Asili ya Waislamu wa Masama, Hai Kilimanjaro ni wapi?

Asili ya Waislamu wa Masama, Hai Kilimanjaro ni wapi?

Wakuu, Kwa wale wanaoifahamu Jiografia ya Mkoa wa Kilimanjaro,

Huu mkoa umekaliwa sana na Wapare (maeneo ya Same na Mwanga), Wamasai kidogo na Wachaga kwa wingi, takribani kwa wilaya nyingine zinazobakia. i mean Hai, Moshi Mji, Moshi (V), Siha na Rombo.

Kunasehemu moja inaitwa Masama iko wilaya ya Hai, hili eneo limekaliwa na Waislamu kadhaa tena wale wenye misimamo ya wastani. ni nini asili yao?

Sababu ya kutaka kujua, ni nzuri tu coz hawa wako sarrounded na Wachaga wakristo with no impact on their presence.

Hata kisiasa ni watu wapenda mabadiliko..
Ni chimbuko la kina Former I GP Said Mwema.
Na pamoja na hayo, Kwa pale mjini(Hai) ni sehemu yenye misikiti mingi tu, dhana ya udini Kazkazini kwa sasa haiko tena...
nawasilisha

WAISLAMU WACHACHE WALIOINGIZA UISLAMU KILIMANJARO WALITOKANA NA WAFANYA BIASHARA WA MBALI AZIA ASIA ,UAJEMI ,SOMALIA Etc ...AMBAO WALIINGIA MOSHI TAMBARARE KULETA NGUO ...WENGINE WALIKUJA WAKATI WA UJENZI WA RELI TOKA NCHI NYINGINE ZILIZOKUWA KOLONI LA UJERUMANI AU UINGEREZA UPANDE WA KENYA ..

INFLUENCE YA UISLAMU MOSHI IPO MJINI ...HASA WASOMALI[ INAAMINIKA PIA KATIBU MKUU WA CCM ABDULRAHMAN KINANA MAMA YAKE ANA ASILI YA KILIMANJARO KWENYE JAMII HII WAKIWA NA NDUGU HADI KIBOSHO]....
PIA MJI WA MOSHI ULIKUWA UKIKALIWA NA WATU WACHACHE SANA HASA WAGENI ,WAISLAMU HASA WASOMALI NA WAHINDI...DINI YA KIISLAMU ILIENEA MACHAME ,MASAMA NA MARANGU KOTE KIDOGO ,..NA HAIKUPANUKA SANA KWA KUWA WENGI WA WAUMINI WAKE WALIKWUA WA WAKIBATIZWA HASA KWA KUOA AU KOLEWA.....HATA KWENYE FAMILIA YA MANGI MKUU ALIRUHUSU Baadhi ya ndugu zake kuwa waislamu ......na alama hadi leo ipo kwa kuwa na waislamu wachache kilimanjaro
ILA NI KWELI WAISLAMU WA MOSHI WENGI WANA MSIMAMO WA KATI
KUHUSU FAMILIA YA SAIDI MWEMA WAO WANA MJI MJINI MOSHI NA KULE MACHAME
 
Kilichobaki ni kuendelea kuwawekea sumu wapotee ili dunia iwe ni sehemu salama kwa kuishi.
 
WAISLAMU WACHACHE WALIOINGIZA UISLAMU KILIMANJARO WALITOKANA NA WAFANYA BIASHARA WA MBALI AZIA ASIA ,UAJEMI ,SOMALIA Etc ...AMBAO WALIINGIA MOSHI TAMBARARE KULETA NGUO ...WENGINE WALIKUJA WAKATI WA UJENZI WA RELI TOKA NCHI NYINGINE ZILIZOKUWA KOLONI LA UJERUMANI AU UINGEREZA UPANDE WA KENYA ..

INFLUENCE YA UISLAMU MOSHI IPO MJINI ...HASA WASOMALI[ INAAMINIKA PIA KATIBU MKUU WA CCM ABDULRAHMAN KINANA MAMA YAKE ANA ASILI YA KILIMANJARO KWENYE JAMII HII WAKIWA NA NDUGU HADI KIBOSHO]....
PIA MJI WA MOSHI ULIKUWA UKIKALIWA NA WATU WACHACHE SANA HASA WAGENI ,WAISLAMU HASA WASOMALI NA WAHINDI...DINI YA KIISLAMU ILIENEA MACHAME ,MASAMA NA MARANGU KOTE KIDOGO ,..NA HAIKUPANUKA SANA KWA KUWA WENGI WA WAUMINI WAKE WALIKWUA WA WAKIBATIZWA HASA KWA KUOA AU KOLEWA.....HATA KWENYE FAMILIA YA MANGI MKUU ALIRUHUSU Baadhi ya ndugu zake kuwa waislamu ......na alama hadi leo ipo kwa kuwa na waislamu wachache kilimanjaro
ILA NI KWELI WAISLAMU WA MOSHI WENGI WANA MSIMAMO WA KATI
KUHUSU FAMILIA YA SAIDI MWEMA WAO WANA MJI MJINI MOSHI NA KULE MACHAME
Kuchanganya herufi kubwa na ndogo kitaaluma ni sawa na kufanya fujo.
 
Matola

This is the white lie that had been built by the missionaries and after the revolution and Union of 1964. And now propagated by the ultra conservetives of CCM Zanzibar and being helped by people like you.

Why the so called historians does not tell you that the first church in Africa was built in Zanzibar on the land at Mbweni and allocated by the Sultan himself. The Anglican Church at Mkunazini is the same story and some of it was leased from a well known Arab family this where the St. Monica hospital and church's school. Why they dont say the truth that even the clock and the bell on the minaret was contributed by the Sultan himself?

They are telling lies to tourist that the cellar below the St. Monica hospital was used to keep slaves to replenish them before put on sale while the hospital itself was built long after the slave trade had been abolished and that cellar was used to cool the medicines ised during the great epidemics of plague and smallpox.

Reference to this statement above is a lady in Adelaide, Australia called Anne Chapel Smithyman the daughter of Mr. Mervin Smythiman the then ADC to the Sultan.

The hate for Jemshid was imposed on the populace by the so called Protectors (The British) because Jamshid did two grave mistakes:
1) Agreeing with ZNP to fight for Independence.

2) Whe wrote a letter to HM the Queen to ask justice for his father's sudden death because he believes tha his father did not die due to diabetes but foul play. His father was against the british hegemony in EA.

For your information during the Lancaster house independence conference it os on the records that ASP asked for a copycat UK style govt and paliamentary system and that Sultan will ne a constitutional.monarch and that him and his family will be protected for ever. While ZNP under the influence of Gamal Abdelnasser socialist ideology the way they ousted King Farouk.

Ref. "The Short History of Zanzibar" by Maulid Mshangama the then member of Legco and son in law to the Sultan Khalifa bin Haroub.
mkuu mimi naelewa kusoma na kuandika swahili, French, Russian na kizaramo.

bandiko langu nimeandika kiswahili jibu kiswahili usilete mambo ya copy and paste hapa.
 
Last edited by a moderator:
Kilichobaki ni kuendelea kuwawekea sumu wapotee ili dunia iwe ni sehemu salama kwa kuishi.

13 mega pixel msome ndugu yako mchaga mwenzako au wewe unaona sawa tu lakini wakirsto wa Zanzibar wakiguswa ndiyo tatizo.
 
Last edited by a moderator:
Unanisoma kwa chuki tu lakini maneno yangu yana ukweli mwingi, sijui kama umewasoma wachaga wenzako wanavyojisifu jinsi walivyokuwa wanawaua kuwawekea sumu Waislam kwenye mbege na kufa.

