Asilimia 90 ya Wanaume niliokuwa nao kimapenzi waliniomba hela

Asilimia 90 ya Wanaume niliokuwa nao kimapenzi waliniomba hela

Kweeema?

Sijui shida itakuwa nini Mimi siyo tajiri nina maisha yangu ya kawaida but uongo dhambi ninajipenda, nanajua kupendeza ata kama nguo ni ya bei ndogo, ninajua kupangilia, inshort ninajipenda.

Sina tabia ya kuomba pesa kwa mwanaume nae date nae, lakin asilimia 90 ya wakaka nilio date nao, na ambao ni marafiki zangu wamekuwa wakiniomba mm pesa, it's like wananichuna.

Yaan inashangaza ata nidate na mtu mwenye uwezo vipi, yeye hatanipa pesa badala yake ataniomba mimi. Narudia Tena Sina maisha ya kuji proud, kwa kuongea kwamba mm Nina kitu flani au kwetu Kuna maisha Gani, but inatokea tu ynakuta mm ndio naombwa. Hiki kitu kinanishangaza na kuniumiza Sana mpaka ninajiona Nina shida Gani?

Wajuzi naomba mnisaidie nakosea wapi nipo tayari kupokea +ve and - ve comment.
Unajenga urafiki na Watu fake, na yawezekana unapenda classic life na huwa unakawaida ya kujisema ulivo hata kiuchumi, au unadate na ambao huwavutii kivile that's y they don't care, but inashangaza unalea tabia halafu unaichukia bila hatua imara, tumia kwa hiari na usemi wema usizidi uwezo
 
Ila hela inapendeza kuombwa na mwanamke tu, mwanaume akiomba hela inakata nyg sanaaa
Ninacho wakubali wanawake 50/50 kwenye hela yenu, kwenye matatizo (mf kule Ukraine) huwaga haipo kabisa.

Ndicho kizazi cha wanaume kinachokuja kinachokuzwa kwenye mitizamo ya 50/50.

Kizazi chetu hiki cha wanaume tusiojua kuipigia hesabu hela ya mwanamke kinazidi kupotea. Na nyinyi kila siku mnazidisha mapambano ya 50/50 mpaka mashule bila kujua mnaharibu akili za wavulana ambao ndio wanaume wa kesho.
 
Nadhani huyu mdau atakuwa anatokea ule mkoa wanakula sana senene
𝐇𝐮𝐣𝐚𝐤𝐨𝐬𝐞𝐚 𝐦𝐤𝐮𝐮, 𝐦𝐚𝐚𝐧𝐚 𝐦𝐚𝐝𝐞𝐦𝐮 𝐤𝐰𝐚 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐮𝐦𝐞 𝐬𝐢𝐨 𝐦𝐢𝐬𝐢𝐟𝐚 𝐡𝐢𝐲𝐨 𝐡𝐚𝐭𝐚 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐧𝐢 𝐜𝐡𝐨𝐤𝐚 𝐦𝐛𝐚𝐲𝐚, 𝐡𝐚𝐡𝐚𝐡𝐚𝐡𝐚, 𝐧𝐢𝐦𝐞𝐰𝐚𝐬𝐡𝐮𝐡𝐮𝐝𝐢𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐦𝐚𝐜𝐡𝐨 𝐲𝐚𝐧𝐠𝐮 𝐧𝐚 𝐤𝐮𝐢𝐬𝐡𝐢 𝐧𝐚𝐨
 
Na tulivyo na masimango sasa. Mwanaume anaishi kwa mgongo wa mwanamke namsikitiaga sana. Sisi moyo wa kulea mpenzi hatunaga ndo maana siku vikiumana tunatoa maneno yooote.
Hapo chacha [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Nadhani wapite hapa wasome huu uzi, wanawake wanahonga sana tu, ni maneno ya humu wanasema hela yao haitoki lakini mbona wana wanapewa sana tu na wanawake zao
[emoji1][emoji1][emoji1] kwa ground ni tofauti sana
 
Kweeema?

Sijui shida itakuwa nini Mimi siyo tajiri nina maisha yangu ya kawaida but uongo dhambi ninajipenda, nanajua kupendeza ata kama nguo ni ya bei ndogo, ninajua kupangilia, inshort ninajipenda.

Sina tabia ya kuomba pesa kwa mwanaume nae date nae, lakin asilimia 90 ya wakaka nilio date nao, na ambao ni marafiki zangu wamekuwa wakiniomba mm pesa, it's like wananichuna.

Yaan inashangaza ata nidate na mtu mwenye uwezo vipi, yeye hatanipa pesa badala yake ataniomba mimi. Narudia Tena Sina maisha ya kuji proud, kwa kuongea kwamba mm Nina kitu flani au kwetu Kuna maisha Gani, but inatokea tu ynakuta mm ndio naombwa. Hiki kitu kinanishangaza na kuniumiza Sana mpaka ninajiona Nina shida Gani?

Wajuzi naomba mnisaidie nakosea wapi nipo tayari kupokea +ve and - ve comment.
Njoo kwangu mimi stakuomba pesa
 
Mwanamke huwa anakuwa haoni akipenda
Ila Mambo mengine nikuachana nayo

Mimi Kama mwanaume kuomba tu mtu msaada wa kifedha naonaga Kama nakaribisha dharau

Wanaume tufafute pesa mwanamke anadharau sana Kama hauna
 
Kweli kutakuwa na tatizo upande wako may be unaanza wewe kuomyesha kutaka mahusiano
 
napenda

Nikupe hongera zako wanawake kama wewe ndio mnapaswa kusherehwkea siku ya wanawake duniani
Hapana,
Kwa sababu hili kwake yeye ameliona Ni tatizo.
Kuna wanawake kibao wamewahi kufanya Hivi na hawajawahi kujuta.
Nadhani Ni coincidence tu.
Kwamba mkiwa kwenye mahusiano mtu kapata changamoto na katika kutapatapa kaanzia kwako, na wewe umemuelewa, kwani si wanakupa sababu ambazo zinakugusa, au unatoa tu.
Sasa Kama umeelewa sababu zao tatizo Nini, kwani wamekulazimisha.?
Nikuhakikishie wewe si mwanamke wa kwanza, Seema wapi wengi ambao hukataa kimya kimya lakini pasipo kuona Kama hili Ni ajabu. Hata wewe Kama ungekataa na kupiga kimya usingeona kero hata kuombwa mara Mia Kama una ubavu wa kudate na wame 100.
 
So, bottom line ni unatoa...iwe moja kwa moja au indirectly ni unatoa tu! Ukiwa na mtu kutoa hakukwepeki, mengine ni maneno yenu tu, japo yanasaidia kutufanya tusibweteke kama wanaume.
Mwisho hapo ndo main point!!!
 
Niliambiwaga na mmoja tu tena alitaka nimkopeshe na nikamkopesha japo tulilipana kwa mbinde sana na yeye nilimkopesha sababu alikua ananitoaga na hiyo ni miaka mitano nyuma.
Ila kama kweli bby ananitoaga akikwama akiniambia nampush. Mwanaume anaetoa ana haki ya kusaidiwa akiomba msaada. Sio hao wengine kama wa bidada. Wao tu ndo wana njaa kama wanawake.
Alaah, kumbe wengi mnatoa, Sasa kelele za Nini?
Bidada unaemuongelea, amesema tu kutokea kuombwa pesa na watu kadhaa. Hajasema Kila mtu kamwomba mara ngapi na katika ground zipi.
Hivyo mwambieni tu kuwa Ni kawaida,acheni kumpotosha kwani Nini maana ya kupendana?
Msijiweke kuwa watu wa kununiliwa Sana.
 
Yeah wanaume acheni kuomba hela inatia aibu Sana wengine wanaomba hadi zawadi[emoji23][emoji23]
Aibu zaidi ya kuoneana uchi?
Ujue kwenye mapenzi hakuna aibu.!!!
Wala hi huwa sio mada kwa wapendanao. Na hamtajua wanaishije.
 
Back
Top Bottom