Asilimia 60 ya maafa ya mafuriko Dar es Salaam yanatokana na uzembe wa serikali, Raisi Samia akubali ukweli huu

Asilimia 60 ya maafa ya mafuriko Dar es Salaam yanatokana na uzembe wa serikali, Raisi Samia akubali ukweli huu

Unajua, watu kutohama mambondeni kwa kutii agizo la serikali ni uzembe pia wa serikali. Mbona Ngorongoro wamehama?
Mkuu, wew umeamua kutafuta mchawi,
Ila mchawi wa kweli ni hao watu wanaopata mafuriko kila mwaka na hawahami,
 
LIVINSTONE/KIPATA
Pita mtaa wa Livingstone na KIpata uone jinsi barabara zilivyochafuliwa na mkandarasi
Miezi mitatu iliyopita greda na katapila zilipita na kuchimba chimba kisha wakaachia mashimo yanayojaa maji. Mpakaa leo hawajafika na hatujui ni kazi gani itafanyika na lini. Shida kwa wapita njia naa kwa magari
Afisa mtendaji yupo, mwenyekiti wa mtaa yupo, mbunge yupo na diwani yupo - WOTE WAKO KIMYA BILA YA MAELEZO -
Hii ni Dar inayoendeshwa na vigogo. Bila shaka mabilioni yamepigwa hapa
 
Ni kweli maafa ya mafuriko yanaitwa natural disasters, lakini sio lazima natural disasters zilete maafa kwa raia na mali zao.

Asilimia 60 ya maafa ya mafuriko Dar es Salaam yanatokana na uzembe, ubinafsi, kutojali, na uongozi mbovu kwa ujumla wa viongozi wa serikali. Si mara ya kwanza Dar es Salaam inapata mafuriko. Ni zaidi ya miaka 20 tunaishi kwa kudhani kwamba tatizo la mafuriko Dar dawa yake ni kumwomba Mungu atuepushe na vifo na upotevu wa mali, kutia ndani uharibifu wa miundombinu.

Mji wowote ulio pembezoni mwa bahari kuwa na tatizo la mafuriko yanayotokana na mvua kwa zaidi ya miaka 20 hakuna kingine zaidi ya uzembe. Serikali yetu imejisahau mno, hasa wakijua Watanzania sio rahisi kuiondoa serikali iliyopo madarakani kwa kuwa tu inafanya uzembe, ufisadi, ubinafsi nk. Kwa hiyo wanajisahau sana.

Tatizo la mafuriko linahitaji suluhisho ambalo gharama yake huenda hata isifikie gharama ya kununua ndege mbili za dreamliner, au pesa tunayolipa makampuni yanayotushitaki kukiuka mikataba.
  1. Wakusanye wataalamu wa physical geography watengeneze topographical na contour maps za Dar es Salaam na ukanda wa pwani, wakionyesha ilikupata elevation na terrain ya ukanda wote wa Dar na contour lines zinavyokwenda
  2. Kwa kutumia topographical map na contuoar lines, wakusanye civil engineers wachore line kupitisha maji kwa kutumia channel za ukubwa wa kiasi na kupeleka kwenye channel kubwa ambazo zitaelekeza maji baharini
Sasa, katika kufanya design ya channel za maji, factor of safety isiwe tena historical data, bali iwe projection iliyo informed na modeling za climate change impact scenarios katika masuala ya mvua, na ipigwe factor kubwa zaidi ya standard factors (najua mainjinia tu ndio wataelewa hii paragraph)

Ikibidi, baadhi ya majengo itabidi yaondoke, yabomolewe, hata kama ni mazuri kiasi gani.
View attachment 2878486
Ninatamani sana nimpigie Samia simu nimwambia nipe hii kazi nisimamie huu mkakati. Raisi Samia nakuhakikishia kwamba mji wowote uliopo kando ya bahari haupaswi kuwa na mafuriko kama tunayoona Dar. Au mwambie Prof. Tibaijuka asimamie hili.