Halafu Uislam siyo mpaka upelekwe na waarabu ninae rafiki yangu mmoja mpangaji wetu anatokea Kibosho nilimuuliza kuhusu hizi habari ananiambia jirani yao ni Muislam alisilimi yeye na familia yake baadhi ya majirani walimtenga lakini mzee wao akamwambia hakuna haja ya kumtenga mwisho wa siku mtoto wa huyu Muislam akaja kumsaidia huyo rafiki yangu walivyokutana Dar es Salaam kwenye biashara.

Kingine mbona hauelezi historia ya Chifu Mangi alivyokua anafanya biashara ya utumwa kuwauza wapare.

Mkuu Ritz sina chuki na wewe na wala kukuchukia hakutanisaidia katika maisha yangu, ila cha kwanza nisichokubaliana na wewe ni kuweka mambo ya chama katika huu mjadala na pili mimi siyo mchaga ila nimeishi huko na nikafanya kazi za kitaaluma huko pia

Unajua chimbuko la wapare huko mkoa wa kilimanjaro?unajua ilikuwaje wakafika pale?unajua wapare chimbuko lao halisi ni mkoa gani hapa Tanzania?

Kukurekebisha hamna mtu aliyekuwa anaitwa chifu Mangi kwa wachaga, kiongozi wa wachaga label yake ni MANGI, ndo maana unasikia kuna mangi Sina, mangi Meli, mangi Lemnge n.k haya ya chief ni ya huko kwingine

Urafiki na kusaidiana kati ya wakristo na waislamu inategemea zaidi na hisia, utashi na haiba ya mtu bila kujali dini, ingekuwa tunafata dini ktk haya hakika tusingefika mbali

Achilia wapare mangi meli na sina walikuwa wanauza mateka wao wa kichaga wanapowakamata katka vita vyao nini wapare
 
Last edited by a moderator:
WAISLAMU WACHACHE WALIOINGIZA UISLAMU KILIMANJARO WALITOKANA NA WAFANYA BIASHARA WA MBALI AZIA ASIA ,UAJEMI ,SOMALIA Etc ...AMBAO WALIINGIA MOSHI TAMBARARE KULETA NGUO ...WENGINE WALIKUJA WAKATI WA UJENZI WA RELI TOKA NCHI NYINGINE ZILIZOKUWA KOLONI LA UJERUMANI AU UINGEREZA UPANDE WA KENYA ..

INFLUENCE YA UISLAMU MOSHI IPO MJINI ...HASA WASOMALI[ INAAMINIKA PIA KATIBU MKUU WA CCM ABDULRAHMAN KINANA MAMA YAKE ANA ASILI YA KILIMANJARO KWENYE JAMII HII WAKIWA NA NDUGU HADI KIBOSHO]....
PIA MJI WA MOSHI ULIKUWA UKIKALIWA NA WATU WACHACHE SANA HASA WAGENI ,WAISLAMU HASA WASOMALI NA WAHINDI...DINI YA KIISLAMU ILIENEA MACHAME ,MASAMA NA MARANGU KOTE KIDOGO ,..NA HAIKUPANUKA SANA KWA KUWA WENGI WA WAUMINI WAKE WALIKWUA WA WAKIBATIZWA HASA KWA KUOA AU KOLEWA.....HATA KWENYE FAMILIA YA MANGI MKUU ALIRUHUSU Baadhi ya ndugu zake kuwa waislamu ......na alama hadi leo ipo kwa kuwa na waislamu wachache kilimanjaro
ILA NI KWELI WAISLAMU WA MOSHI WENGI WANA MSIMAMO WA KATI
KUHUSU FAMILIA YA SAIDI MWEMA WAO WANA MJI MJINI MOSHI NA KULE MACHAME

Mangi mkuu yupi?wa machame, kibosho au marangu?
 
