ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Umeshawahi kumhudumia me wako akiwa kapigika?Eehh!dadaa[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]!!!
Yaani Anile afu nimpe ela mweehh!!baado sanaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeshawahi kumhudumia me wako akiwa kapigika?Eehh!dadaa[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]!!!
Yaani Anile afu nimpe ela mweehh!!baado sanaaa
[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]Mkuu hawa wanatoa, hizi maneno za mitandaoni we achana nazo.
Umri wako tafadhliKweeema?
Sijui shida itakuwa nini Mimi siyo tajiri nina maisha yangu ya kawaida but uongo dhambi ninajipenda, nanajua kupendeza ata kama nguo ni ya bei ndogo, ninajua kupangilia, inshort ninajipenda.
Sina tabia ya kuomba pesa kwa mwanaume nae date nae, lakin asilimia 90 ya wakaka nilio date nao, na ambao ni marafiki zangu wamekuwa wakiniomba mm pesa, it's like wananichuna.
Yaan inashangaza ata nidate na mtu mwenye uwezo vipi, yeye hatanipa pesa badala yake ataniomba mimi. Narudia Tena Sina maisha ya kuji proud, kwa kuongea kwamba mm Nina kitu flani au kwetu Kuna maisha Gani, but inatokea tu ynakuta mm ndio naombwa. Hiki kitu kinanishangaza na kuniumiza Sana mpaka ninajiona Nina shida Gani?
Wajuzi naomba mnisaidie nakosea wapi nipo tayari kupokea +ve and - ve comment.
Malovee naomba nirushie buku ten nikapate K Vant moja.... puliiiizHadi humu jf nilishawah kuwa na marafiki wawili wa kawaida tu ambao hatujawah Onana but tulikuwa tunawasiliana ,but urafiki wetu pia ukavinjoka baada ya kuwa wananiomba pesa
Shem nini mbaya?😂😂
Kwani Kasema kashadeti na wangapi?Una nyota ya kudangwa.
Kwa sababu hata kama una maisha mazuri au una hela wanaume wenye hela ndio wanapendaga wanawake wa hivi, na haimaanishi atakuomba hela bali atakuwa yeye anakupa. Tena atakupa nyingi kukuonesha anaweza kukumiliki.
"Mwenye nacho ndio huwa anaongezewa" siku hizi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shem nini mbaya?[emoji23][emoji23]
Hivi shem nikuulize, umewahi kusimamia show nzima ya hotel na yule mdogo wangu?[emoji23][emoji23]
Wakati niko chuo nilidate mwanafunzi mwenzangu so siku bby hana hela nilikua nalipia.Mzigua umeshawahi kusimamia show ya lodge/hotel na mpenzi wako?
Hahaha, hongera kwa mfungo shem...sitii neno tena![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nipo Kwaresma Shem... Nalinda maneno sana wakati huu[emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
So, bottom line ni unatoa...iwe moja kwa moja au indirectly ni unatoa tu! Ukiwa na mtu kutoa hakukwepeki, mengine ni maneno yenu tu, japo yanasaidia kutufanya tusibweteke kama wanaume.Wakati niko chuo nilidate mwanafunzi mwenzangu so siku bby hana hela nilikua nalipia.
Hata sasa hivi uzeeni naweza kulipia nikitaka kumspoil bby
Ahsante Shem wangu...Hahaha, hongera kwa mfungo shem...sitii neno tena!
Ni njema kabisa habari zangu, mimi najua uzima wako uko njema sana😋
Niko njema kabisa Shem lake...Ni njema kabisa habari zangu, mimi najua uzima wako uko njema sana[emoji39]
Mimi siyo mtu wa kujisifia but huwenda nikaJiona Niko perfect sijisifii kumbe mtu ananiona najisifiaOk! Kuna kitu utakuwa unakikosea katika hizo relation zako, huenda katika story zako utakuwa ni mtu unaejionyesha kuwa unazo sana au unajua sana kuzitafuta! Hili ni kosa ambalo hata mwanaume akilifanya ni lazima achunwe!
Weeeeeee wachaaaa kabisa........Kweeema?
Sijui shida itakuwa nini Mimi siyo tajiri nina maisha yangu ya kawaida but uongo dhambi ninajipenda, nanajua kupendeza ata kama nguo ni ya bei ndogo, ninajua kupangilia, inshort ninajipenda.
Sina tabia ya kuomba pesa kwa mwanaume nae date nae, lakin asilimia 90 ya wakaka nilio date nao, na ambao ni marafiki zangu wamekuwa wakiniomba mm pesa, it's like wananichuna.
Yaan inashangaza ata nidate na mtu mwenye uwezo vipi, yeye hatanipa pesa badala yake ataniomba mimi. Narudia Tena Sina maisha ya kuji proud, kwa kuongea kwamba mm Nina kitu flani au kwetu Kuna maisha Gani, but inatokea tu ynakuta mm ndio naombwa. Hiki kitu kinanishangaza na kuniumiza Sana mpaka ninajiona Nina shida Gani?
Wajuzi naomba mnisaidie nakosea wapi nipo tayari kupokea +ve and - ve comment.
Maybe labda muonekano wako una attract Mario zaidi........ au history yako ya mahusiano kuna Mario ulidate nae so wanaambiana "kitonga hicho...........".Hapana Hilo nalipinga, marioo anadet e na tajiri mm nisgakwambia si tajir ninamaisha ya kawaida kabisaa
😂😂😂Mbona kama ishaisha siku hii, ukitaka tuimalize vipi shem