Tatizo lililop kwako Samia ni kuteua watu ambao wanaona kipao mbele cha Dar ni kushughulika na changudoa na maandamano ya Chadema badala ya matatizo yanayoathiri wananchi na taifa kwa ujumla kwa kiwango cha juu sana. Unapewa sifa kila siku katika mambo ambayo ni routine sana, usiridhike au kudanganywa na hizo sifa. Kutoa hela za kujenga Zahanati na nini sijui sio sifa za kuwa raisi mzuri. Kwanza wengine tunaona hilo ni uongozi mbovu tu, kwa sababau pesa hizo zinapaswa kutolewa kupitia mipango ya maendeleo na bajeti za maeneo hayo. Kwa nini unakubali kuleweshwa na sifa za mambo yanayotakiwa kufanywa na wakuu wa mikoa na wakurgenzi wa miji na majiji? Fanya kazi za kitaifa tukusifie, sio mambo ya vijijini, wilayani na mikoani. Hiyo sio ligi yako.

Bado hatuoni unayofanya katika mambo makubwa ambayo yataacha legacy yako, pamoja na hili la mafuriko Dar. Japo tunaelewa ni suala la majiji haya matatu, Ilala, Kindondoni na Temeke, lakini lichukue sura ya kitaifa ili kuwe na coordination rahisi.

Kwa kujua au kutokujua watu wanashindwa kuelewa kuwa makazi ya jiji la Dar es salaam yapo kwenye mteremko wa vilima vya Pugu na Kisarawe.

Haya ni maeneo yenye kupata mvua nyingi kwa mwaka. Hata mvua isiponyesha Dar es salaam, maji kutoka vilima hivi yatatutesa tu.

Maji kutoka maeneo haya LAZIMA yaende/yafike baharia. Ili yafike ni lazima kuwe na njia za kuwezesha kupita.

Tumeshiriki kwenye makosa haya:

1: Kwa kuwa na serikali isiyowajibika vyema kwa mambo muhimu. Hatuiwajibishi serikali na hatuoni wajibu huo, nayo imelala.

2: Serikali yenyewe kutosimamia mambo muhimu. Kuhakikisha maeneo yasiruhusiwa hayaguswi, taratibu zote na tahadhali zinazingatiwa kwa wanaoishi, kufanya shughuli zao kwenye maeneo haya.

3: Mtu mmoja mmoja:
A: Kukata miti hovyo(miti kupunguza spidi ya maji, huzuia baadhi ya uchafu kutokushuka na huzuia udongo usiondoke kwa wingi ambavyo huziba njia za maji).

B: Kulima kilimo kisichozingatia aina ya eneo/mteremko(kuacha ardhi wazi bila kufuata matungazi, hapa maji huondoka kwa wingi, spidi kali na kubeba udongo).

C: Kujenga ndani ya njia za maji(tunafanua njia za.maji kuwa finyu au kutafita njia mpya, ambapo gharama ni kwa kila aliye kwenye eno lisiloruhusiwa).

NB: Maji hayasahau njia yake na ukiyazuia lazima ulioe gharama ya kuyatafutia njia au yakuondoe wewe.
 
Anayejenga miundombinu ni serikali, yenye uwezo wa kuzuia watu wasijenge mabondeni, njia za maji ni serikali, anayeweza kubadilisha makosa yaliyofanywa zamani Ni serikali,watu wanapoilaumu serikali halafu wewe unamtetea mtu eti ni waliotangulia, kwa hio serikali haihusiki kwa lolote,

Kumbuka mtu akijenga mkondo wa maji haathiriki yeye peke yake ni jamii nzima, kuendela kumlaumu yule mtu ni kusema hakuna serikali
 
Ni kweli maafa ya mafuriko yanaitwa natural disasters, lakini sio lazima natural disasters zilete maafa kwa raia na mali zao.

Asilimia 60 ya maafa ya mafuriko Dar es Salaam yanatokana na uzembe, ubinafsi, kutojali, na uongozi mbovu kwa ujumla wa viongozi wa serikali. Si mara ya kwanza Dar es Salaam inapata mafuriko. Ni zaidi ya miaka 20 tunaishi kwa kudhani kwamba tatizo la mafuriko Dar dawa yake ni kumwomba Mungu atuepushe na vifo na upotevu wa mali, kutia ndani uharibifu wa miundombinu.

Mji wowote ulio pembezoni mwa bahari kuwa na tatizo la mafuriko yanayotokana na mvua kwa zaidi ya miaka 20 hakuna kingine zaidi ya uzembe. Serikali yetu imejisahau mno, hasa wakijua Watanzania sio rahisi kuiondoa serikali iliyopo madarakani kwa kuwa tu inafanya uzembe, ufisadi, ubinafsi nk. Kwa hiyo wanajisahau sana.