Mkuu Ritz sina chuki na wewe na wala kukuchukia hakutanisaidia katika maisha yangu, ila cha kwanza nisichokubaliana na wewe ni kuweka mambo ya chama katika huu mjadala na pili mimi siyo mchaga ila nimeishi huko na nikafanya kazi za kitaaluma huko pia

Unajua chimbuko la wapare huko mkoa wa kilimanjaro?unajua ilikuwaje wakafika pale?unajua wapare chimbuko lao halisi ni mkoa gani hapa Tanzania?

Kukurekebisha hamna mtu aliyekuwa anaitwa chifu Mangi kwa wachaga, kiongozi wa wachaga label yake ni MANGI, ndo maana unasikia kuna mangi Sina, mangi Meli, mangi Lemnge n.k haya ya chief ni ya huko kwingine

Urafiki na kusaidiana kati ya wakristo na waislamu inategemea zaidi na hisia, utashi na haiba ya mtu bila kujali dini, ingekuwa tunafata dini ktk haya hakika tusingefika mbali

Achilia wapare mangi meli na sina walikuwa wanauza mateka wao wa kichaga wanapowakamata katka vita vyao nini wapare

nimecheka kweli leo, eti kuna mtu anasema kuna mpangaji wetu! ahahahahahahahahahaa!! hizi ni ishara za kula kulala jitu linalokaa kwao.

mwenye nyumba ni lazima angesema mpangaji wangu na siyo mpangaji wetu, kumbe ndio maana kuna mipuuzi mingi muda wote iko hapa jf kumbe ni kula kulala tu ugari wa kengele.

ahahahahahahahahahahahahahahahahahaah!!
 
Last edited by a moderator:
Naiona point yako. Ila nikuulize kwanini mpaka leo kunawatu huku pwani wenyeakili ya bokoharamu wakati ukienda nje utakuta waarabu kibao wanasoma elimu ya nchi za magharibi. Watu wapeani ndio wanao lalamiki mfumo wakikristo wakati duniakote makanisa ndio yanaongoza kwa kuwa na mashule, vyuo na maospitali ya maana. Waislam wajanja wa bara wanafahamu uzuri wa shule za makanisa na uendelea shule za makanisa kuliko shule za kiislam. Hata nchi za kiislam kama brunei ambako wametangaza sharia itumike kuna shule na hospitali za makanisa. Mwisho waislam walilalamika kanisa linapendelewa na serekali wakapewa chuo cha tanesco morogoro. Sasa kimeishia wapi?
Unaposema mbona hadi leo huku Pwani watu wana akili kama za Boko Haram (sifhamu unamaanisha nini hasa), you sound like huko Bara mambo swafiiii kabisa watu wamebukua ile mbaya; jambo ambalo si kweli!! Lets be honest here hivi ukiondoa Mkoa wa Kilimanjaro, Mbeya na Kagera, ni bara gani huko mnakosema watu wamebukua ile mbaya? Singida kwa akina Tundu Lissu na Mwigulu Nchemba? Mnzaungumzia Mwanza? Au Geita?Au Simiyu? Au Shinyanga? Huko Bara kwa Wakristo mnakosema watu wamebukua ile mbaya ni wapi? Au Rukwa? Au Dodoma? Kigoma? Are you talking of Ruvuma? Hivi ndugu zangu Wahehe nao wanaweza kututambia watu wa Pwani kwamba nao wamebukua ile mbaya?! Hivi kweli wale Wamasai na Wasonjo wa Arusha wamebukua wale kweli? Hivi kule Kiteto kweli watu wamebukua kule kiasi cha kuwaona watu wa Pwani ni Masakala wasioenda shule kwavile ni Waislamu? Ni Wakristo wa bara ipi hiyo ndugu zangu ambao wamebukua kiasi cha kutamba kila siku?!! Au huko nako wamejaza Waislmu wanaoishia kwenda madrasa?

