FONT=Times New Roman, Times, serif]
Redball.gif
When eating beef or venison, it takes 8 to 9 hours to digest the meat so what little toxins are in the meat are slowly put into our system and can be filtered by the liver. But when pork is eaten, it takes only 4 hours to digest the meat. We thus get a much higher level of toxins within a shorter time.
[/FONT]
[FONT=Times New Roman, Times, serif]
Redball.gif
Unlike other mammals, a pig does not sweat or perspire. Perspiration is a means by which toxins are removed from the body. Since a pig does not sweat, the toxins remain within its body and in the meat.
[/FONT]
[FONT=Times New Roman, Times, serif]
Redball.gif
Pigs and swine are so poisonous that you can hardly kill them with strychnine or other poisons.
[/FONT]
[FONT=Times New Roman, Times, serif]
Redball.gif
Farmers will often pen up pigs within a rattlesnake nest because the pigs will eat the snakes, and if bitten they will not be harmed by the venom.
[/FONT]
[FONT=Times New Roman, Times, serif]
Redball.gif
When a pig is butchered, worms and insects take to its flesh sooner and faster than to other animal's flesh. In a few days the swine flesh is full of worms.
[/FONT]
[FONT=Times New Roman, Times, serif]
Redball.gif
Swine and pigs have over a dozen parasites within them, such as tapeworms, flukes, worms, and trichinae. There is no safe temperature at which pork can be cooked to ensure that all these parasites, their cysts,and eggs will be killed.
[/FONT]
[FONT=Times New Roman, Times, serif]
Redball.gif
Pig meat has twice as much fat as beef. A 3 oz T bone steak contains 8.5 grams of fat; a 3 oz pork chop contains 18 grams of fat. A 3 oz beef rib has 11.1 grams of fat; a 3 oz pork spare rib has 23.2 grams of fat.
[/FONT]
[FONT=Times New Roman, Times, serif]
Redball.gif
Cows have a complex digestive system, having four stomachs. It thus takes over 24 hours to digest their vegetarian diet causing its food to be purified of toxins. In contrast, the swine's one stomach takes only about 4 hours to digest its foul diet, turning its toxic food into flesh.
[/FONT]
[FONT=Times New Roman, Times, serif]
Redball.gif
The swine carries about 30 diseases which can be easily passed to humans. This is why God commanded that we are not even to touch their carcase (Leviticus 11:8).
[/FONT]
[FONT=Times New Roman, Times, serif]
Redball.gif
The trichinae worm of the swine is microscopically small, and once ingested can lodge itself in our intestines, muscles, spinal cord or the brain. This results in the disease trichinosis. The symptoms are sometimes lacking, but when present they are mistaken for other diseases, such as typhoid, arthritis, rheumatism, gastritis, MS, meningitis, gall bladder trouble, or acute alcoholism.
[/FONT]
[FONT=Times New Roman, Times, serif]
Redball.gif
The pig is so poisonous and filthy, that nature had to prepare him a sewer line or canal running down each leg with an outlet in the bottom of the foot. Out of this hole oozes pus and filth his body cannot pass into its system fast enough. Some of this pus gets into the meat of the pig.
[/FONT]
[FONT=Times New Roman, Times, serif]There are other reasons grounded in biological facts that could be listed to show why pigs and swine should not be eaten. But a true Christian should only need one reason why not to eat this type of food because God prohibited it. [/FONT]
[FONT=Times New Roman, Times, serif]"And the swine, because it divides the hoof, yet does not chew the cud, it is unclean unto you: you shall not eat of their flesh, nor touch their dead carcase." - Leviticus 11:7,8; Deuteronomy 14:8 [/FONT]
[FONT=Times New Roman, Times, serif]Those who say Christ abolished the law condemning pork are motivated by their stomach not Scripture. The problems with pork are biological, and Christ never changed the laws of biology. [/FONT]
 
Back
Top Bottom