Tatizo la mafuriko linahitaji suluhisho ambalo gharama yake huenda hata isifikie gharama ya kununua ndege mbili za dreamliner, au pesa tunayolipa makampuni yanayotushitaki kukiuka mikataba.
  1. Wakusanye wataalamu wa physical geography watengeneze topographical na contour maps za Dar es Salaam na ukanda wa pwani, wakionyesha ilikupata elevation na terrain ya ukanda wote wa Dar na contour lines zinavyokwenda
  2. Kwa kutumia topographical map na contuoar lines, wakusanye civil engineers wachore line kupitisha maji kwa kutumia channel za ukubwa wa kiasi na kupeleka kwenye channel kubwa ambazo zitaelekeza maji baharini
Sasa, katika kufanya design ya channel za maji, factor of safety isiwe tena historical data, bali iwe projection iliyo informed na modeling za climate change impact scenarios katika masuala ya mvua, na ipigwe factor kubwa zaidi ya standard factors (najua mainjinia tu ndio wataelewa hii paragraph)

Ikibidi, baadhi ya majengo itabidi yaondoke, yabomolewe, hata kama ni mazuri kiasi gani.
View attachment 2878486
Ninatamani sana nimpigie Samia simu nimwambia nipe hii kazi nisimamie huu mkakati. Raisi Samia nakuhakikishia kwamba mji wowote uliopo kando ya bahari haupaswi kuwa na mafuriko kama tunayoona Dar. Au mwambie Prof. Tibaijuka asimamie hili.

Tatizo lililop kwako Samia ni kuteua watu ambao wanaona kipao mbele cha Dar ni kushughulika na changudoa na maandamano ya Chadema badala ya matatizo yanayoathiri wananchi na taifa kwa ujumla kwa kiwango cha juu sana. Unapewa sifa kila siku katika mambo ambayo ni routine sana, usiridhike au kudanganywa na hizo sifa. Kutoa hela za kujenga Zahanati na nini sijui sio sifa za kuwa raisi mzuri. Kwanza wengine tunaona hilo ni uongozi mbovu tu, kwa sababau pesa hizo zinapaswa kutolewa kupitia mipango ya maendeleo na bajeti za maeneo hayo. Kwa nini unakubali kuleweshwa na sifa za mambo yanayotakiwa kufanywa na wakuu wa mikoa na wakurgenzi wa miji na majiji? Fanya kazi za kitaifa tukusifie, sio mambo ya vijijini, wilayani na mikoani. Hiyo sio ligi yako.

Bado hatuoni unayofanya katika mambo makubwa ambayo yataacha legacy yako, pamoja na hili la mafuriko Dar. Japo tunaelewa ni suala la majiji haya matatu, Ilala, Kindondoni na Temeke, lakini lichukue sura ya kitaifa ili kuwe na coordination rahisi.
bado kidogo utaanza laumu Mungu 🐒
 
Kwa hili siungi mkono! Siku zote Serikali imetahadharisha watu sana mf. Watu wasijenge mabondeni, na waliojenga wahame, lakini watu hawasikii!
Serikali ikisema itumie nguvu kuwahamisha, wananchi wanakuja juu!
Serikali inaona bora ikae kimya!
 
Sometimes hii nch tunalaumu mno serikali,
Watu wanajenga kwenye mikondo ya maji, wengine hadi wanatoa rushwa ili wajenge, then yakija mafuriko wanakimbilia kusema serikali, hahah


Uko sahihi sana.

Lawama kwa Serikali zimekua nyingi hata kwa mambo tunayosababisha wenyewe. Ni aibu!
 
Watu wameshatahadharishwa na mamlaka ya hali ya hewa wahame hawataki, kuna nabii akawaambia wahame wakasusa, sasa tuwasaidieje?.

Mtu unaona kabisa huu ni mkondo wa maji, unalazimisha kujenga, unataka nani apate uchungu wa uhai wako zaidi yako mwenyewe?.

Siipendi sisiemu na watu wake, lakini ktk hili la mafuriko niko na Samia.

Nyie kila mwaka maafa yanawakumba lakini hamkomi, hivi aliyewaambia maisha yanapatikana huko mitaroni ni nani?.

Huku bara ardhi imejaa tele, njooni huku.

Mvua ni baraka, acha iendelee kunyesha maana ni msimu wake.


Mvua ni baraka.

Ahsante.
 
Hizo ni semantics. Kutoa rushwa kwa daktari ili akutibu wa kulaumiwa ni wewe, sivyo? Na trafiki kuomba rushwa wa kulaumiwa ni wewe? Na tuoa rushwa polisi wamfutie mashataka mtuhumiwa wa kulaumiwa ni mtoa rushwa? Hebu jaribu kujifanya una uwezo wa kuchambua mambo angalau kidogo



KUTOA RUSHWA na KUPOKEA RUSHWA yote ni makosa ya Jinai.

Wahusika wote wawili ni wahujumu uchumi na Mahakama ya Mafisadi inawahusu.
 
Ni serikali ya kijinga sana na kipumbavu itakayotoa tamko kama hilo na itarajie wananchi watekeleze kwa hiari. Serikali inawajibika kuhamisha na kufidia watu kwa kuwa walipojenga hawakujenga ndani ya siku moja, na serikali ilikuwapo ikiona wakifanya hivyo.

Wewe nenda leo kajenge kibanda nyuma ya ikulu uone kama utaanza hata kuchimba huo msingi.

Katika hali hi serikali lazima ikubali kulipia gharama za kuhamisha watu, kwa sababu ni kwa uzembe wa serikali watu wapo sehemu wazizotakiwa kujenga. Na zaidi, cummukatively, serikali inaingia gharama kubwa zaidi kusaidia watu maafa yanapotokea kuliko gharama ambayo ingetumika ikiwa wangekubali kuingia gharama ya kuwahamisha.

Mbona kama serikali tunakubali kulipia ujinga wa kuwalipa watu tuliowakatia mikataba yao? Lazima katika mausha uelewe kuna gharama za upumbavu na uzembe. Serikali ikubali kwamba watu kujenga maeneo hayo ni kwa sababu ya upumbavu na uzembe wake, na hivyi ina wajibu wa kuingia gharama kurekebisha hilo


Sasa hizo gharama za upumbavu na uzembe wanazilipia hao waliojenga kwenye njia za maji, wakiwemo watumishi wa serikali wenye makazi huko.



Karma is simply flawlessly beautiful.
 
Anayejenga miundombinu ni serikali, yenye uwezo wa kuzuia watu wasijenge mabondeni, njia za maji ni serikali, anayeweza kubadilisha makosa yaliyofanywa zamani Ni serikali,watu wanapoilaumu serikali halafu wewe unamtetea mtu eti ni waliotangulia, kwa hio serikali haihusiki kwa lolote,

Kumbuka mtu akijenga mkondo wa maji haathiriki yeye peke yake ni jamii nzima, kuendela kumlaumu yule mtu ni kusema hakuna serikali


Serikali hii hii ikiwabana kidogo ili kuwaweka kwenye mstari ulionyooka mnapiga kelele mpaka Mtaa wa saba Washington wanawasikia?!


Kwenye hili Serikali naona imeamua kumuachia mtoto wembe achezee itamsaidia kutibu vidonda.
 
Na ukiona mwanao kachukua kamba anaenda kujiny'onga utasema mwacheni, anajua madhara ya kujinyonga, wewe sio wa kulaumiwa, sivyo?
Mtoto anayetaka kujiua ni suala la muda tu labda umfungie kwenye pipa.
 
Ni kweli maafa ya mafuriko yanaitwa natural disasters, lakini sio lazima natural disasters zilete maafa kwa raia na mali zao.

Asilimia 60 ya maafa ya mafuriko Dar es Salaam yanatokana na uzembe, ubinafsi, kutojali, na uongozi mbovu kwa ujumla wa viongozi wa serikali. Si mara ya kwanza Dar es Salaam inapata mafuriko. Ni zaidi ya miaka 20 tunaishi kwa kudhani kwamba tatizo la mafuriko Dar dawa yake ni kumwomba Mungu atuepushe na vifo na upotevu wa mali, kutia ndani uharibifu wa miundombinu.

