Asili ya Waislamu wa Masama, Hai Kilimanjaro ni wapi?

Asili ya Waislamu wa Masama, Hai Kilimanjaro ni wapi?

saa nyingine hapa ndugu ndio huwa kidogo mnapitiwa, misikiti yakutosha maana yake ni nini?

pale moshi maeneo ya rau kuna msikiti mkubwa lakini wanaswali waislamu 6 tu miaka nenda rudi, ndio maana kule angola misikiti imebomolewa si kwa sababu za kidini bali haina kazi na watu wanahitaji maeneo wayafanyie kazi.

kuna mijitu humu mivivu ya kufikiri iliyotawaliwa na dini huwa haina hata akili chache za kufikiri.

pale kariakoo mtaa wa uhuru kabla ya round about ya uhuru near rupia house kuna kanisa limeuzwa pale na walionunuwa ni waumini wa kiislamu na limegeuzwa kuwa mafremu ya maduka.

kiuchumi hii ni win win solution, kwanza pale hapakufaa tena kuendelea kuwa sehemu ya ibada maana imezungukwa na kelele za maduka ya simu pili eneo walilopata ni bora na kubwa maradufu na pesa nzuri tu ya kumalizia ukenzi ni kuweka miradi yao mingine.

huku ndio kufuata dini kwa akili na siyo kufungia akili kabatini.

Mkuu,umenifurahisha sana na hili bandiko lako..big up!!!
 
sasa kama asili yao si pale, kwanini wawe na majina ya koo za kichagga?

Kwakuwa unaongelea mambo ya uchagani, lakini kule kwetu Rungwe tunaambiwa walipokuja wamisionari walipewa majina ya kienyeji, Mmoja aliitwa Kabheta, Mwafilombe, Mwasulama e.tc. Naamini hata uchagani ni hivyo, ilikuwa ni laazima uchukue jina la kienyeji ili ufanane na jamii inayo kuzunguka!
 
Kwakuwa unaongelea mambo ya uchagani, lakini kule kwetu Rungwe tunaambiwa walipokuja wamisionari walipewa majina ya kienyeji, Mmoja aliitwa Kabheta, Mwafilombe, Mwasulama e.tc. Naamini hata uchagani ni hivyo, ilikuwa ni laazima uchukue jina la kienyeji ili ufanane na jamii inayo kuzunguka!
na kuna mzungu anaitwa jina la kisukuma mabala.
 
Wachaga bana uwa wanajichekesha sana na Chadema yao wao ndiyo wanajiona wabora wa kila kitu wakati Wachaga wengi asili yao ni Kenya.

Wabantu wa Kenya? Unaijua Historia vizuri wewe?
 
Ukifuatilia kwa karibu utagundua kuwa wachagga ni jamii yafamilia 12 nazo ni,WAROMBO,WAMWIKA,WAMAMBA,WAMARANGU,WAKILEMA,WAKIRUA,WAMOSHI,WAURU,WAKIBOSHO,WAMACHAME,WAMASAMA,NA WASIHA.Sasanitawaeleza,asili yahawa waislam wamasama roo,kwasadala,mudio na wale wa kalali.
 
kama unajua Marangu mtoni kuna jengo moja la mawe kwa upande wa kulia pale,wazee walituambia kuna mwarabu alikuja akajenga urafiki wao wa kunafiki na wananchi wa pale wakampa kiwanja,nia na makusudi kueneza dini,wakamshtukia wakamtoa mbio akatembea mbele jengo lipo mpaka leo,kwi kwi kwiii,

Unachekea ujinga leo unajisifu ww una mvuto bila dada zetu kwafundisha usafi huko chini mngekua kama wagalatia wenzenu wa zambia malawi zimbabwe
Wanatembea na panya alokufa ktkt papuchi zao kahtaan rizt
 
Last edited by a moderator:
Ipo siku mtasema wachaga ni kizazi cha firauni au farao

Maana vichaa kama Nicholaus alisha weka uza kua wao ni wayahudi
Toka mlima ya gollan
 
Last edited by a moderator:
kule marangu kilema kuna mwislamu mmoja aliamia kule na akawa ni mtu wa kupiga deiwaka, wale marangu walimlia timing kwa miaka karibu saba mpaka siku wakanikiwa kumuwekea sumu kwenye mbege akafa.

sijui sasa kama kuna mwislamu marangu labda huu uamisho wa walimu na kama ni mwalimu atasalimika maana wachaga wanawaheshimu sana mapadre na walimu tu basi.

Hata pale marangu samanga headquater kuna msikiti unasali familia moja tuu ya ukoo wa Mongi ni walevi hao balaa. Sasa sijui uchaga na uislamu wapi na wapi.
 
Matola kama kuna sehemu Tanzania hii ninayoijua vizuri ni Marangu.
Wakati unaingia Marangu, ukifika Samanga kuna sehemu inaitwa Headquota Pana msikiti mkubwa tu pale.
Na kina Mongi wa maeneo yale ni Waislamu.
hata marehemu Amina Mongi, ni mzaliwa wa pale na alikuwa ni mwislamu.

Sema hawa wako tofauti sana na waislamu wengine ndani ya Tanzania hii, they are well developed and educated compared to those of other areas in Tanzania.