Turudi huku Pwani! Tofauti na nyie wenzetu mnaojigamba mmepiga buku kweli kweli wakati majority ya Wakristo hawajui hata kusoma na kuandika, wenzenu angalau tunakiri kwamba kwa upande wetu kuna tatizo bila kujali kwamba kila mmoja atakuwa na mtazamo kuhusu chanzo cha tatizo! Sasa tukija kwenye hoja kwamba mbona hadi leo watu wa Pwani bado kabisa, ukweli ni huu hapa chini!!! Tuwiane radhi, wakati mwenzetu Diamond amejaaliwa kipaji cha muziki, wengine tumejaaliwa kipaji cha kuandika... tukianza maneno yanakuja tu... yanakuja tu, ukitanabhai, umejaza kurasa!!!

Tundelee!

Msingi wa mfumo wa sasa wa Taifa hili uliwekwa na Wakoloni wa Kijerumani na Kiingereza! Kama nilivyosema hapo awali, hawa wakalazimika kujenga mashule si kwa sababu waliwapenda wale waliowaingiza kwenye Ukristo bali walihitaji labor force inayofahamu elimu ya Kimagharibi! Tofauti na Waraabu, Wazungu walikuwa ni Watawala kwahiyo walilazimika kufanya hivyo! Kosa kubwa ambalo walifanya, tena kwa makusudi, ni kuacha elimu itolewe na Wamisionari kwenye nchi ambayo tayari ilikuwa na watu wa Imani nyingine. Tusisahau, Wamisionari hawa walikuwa ni Mawakala tu Wakoloni. Aidha, waliacha kwa makusudi elimu itolewe na Wamisionari kwavile walifahamu Utawala wao wa kikoloni usingekuwa rafiki kwa wananchi kwahiyo endapo elimu hiyo ingetolewa na serikali yenyewe ambayo hawakuwa na utu, kulikuwa na uwezekano mkubwa kwa wananchi kuisusia kwa kuona ni elimu ya madhalimu! Isitoshe, by that time wala hawakuwa na ufahamu na umuhimu wa hiyo elimu kwahiyo ilibidi itolewe na watu wa kuaminika! Kwa kufahamu hilo, wakaamua kuacha jukumu hilo kwa kanisa, watu wenye kauli ya upole na upendo!

Sasa, ile hali ya kuiacha elimu itolewe na Makanisa tayari ikawa-exclude Waislamu kwavile tayari hawa walishalishwa propaganda za dini nyingine hili lina effect mpaka leo; iwe ni kwa Waislamu au Wakristo! Leo hii hapa BAKWATA wawe na bonge la shule lenye maendeleo mazuri kitaalamu, wapo Wakristo watakaoacha kupeleka watoto wao huko kwavile tu ni ya Ki-Islamu seuze wazee wa miaka mia moja iliyopita!!!!!! Ndio maana hata hapa, unaweza kumsikia Mkristo akisema anavyowachukia Waislamu lakini muulize wamewahi kumfanya nini; HAKUNA!

Sasa basi, msingi huo ukaja kurithiwa na serikali ya weusi ambayo ilitangaza kufuta ubaguzi wa Kidini! Lakini haya yanafanyika wakati tayari kuna msingi umeshajengwa! Babu yake mimi alizaliwa wakati wa Ukoloni huyu hakupelekwa shule kv alishaambiwa hao Wazungu waliokuja wanalisha watu nguruwe!! Huyu Babu yangu nae akapata mwanae miaka michache kabla au baada ya uhuru! Kwahiyo ingawaje unamtangazia mtu kwamba elimu hii inatolewa kwa wote, bado unawatangazia watu wasiofahamu umuhimu wake! Tena hata huko kutangaza sijui walikuwa wanatangaza tangaza vipi wakati nchi yenyewe iikuwa ndo hivyo tu!