Mji wowote ulio pembezoni mwa bahari kuwa na tatizo la mafuriko yanayotokana na mvua kwa zaidi ya miaka 20 hakuna kingine zaidi ya uzembe. Serikali yetu imejisahau mno, hasa wakijua Watanzania sio rahisi kuiondoa serikali iliyopo madarakani kwa kuwa tu inafanya uzembe, ufisadi, ubinafsi nk. Kwa hiyo wanajisahau sana.

Tatizo la mafuriko linahitaji suluhisho ambalo gharama yake huenda hata isifikie gharama ya kununua ndege mbili za dreamliner, au pesa tunayolipa makampuni yanayotushitaki kukiuka mikataba.
  1. Wakusanye wataalamu wa physical geography watengeneze topographical na contour maps za Dar es Salaam na ukanda wa pwani, wakionyesha ilikupata elevation na terrain ya ukanda wote wa Dar na contour lines zinavyokwenda
  2. Kwa kutumia topographical map na contuoar lines, wakusanye civil engineers wachore line kupitisha maji kwa kutumia channel za ukubwa wa kiasi na kupeleka kwenye channel kubwa ambazo zitaelekeza maji baharini
Sasa, katika kufanya design ya channel za maji, factor of safety isiwe tena historical data, bali iwe projection iliyo informed na modeling za climate change impact scenarios katika masuala ya mvua, na ipigwe factor kubwa zaidi ya standard factors (najua mainjinia tu ndio wataelewa hii paragraph)

Ikibidi, baadhi ya majengo itabidi yaondoke, yabomolewe, hata kama ni mazuri kiasi gani.
View attachment 2878486
Ninatamani sana nimpigie Samia simu nimwambia nipe hii kazi nisimamie huu mkakati. Raisi Samia nakuhakikishia kwamba mji wowote uliopo kando ya bahari haupaswi kuwa na mafuriko kama tunayoona Dar. Au mwambie Prof. Tibaijuka asimamie hili.

Tatizo lililop kwako Samia ni kuteua watu ambao wanaona kipao mbele cha Dar ni kushughulika na changudoa na maandamano ya Chadema badala ya matatizo yanayoathiri wananchi na taifa kwa ujumla kwa kiwango cha juu sana. Unapewa sifa kila siku katika mambo ambayo ni routine sana, usiridhike au kudanganywa na hizo sifa. Kutoa hela za kujenga Zahanati na nini sijui sio sifa za kuwa raisi mzuri. Kwanza wengine tunaona hilo ni uongozi mbovu tu, kwa sababau pesa hizo zinapaswa kutolewa kupitia mipango ya maendeleo na bajeti za maeneo hayo. Kwa nini unakubali kuleweshwa na sifa za mambo yanayotakiwa kufanywa na wakuu wa mikoa na wakurgenzi wa miji na majiji? Fanya kazi za kitaifa tukusifie, sio mambo ya vijijini, wilayani na mikoani. Hiyo sio ligi yako.

Bado hatuoni unayofanya katika mambo makubwa ambayo yataacha legacy yako, pamoja na hili la mafuriko Dar. Japo tunaelewa ni suala la majiji haya matatu, Ilala, Kindondoni na Temeke, lakini lichukue sura ya kitaifa ili kuwe na coordination rahisi.

Umenena kwa kweli!tatizo wa kukusikiliza sasa!
 
Kuna mifano haina uhalisia, anayejenga ni binadamu mtu mzima mwenye utashi wa kung'amua jema na baya sio mtoto.

Kila siku Serikali inawaambia hameni hamtaki, wewe unataka nini zaidi ya maafa?.
Mwanao maana yake mtoto mdogo?
 
100% lawama kwa hao watu, kwa hio wao serikali ikisema kitu hawatumii akili ?
Sasa kama kila mtu anatumia akili, kwa nini tuna serikali? Si tuache tu kila mtu anatumia akili mambo yataenda. Hata hao trafiki barabarani waondolewe, maana kila dereva ana akili!
 
Sometimes hii nch tunalaumu mno serikali,
Watu wanajenga kwenye mikondo ya maji, wengine hadi wanatoa rushwa ili wajenge, then yakija mafuriko wanakimbilia kusema serikali, hahah
Nani amawapa vibali vya ujenzi?
 
Back
Top Bottom