Asilimia 90 ya Wanaume niliokuwa nao kimapenzi waliniomba hela

Asilimia 90 ya Wanaume niliokuwa nao kimapenzi waliniomba hela

Kweeema?

Sijui shida itakuwa nini Mimi siyo tajiri nina maisha yangu ya kawaida but uongo dhambi ninajipenda, nanajua kupendeza ata kama nguo ni ya bei ndogo, ninajua kupangilia, inshort ninajipenda.

Sina tabia ya kuomba pesa kwa mwanaume nae date nae, lakin asilimia 90 ya wakaka nilio date nao, na ambao ni marafiki zangu wamekuwa wakiniomba mm pesa, it's like wananichuna.

Yaan inashangaza ata nidate na mtu mwenye uwezo vipi, yeye hatanipa pesa badala yake ataniomba mimi. Narudia Tena Sina maisha ya kuji proud, kwa kuongea kwamba mm Nina kitu flani au kwetu Kuna maisha Gani, but inatokea tu ynakuta mm ndio naombwa. Hiki kitu kinanishangaza na kuniumiza Sana mpaka ninajiona Nina shida Gani?

Wajuzi naomba mnisaidie nakosea wapi nipo tayari kupokea +ve and - ve comment.
Umri wako tafadhli
 
Hadi humu jf nilishawah kuwa na marafiki wawili wa kawaida tu ambao hatujawah Onana but tulikuwa tunawasiliana ,but urafiki wetu pia ukavinjoka baada ya kuwa wananiomba pesa
Malovee naomba nirushie buku ten nikapate K Vant moja.... puliiiiz
 
Una nyota ya kudangwa.

Kwa sababu hata kama una maisha mazuri au una hela wanaume wenye hela ndio wanapendaga wanawake wa hivi, na haimaanishi atakuomba hela bali atakuwa yeye anakupa. Tena atakupa nyingi kukuonesha anaweza kukumiliki.

"Mwenye nacho ndio huwa anaongezewa" siku hizi.
Kwani Kasema kashadeti na wangapi?
 
Wakati niko chuo nilidate mwanafunzi mwenzangu so siku bby hana hela nilikua nalipia.
Hata sasa hivi uzeeni naweza kulipia nikitaka kumspoil bby
So, bottom line ni unatoa...iwe moja kwa moja au indirectly ni unatoa tu! Ukiwa na mtu kutoa hakukwepeki, mengine ni maneno yenu tu, japo yanasaidia kutufanya tusibweteke kama wanaume.
 
Ok! Kuna kitu utakuwa unakikosea katika hizo relation zako, huenda katika story zako utakuwa ni mtu unaejionyesha kuwa unazo sana au unajua sana kuzitafuta! Hili ni kosa ambalo hata mwanaume akilifanya ni lazima achunwe!
Mimi siyo mtu wa kujisifia but huwenda nikaJiona Niko perfect sijisifii kumbe mtu ananiona najisifia
 
Kweeema?

Sijui shida itakuwa nini Mimi siyo tajiri nina maisha yangu ya kawaida but uongo dhambi ninajipenda, nanajua kupendeza ata kama nguo ni ya bei ndogo, ninajua kupangilia, inshort ninajipenda.

Sina tabia ya kuomba pesa kwa mwanaume nae date nae, lakin asilimia 90 ya wakaka nilio date nao, na ambao ni marafiki zangu wamekuwa wakiniomba mm pesa, it's like wananichuna.

Yaan inashangaza ata nidate na mtu mwenye uwezo vipi, yeye hatanipa pesa badala yake ataniomba mimi. Narudia Tena Sina maisha ya kuji proud, kwa kuongea kwamba mm Nina kitu flani au kwetu Kuna maisha Gani, but inatokea tu ynakuta mm ndio naombwa. Hiki kitu kinanishangaza na kuniumiza Sana mpaka ninajiona Nina shida Gani?

Wajuzi naomba mnisaidie nakosea wapi nipo tayari kupokea +ve and - ve comment.
Weeeeeee wachaaaa kabisa........
 
Hapana Hilo nalipinga, marioo anadet e na tajiri mm nisgakwambia si tajir ninamaisha ya kawaida kabisaa
Maybe labda muonekano wako una attract Mario zaidi........ au history yako ya mahusiano kuna Mario ulidate nae so wanaambiana "kitonga hicho...........".
 
Back
Top Bottom