Kutokana na hilo, mtoto wa babu yangu nae hakupelekwa shule! Mtoto huyu alipokua mkubwa, harakati za maisha zikamfanya atembee huku na huko jambo ambalo baba ake hakufanya! Katika kutembea huko, akakutana na wenzake kama yeye ambao baba zao nao hawakupata shule lakini vilevile wakakutana na wenzao ambao wazazi wao walikumbwa na mfumo wa elimu ya Magharibi! Haya kwa kiasi kikubwa yalitokea miaka ya sabini kuja themanini! Kwahiyo ingawaje wazazi wetu nao hawakupata shule, kutembea kukawafanya wagundue alah, kumbe kusoma ni muhimu namna hii!!! Kama ilivyo desturi ya mabadiliko kuchelewa kushika kasi, hawa baada ya wao nao kupata watoto kuna wengine wakapeleka watoto wao shule na wengine hawakupeleka shule hii ndio nature ya mabadiliko!!! Lakini hata wale ambao walipeleka watoto wao shule, bado hawakufahamu vizuri management ya mwanafunzi kwavile hata wao wenyewe hawakusoma! Kwahiyo, mtoto alikuwa akimaliza darasa la saba, ndo imetoka hiyo, labda Mungu apende awe alifaulu!! Lakini yule ambae mzazi wake alienda shule, hata akifeli, mzazi wake atatafuta namna nyingine coz tayari anafahamu management ya mwanafunzi iko vipi!!!

Sasa na yule mtoto aliyeishia darasa la saba kwavile anakumbana na changamoto kadhaa za maisha na labda kusafiri zaidi au kukutana na watu wengi zaidi kuliko wazazi wake, it's obvious harakati hizi zitampa msukomo tofauti na kufahamu kwamba darasa la saba si lolote si chochote! Huyu atajitahidi mtoto wake asiishie darasa la saba!!

Kwa bahati mbaya, hii ni system itakayochukua miongo na sio miaka hadi kui-break ile circle! Kama ingekuwa ni genes, ni kwamba zile original genes zinakuwa neutralized from generation to generation to the point kwamba majority ya watoto wazazi wao watakuwa ni graduates! Kutokana na hilo, ndio maana naona ni vichekesho humu jamvini Wakristo wanavyojigamba wamepiga shule wakati majority, mama na baba zao wameishia darasa la saba na wengine hata kuta za darasa hawajui zinafananaje!!!!
 
umeangalia secretariat ya ajira wanaochaguliwa wasi wasi wangu mtakuja sema ni mfumo kristo
Kwahiyo huko secretariat ya ajira ndo kumejaa watu wa Ruvuma sio? Wait... na wewe ni miongoni mwa wale wasomi wetu?
 
mkuu mimi naelewa kusoma na kuandika swahili, French, Russian na kizaramo.

bandiko langu nimeandika kiswahili jibu kiswahili usilete mambo ya copy and paste hapa.

Then write in kizaramo and using zaramo alphabet I will still write and answer you in english, I wonder your Church school taught you a then atheist communist language why not their missionary english language.

By the way I speak and write six languages in their alphabet and don't boast about it.

If you speak and write zaramo and you write in swahili here it does not mean that you cannot wirte "copy and paste" in Zaramo language in Zaramo alphabet. Teh teh teh!

Karibu!
 
nimecheka kweli leo, eti kuna mtu anasema kuna mpangaji wetu! ahahahahahahahahahaa!! hizi ni ishara za kula kulala jitu linalokaa kwao.

mwenye nyumba ni lazima angesema mpangaji wangu na siyo mpangaji wetu, kumbe ndio maana kuna mipuuzi mingi muda wote iko hapa jf kumbe ni kula kulala tu ugari wa kengele.

ahahahahahahahahahahahahahahahahahaah!!
Mimi sikai kwetu, mimi nipo Kimara temboni, teh teeh teh wazee wetu waliotangulia mbele ya haki wameacha mijengo mingi tu, hivi wenye majengo ya biashara wote wanakaa kwao, teh teh teh.

Mimi siyo kama wewe unaishi kwa shemeji yako Segerea dada ako anaanika chupi yake na wewe unaanika boxer yako aliokununulia shemeji yako siku dada yako akifukuzwa na wewe unafukuzwa labda ubaki kumsaidia dada yako kazi alizokua anafanya.

