Asili ya Waislamu wa Masama, Hai Kilimanjaro ni wapi?

Asili ya Waislamu wa Masama, Hai Kilimanjaro ni wapi?

Waarabu hawakuwa wajinga kama watu wengine mnavyolazimisha watu tuamini. walikuja na taratibu mzuri tu za maisha ambazo zilikubalika na watanganyika au wazanzbar. mji wa kilwa ulikuwa na hela yake miaka hiyo kabla hata wamisionar hawajaja. hao wamisionari ndo walokuja kunyonya nchi hii kwa kusafirisha kila kitu kwenda ulaya. Watu msituaminishe et wamisionari walileta neema nchi hii, ni uwongo kabisa kwani hawa ndo waliowavuruga watanganyka. hata nyerere alipopewa package ya uhuru alipewa mashart ya kuulea umisionari na hata pale alipojifanya kutaifisha shule zao ilikuwa kiini macho tu kwa waislam na ndo maana leo tunashuhudia kurudishwa kwa shule za wamisionari. Acheni kuwasema vbaya waarab au uislamu.

Nyerere aliyekufa amerudi kurudisha shule kwa wamisionari?
 
kilichopo moyoni mwangu mbona hakijajificha?
nataka kujua asili ya waislamu waliopo Masama. ni kwanini wawe tofauti na waislamu wengine? kimaendeleo..

na mimi nakuuliza niambie asili ya wakristo wa machame na kwanini wanatofauti ya kimaendeleo na wakristo wa maeneo mengine ya tanzania?
 
Bora kufuga majini kuliko ule ushirikina wanaoenda kuufanya kila mwezi wa kumi na mbili.
Wanazuga kwenye mwamvuli wa dini wakati washirikina tu wafanya matambikooooo!
Uislamu hauruhusu ndo maana mnauchukia.

Dini ni imani na zote zina mambo ya Kishirikina. Kuna dini inasemekana zinaabudu watu na nyingine vitu maka vile mawe (jiwe).
 
kuna watu wamekulia Moshi,
hadi wanafikia umri wa miaka 13 hawaujui uislamu kabisa.
from standard 1 to 7. wengine mpaka kidato cha pili wanapoanza kusoma
historia ya Afrika...ndiyo wanajua kuna dini inayoitwa uislamu

mkuu kuna watu wazima hawajui siyo uislam wala ukristo na wapo hapa hapa tanzania. sioni unachoshangaa hapo
 
Daaah ndugu yangu moshi
vijijini hapana kule wamejaa wakatoliki na walutheri... Tena nimewahi
kukaa pia Kibosho Umbwe kule kijiji kizima waislam hawafiki wa 5 tena
wahamiaji wakazi wa pale asili wote ni wakristo... Labda kule kilema,
vunjo n.k ambako pia i doubt..

Wapare wengi ndio waislam hasa kuanzia kule Hedaru, Same na
Usangi.

kibosho umbwe ipi unayosema wewe kombo ,nkomongo,kifuni mpaka unaunga na lyamungo kuna waisla watano? acha uongo wewe
 
Kuna waislamu wanywa mbege mkuu? Au hao ni mbegu mpya?
kaingia mwenyewe mtego wa nguruwe huo hatoki hapo na akizidi kukuruka ndio waya zinazidi kukaza na kukata shingo.

kumbe waislamu ni wanyaji wazuri wa mbege na wanatoka pia kaskazini?

Ahahahahahahahahhahhhah!!!!!
 
kaingia mwenyewe mtego wa nguruwe huo hatoki hapo na akizidi kukuruka ndio waya zinazidi kukaza na kukata shingo.

kumbe waislamu ni wanyaji wazuri wa mbege na wanatoka pia kaskazini?

Ahahahahahahahahhahhhah!!!!!
Matola uwe na wasaa kidogo hebu tuwenda kwa mantiki yakuwa kila Taifa linaupungufu wake na kila kabila halikukamilika... Hivyo kuna mazuri na kuna mabaya yao Sasa kibinaaadamu tunakereka tunaona mabaya ya wenzetu !! Na tunakubaliana tunapo ona mazuri ya wengine !! Je hapo vip?
 
asili ya wakristo Tanzania ni wamisionari na asili ya waislamu Tanzania ni wafanyabiashara wa kiarabu that's it.

hili wala halihitaji degree kulijuwa. wamisionari walijenga makanisa shule na hospital wakati wasrabu walijenga misikiti peke yake afya na elimu haikuwa kipaumbele chao.

results zake ndio zinareflect mpaka leo.
Hapo vizuri ulivyo sema Lakini hukutoa haki yakutosha.... Umesahau hii lugha iliyotukutanisha hapa (lugha Kiswahili) ililetwa na wamissionari? ?? nandiyo iliyotuunganisha kufikia hadi hii? Au hicho kiengerza kinazungumzwa na percenti ngapi nchini? Waarabu wanafadhila yao hapa kuliko kabila/Taifa/mtu yyte !! Wewe unasoma ukurasa mmoja humalizii kitabu chote, Maliza kusoma uje na hoja fika..... acha kubobojoka maneno usiyo ya jua!!
 
