Asilimia 82.5 ya pesa taslimu iliyopo katika mzunguko ni noti ya shilingi 10000

Asilimia 82.5 ya pesa taslimu iliyopo katika mzunguko ni noti ya shilingi 10000

Mshuza2

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2010
Posts
11,261
Reaction score
17,202
20230103_122958.jpg



Pic credit.The chanzo
 
Hiyo ni pesa nyingi sana kuwepo kwenye mzunguko na ndiyo maana vitu vinapanda bei kila siku na bado watu wananunua tu.
Gavana wa benki kuu aondoe robo kama siyo nusu ya pesa yote iliyo katika mzunguko. Ili uchumi ukue
Aondoe hazipeleke wapi tena?

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom