Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,383
- 11,197
Mkuu hapo UMEDANGANYA HASWANenda oman mkuu, utakutana na waarab weusi tena wana kipilipili kama wewe, halafu vp kuhusu hawa machotara wa kiarabu na kiswahili waliopo uku? Tafakari usikurupuke
Toka lini Oman kukawa na Waswahili, hebu nitajie hata Sheia (Balozi ) aliyechaguliwa katika Nchi hiyo ya Oman
Tafuta tafsiri ya neno PUNDA HAPANDI MUSCAT
Ndipo uje na jibu la kutueleza eti hata huku kuna Machotara wa Kiarabu
Hawa Machotara wote unaowaona km wana asili ya Oman basi Mama ni muafrika Baba ndio MuOman au Saudi Arabi au UAE 9ni marufuku kwa Binti wa kiarabu kuzaa na nyani toka afrika)fuatilia kisa cha tajiri wa Home Shopping Center ndio utajua udhalimu wenu kwa ubaguzi.
ungeniambia WaYemen (WaKoja) au Wasomali kidogo