Soma kitabu cha Tip tipp ndo utajua mambo waliyokuwa wakifanya waarabu na mapigano yao na wenyeji, hakuna aliyeleta dini kwa amani pekee
Wewe ndiyo umepotea kabisa !! ivo bado unaamini upotofu mliofundishwa darasa la 3 n 4 Duuuh !! Ivo babu yako aliuzwa na chifu gani???? endelea kulala usiingiziii endelea!!
 
Waarabu hawkuwaelimisha watu kujua haki zao ndo maana hawakupigana nao wao (waafrika) walifikiri ni sawa kuwa chini ya waarabu. Wazungu walijiharibia kusomesha haki za binadamu katika mitaala yao. Ndo maana watu kwa kutumia elimu yamagharibi walianza kudai uhuru.
Ni vita gani ilipiganwa kati ya waarabu na wenyeji watanganyka au wazanzibar? Mm najua ni vita kati ya wajerumani/waingereza na wananch tu. Iwapo hawa wajeruman au waingereza unawasifia et kwa kuleta hosp iweje walipata upinzani mkubwa kuliko waarabu?
 
Matola,
uislamu uliutangulia ukiristo humu tz kwa miaka kama 700. Kwa maana hiyo suala la waislamu wa Masama halina tatizo kama vile baadhi ya waarabu walivyojiunga na Mkwawa kupigana na wajerumani, na hilo ndilo jibu kuwa iweje waarabu unaotanguliza kuwa walishika halaiki utumwa hawakuwa na vita na WENYEJI? Badala yake tunakuta kina Mirambo, Mkwawa, Sina nk wanapigana sio na waarabi bali na Wazungu waliojenga Shule na Hospitali? Ina maana Mkwawa hakutaka Mashule? Ina maana wajerumani walimnyonga Mangi Sina kwa kukataa mashule? Mbona wakati wazungu wanafika walikuta mwambao wote unatumia herufi za kiarabu kuwasiliana kiswahili (hadi machifu wa sambaani kina Kimweri)? Hawa wazee walikuwa wanajua kusoma!!!!! na kuandika

Amini kuwa hao "waliovumbua" Mlima Kilimanjaro walielekezwa mlima ulipo na waarabu wa zanzibar kwa vile maeneo haya yalikuwa na miji yao ya biashara kwa zaidi 500 years

Kisha nakuachia swali. Afrika magharibi kulifanyika biashara kubwa sana ya utumwa (kirasmi inaitwa West Africa Slave Trade). Huku Afrika Masharika pia pakawa na biashara kama hiyo (hii inaitwa East Africa ARAB slave trade). Do you have any idea kwa nini ile ya Africa magharibi hamna neno "European" ila hii ya huku kwetu ni muhimu kuwa na neno Arab?

TAFAKARI!!!!!

Can we conclude then that Europeans are superior to Arabs in terms of intelligence??
 
Kuna waislamu wanywa mbege mkuu? Au hao ni mbegu mpya?
Mkuu acha mbege mpaka gongo wapo wanaokunywa.

Ndiyo maana Dini ya Uislam imeweka sheria kwa Muislam mnywa pombe adhabu yake ni viboko 100.

Sasa nyie na kina Matola mnawaua Waislam kwa sumu duu!!
 
Last edited by a moderator:
kaingia mwenyewe mtego wa nguruwe huo hatoki hapo na akizidi kukuruka ndio waya zinazidi kukaza na kukata shingo.

kumbe waislamu ni wanyaji wazuri wa mbege na wanatoka pia kaskazini?

Ahahahahahahahahhahhhah!!!!!
Wewe kauzu kweli kazi yenu kuwawaua Waislam na sumu halafu mnajisifu.
 
Ni vita gani ilipiganwa kati ya waarabu na wenyeji watanganyka au wazanzibar? Mm najua ni vita kati ya wajerumani/waingereza na wananch tu. Iwapo hawa wajeruman au waingereza unawasifia et kwa kuleta hosp iweje walipata upinzani mkubwa kuliko waarabu?

shikamoo mkuu!
 
Back
Top Bottom