Ila bwana matola kwa ukoo huo ulioutaja unazalilisha sana Uislamu. Mimi ni mzaliwa wa pale samanga baada tuu ya huo msikiti nyumba inayofuata ya kina Sawaya ndo kwetu. Kaka hao jamaa ni wanafiki sana na walevi mno ndo maana mpaka sasa msikiti una watu 14 tuu wakiongozwa na mzee Ibrahim. Am i correct. Acha kutukana uislamu kwa kutaja koo zisizo na hadhi ya kiislamu.
 
Last edited by a moderator:
kama unajua Marangu mtoni kuna jengo moja la mawe kwa upande wa kulia pale,wazee walituambia kuna mwarabu alikuja akajenga urafiki wao wa kunafiki na wananchi wa pale wakampa kiwanja,nia na makusudi kueneza dini,wakamshtukia wakamtoa mbio akatembea mbele jengo lipo mpaka leo,kwi kwi kwiii,

Na akili yako ilivyokuwa likizo Unadhani huko ndiko kutazuia dini Ya KIISLAMU ISISAMBAE!
teh teh teh! Nyie wachaga mafundi viatu mna matatizo sana!

Kule UKRISTO ULIPOANZIA KUMESHAJAA MISKITI KILA KONA!

Na asilimia 99% ya hio miskiti ILIKUWA MAKANISA!

Njiwa wamekunya ndani yake miaka mingi kwa wanakondoo kukimbia zizi!

Sasa we chekelea tu! Sasa hivi utaskia Unaitwa MRS ATHUMANI au MRS BAKARI!
Manake Waislamu hawacheleweshi kusilimisha watu km wewe.
 
Wickama
naomba utuwekee chapisho la kisomi lilipitishwa na taasisi zinazoheshimika kwa kuaprove machapisho ya kisomi kuliko kuanza kuleta ngano zisizo na mashiko yoyote. maandishi yako yamejaa porojo kama za Mohammed said.

cc; Mzee Mwanakijiji Pasco

Na wewe unaejiita mkatoliki ambae BIBLIA unaisoma na kuitegemea ikukomboe tukikuuliza utuletee hizo Taasisi za kuaminika zitakazo tuonyesha kuwa BIBLIA ni kitabu cha MUNGU ntakuwa nimekupa Kazi kubwa sana!

Kuna WAANDISHI Wanne wa hio biblia .
MATAYO.
MARK
LUKA
JOHN.

Mimi naomba Ututajie MAJINA YA BABA ZAO TU!
Mbali ya ADAM
Hakuna binaadamu asiekuwa na JINA LA BABA ispokuwa hao WATUNZI WA BIBLIA!

Kusanya maaskofu na makadinali wote wakusaidie.

Nasuburi jibu!
 
Last edited by a moderator:
Pasco kwani yule ndugu yake mwingine yuko wapi?
lastly alikuwa BBC. anaitwa Suzan Mongi.
Ni Susan Mungy na marehemu alikuwa Amina Mongi!.
Mmmoja ni Mungy, mwengine ni Mongi. Suzy sisi tunamwita Sue, yuko TBC ni Bosi mkubwa pale.
Pasco
 
Uislam na waislam utaukuta na utawakuta popote duniani hata ndani ya Vatican.
Kimsingi mtoto akizaliwa huzaliwa ktk maumbile ya asili ya uislam(fitra) ambayo yameelezwa vyema ndani ya Qur'an kuanzia
tendo la ndoa,mchupo wa manii,pande la nyama,kupuliziwa roho,miezi 9 tumboni.mpaka kuzaliwa.
Kwakua mtoto huzaliwa akiwa muislam kamili ndo maana wakristo hujaribu kuleta dhana ya UBATIZO eti kujaribu kumvua mtoto uislam wake.

Mimi si mtaalamu wa dini ila navyofahamu yesu alibatizwa kabla hata uislam haujaanza.
 
kuwa na majina ya kichaga sio sababu mkuu majority wao walikuwa migrant halafu waka mezwa na tamaduni za kichaga na kule watu wananua koo kwa kufanya taratibu za kimila mbona kuna wengi asili yao ni mikoa ya pwani
hoja yangu haikujikita kwenye majina bali kwenye baàdhi ya machifu wa Kichaga kufanya biashara ya watumwa kupitia norhern route iliyopitia Korira. Agent Mkùu wa mwarabu ndo huyo Mangi Meli--huyu kauza sana Wapare including Wachaga wenyewe!
 
kwa nini leo Zanzibar inategemea umeme wa bara kupitia rasi kilomoni?

Kwavile bara kuna Wakristo ambao ni wasomi kwelikweli wakai ZNZ kuna Waislam ambao ni makapuku! Niseme tu mkuu wangu kwamba mnachekesha sana! kwa anayeifaham TZ hii halafu watokee watu kila uchao wanajigamba kwamba wao ni wasomi, wameendelea, hakika ni CENTURY JOKE! Kama cvyo kumbe kweli CCM wana haki kutamba manake kama kuna jamii kubwa kabisa nchini ambayo ni wasomi, wameendelea: omg! they did it!
 
Back
Top Bottom