Teh teh teh kumbe unanisoma si unapiga kelele kuwa umetuweka kwenye Ignore list yako Ritz na kahtaan halafu unasemea pembembeni kama mtoto wa kike takufuata huko huko.
 
Last edited by a moderator:
Matola,
uislamu uliutangulia ukiristo humu tz kwa miaka kama 700. Kwa maana hiyo suala la waislamu wa Masama halina tatizo kama vile baadhi ya waarabu walivyojiunga na Mkwawa kupigana na wajerumani, na hilo ndilo jibu kuwa iweje waarabu unaotanguliza kuwa walishika halaiki utumwa hawakuwa na vita na WENYEJI? Badala yake tunakuta kina Mirambo, Mkwawa, Sina nk wanapigana sio na waarabi bali na Wazungu waliojenga Shule na Hospitali? Ina maana Mkwawa hakutaka Mashule? Ina maana wajerumani walimnyonga Mangi Sina kwa kukataa mashule? Mbona wakati wazungu wanafika walikuta mwambao wote unatumia herufi za kiarabu kuwasiliana kiswahili (hadi machifu wa sambaani kina Kimweri)? Hawa wazee walikuwa wanajua kusoma!!!!! na kuandika

Amini kuwa hao "waliovumbua" Mlima Kilimanjaro walielekezwa mlima ulipo na waarabu wa zanzibar kwa vile maeneo haya yalikuwa na miji yao ya biashara kwa zaidi 500 years

Kisha nakuachia swali. Afrika magharibi kulifanyika biashara kubwa sana ya utumwa (kirasmi inaitwa West Africa Slave Trade). Huku Afrika Masharika pia pakawa na biashara kama hiyo (hii inaitwa East Africa ARAB slave trade). Do you have any idea kwa nini ile ya Africa magharibi hamna neno "European" ila hii ya huku kwetu ni muhimu kuwa na neno Arab?

TAFAKARI!!!!!

Dr. Walter Rodney pia, mwandishi wa How Europe Underdeveloped Africa pamoja na vitabu vingine, aliwahi kuuliza na kujibu swali hilo.
 
Wakati H.M Stanley anakuja Tanganyika alimkuta Mirambo anapigana na nani!?? ilikuaje akamwita Mirambo The Napoleon of central Africa.!??

Miriam Makeba, katika wimbo wake mmoja, anasema: "They say Chaka was the Napoleon of Africa. I say Napoleon was the Chaka of Europe."

Halafu wasikilizaji wanampigia makofi.
 
Wewe kama unajua historia wachaga gani asili yao Kenya Wakikuyu?

Siyo kweli ni habari za kufikirika tuu hizo, ati kwa sababu wachaga wanaonekana wapiga dili na kwakuwa wakikuyu wapiga dili watu wakaamua kuwaweka pamoja! Chagas are bantu kikuyu aint!
 
walipelekwa Kware sehemu gani Ndugu? Hatujaona masalia yao pale kwa maana ya sura zenye asili ya Somalia. Labda kina Masoud, Kadria na Shete
Hivi kile kizazi tishio cha kina Jabri kilitoka wapi? Nakumbuka enzi zao hawa jamaa walikuwa wababe mno sio mwanamke au mwanaume! Ilikuwa ukiingia anga zao wanakujia wote wamejazana kwenye stauti! Hata polisi walikuwa wanaufyata....hivi bado wapo?
 
ingelikuwa kashfa, kebehi na matusi vinaua (haswa kwenye mambo ya dini) basi humu JF wengi wangekuwa wameshapoteza maisha.
 
13 mega pixel msome ndugu yako mchaga mwenzako au wewe unaona sawa tu lakini wakirsto wa Zanzibar wakiguswa ndiyo tatizo.

Mkuu Ritz mimi ni mngoni nikitrace nilipotokea kwa babu yake babu ni mlolongo sehemu mbali mbali wakristo wanauwa waislamu na waislamu wanauwa wakristo
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom