Asili ya Waislamu wa Masama, Hai Kilimanjaro ni wapi?


Nyerere aliyekufa amerudi kurudisha shule kwa wamisionari?
 
kilichopo moyoni mwangu mbona hakijajificha?
nataka kujua asili ya waislamu waliopo Masama. ni kwanini wawe tofauti na waislamu wengine? kimaendeleo..

na mimi nakuuliza niambie asili ya wakristo wa machame na kwanini wanatofauti ya kimaendeleo na wakristo wa maeneo mengine ya tanzania?
 
Bora kufuga majini kuliko ule ushirikina wanaoenda kuufanya kila mwezi wa kumi na mbili.
Wanazuga kwenye mwamvuli wa dini wakati washirikina tu wafanya matambikooooo!
Uislamu hauruhusu ndo maana mnauchukia.

Dini ni imani na zote zina mambo ya Kishirikina. Kuna dini inasemekana zinaabudu watu na nyingine vitu maka vile mawe (jiwe).
 
kuna watu wamekulia Moshi,
hadi wanafikia umri wa miaka 13 hawaujui uislamu kabisa.
from standard 1 to 7. wengine mpaka kidato cha pili wanapoanza kusoma
historia ya Afrika...ndiyo wanajua kuna dini inayoitwa uislamu

mkuu kuna watu wazima hawajui siyo uislam wala ukristo na wapo hapa hapa tanzania. sioni unachoshangaa hapo
 

kibosho umbwe ipi unayosema wewe kombo ,nkomongo,kifuni mpaka unaunga na lyamungo kuna waisla watano? acha uongo wewe
 
Kuna waislamu wanywa mbege mkuu? Au hao ni mbegu mpya?
kaingia mwenyewe mtego wa nguruwe huo hatoki hapo na akizidi kukuruka ndio waya zinazidi kukaza na kukata shingo.

kumbe waislamu ni wanyaji wazuri wa mbege na wanatoka pia kaskazini?

Ahahahahahahahahhahhhah!!!!!
 
kaingia mwenyewe mtego wa nguruwe huo hatoki hapo na akizidi kukuruka ndio waya zinazidi kukaza na kukata shingo.

kumbe waislamu ni wanyaji wazuri wa mbege na wanatoka pia kaskazini?

Ahahahahahahahahhahhhah!!!!!
Matola uwe na wasaa kidogo hebu tuwenda kwa mantiki yakuwa kila Taifa linaupungufu wake na kila kabila halikukamilika... Hivyo kuna mazuri na kuna mabaya yao Sasa kibinaaadamu tunakereka tunaona mabaya ya wenzetu !! Na tunakubaliana tunapo ona mazuri ya wengine !! Je hapo vip?
 
Hapo vizuri ulivyo sema Lakini hukutoa haki yakutosha.... Umesahau hii lugha iliyotukutanisha hapa (lugha Kiswahili) ililetwa na wamissionari? ?? nandiyo iliyotuunganisha kufikia hadi hii? Au hicho kiengerza kinazungumzwa na percenti ngapi nchini? Waarabu wanafadhila yao hapa kuliko kabila/Taifa/mtu yyte !! Wewe unasoma ukurasa mmoja humalizii kitabu chote, Maliza kusoma uje na hoja fika..... acha kubobojoka maneno usiyo ya jua!!
 
Soma kitabu cha Tip tipp ndo utajua mambo waliyokuwa wakifanya waarabu na mapigano yao na wenyeji, hakuna aliyeleta dini kwa amani pekee
Wewe ndiyo umepotea kabisa !! ivo bado unaamini upotofu mliofundishwa darasa la 3 n 4 Duuuh !! Ivo babu yako aliuzwa na chifu gani???? endelea kulala usiingiziii endelea!!
 
Waarabu hawkuwaelimisha watu kujua haki zao ndo maana hawakupigana nao wao (waafrika) walifikiri ni sawa kuwa chini ya waarabu. Wazungu walijiharibia kusomesha haki za binadamu katika mitaala yao. Ndo maana watu kwa kutumia elimu yamagharibi walianza kudai uhuru.
 

Can we conclude then that Europeans are superior to Arabs in terms of intelligence??
 
Kuna waislamu wanywa mbege mkuu? Au hao ni mbegu mpya?
Mkuu acha mbege mpaka gongo wapo wanaokunywa.

Ndiyo maana Dini ya Uislam imeweka sheria kwa Muislam mnywa pombe adhabu yake ni viboko 100.

Sasa nyie na kina Matola mnawaua Waislam kwa sumu duu!!
 
Last edited by a moderator:
kaingia mwenyewe mtego wa nguruwe huo hatoki hapo na akizidi kukuruka ndio waya zinazidi kukaza na kukata shingo.

kumbe waislamu ni wanyaji wazuri wa mbege na wanatoka pia kaskazini?

Ahahahahahahahahhahhhah!!!!!
Wewe kauzu kweli kazi yenu kuwawaua Waislam na sumu halafu mnajisifu.
 

shikamoo mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…