Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe shabiki wa utopolo, hiyo msimbazi ni unyama sana ibaki hivyo hivyoHalafu wangefikiria kubadilisha na pesa yenyewe
Hiyo ni pesa nyingi sana kuwepo kwenye mzunguko na ndiyo maana vitu vinapanda bei kila siku na bado watu wananunua tu.
Wabadilishe waweke ipi? Msimbazi aka shuka la kimasai mbona tu iko vizuri?Halafu wangefikiria kubadilisha na pesa yenyewe
YapMisimbazi tu au sio..
Aaah Depal na njaanuary yote hii jamani..btw inaonesha ni jinsi gani nyekundu nyekundu ndio nyingi.Wabadilishe waweke ipi? Msimbazi aka shuka la mikasai mbona tu iko vizuri?View attachment 2467745
Inaisha kimazingara au unatumia kununua vitu?Kweli kabsa
Yaani kila nikiingiza mkono mfukoni nikitoa 10 dk 2 imeisha
Namaanisha kwenye matumiziInaisha kimazingara au unatumia kununua vitu?
Ukitaka kujua ina thamani njoo nayo kwetu uswahilini.Namaanisha kwenye matumizi
Aondoe hazipeleke wapi tena?Hiyo ni pesa nyingi sana kuwepo kwenye mzunguko na ndiyo maana vitu vinapanda bei kila siku na bado watu wananunua tu.
Gavana wa benki kuu aondoe robo kama siyo nusu ya pesa yote iliyo katika mzunguko. Ili uchumi ukue
BInafsi siko uzunguniUkitaka kujua ina thamani njoo nayo kwetu uswahilini.
Duh kumbadili Esther awe Fatuma inakufa si chini ya misimbazi 15Mkuu vipi ukiingia petrol station inakufa misimbazi mingapi?
Mkuu ukifika level 10,000 unaimaliza bila kujua mshukuru Mungu.BInafsi siko uzunguni