Asilimia 90 ya Wanaume niliokuwa nao kimapenzi waliniomba hela

Asilimia 90 ya Wanaume niliokuwa nao kimapenzi waliniomba hela

Wala mkuu mm siyo muhaya, naomba usome maandishi yangu, ndiyoo maana nimeandika mm si tajiri na maisha yangu ya kawaida kabisaa
Tobaaaaaa umeshaharibu. Mwenzako katumia codes we umefungua password khaaaaaaaaaaaaa
 
Hadi humu jf nilishawah kuwa na marafiki wawili wa kawaida tu ambao hatujawah Onana but tulikuwa tunawasiliana ,but urafiki wetu pia ukavinjoka baada ya kuwa wananiomba pesa
Oya Dada naomba Pesa nimekwama
 
Hadi humu jf nilishawah kuwa na marafiki wawili wa kawaida tu ambao hatujawah Onana but tulikuwa tunawasiliana ,but urafiki wetu pia ukavinjoka baada ya kuwa wananiomba pesa
😂😂😂kina Kasomi au?

Joking
 
Hadi humu jf nilishawah kuwa na marafiki wawili wa kawaida tu ambao hatujawah Onana but tulikuwa tunawasiliana ,but urafiki wetu pia ukavinjoka baada ya kuwa wananiomba pesa

Pole sana, Mimi sitakuomba pesaa.
 
Kuna namna unajiweka ndio maana wanakuja hao wanakuomba hela mamy.

Itakua unaonyesha uko desperate sana na mahusiano au sio pisi kali? [emoji85][emoji85][emoji85].

Level up..
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28]daahh!no sugar coating at all
Mimi sio pisi Kali na siombwi helaa!!!
 
Amesha kubali kuwa huwa anatoa [emoji1][emoji1][emoji1]

Katika mazingira hayo if ingetokea Mimi ndiye bf wake then hataki kutoa support hata kidogo wakati Mimi huwa ninampa aisee siwezi kuwa nae Bora tumwagane
Mkuu hawa wanatoa, hizi maneno za mitandaoni we achana nazo.
 
Mkuu hawa wanatoa, hizi maneno za mitandaoni we achana nazo.
Najua Sana [emoji16][emoji16]

Hakuna mwanamke Ambaye hatoi hela labda awe Yuko under24 lakini Hawa waliopo above 24s aahh hela wanatoa vizuri tu, Tena waliopo at 30s ndio usiseme ni wahongaji wazuri tu ni ma expert kabisa hao , shida inakuja wale wanaume Wana wahonga huwa wanakuja kuwapiga na vitu vizito kichwani hapo ndio balaa linapo amziaga , na ubaya wa sisi wanaume tulivyo --- mwanaume yeyote anaye hongwa na mwanamke huwa mwanaume huyo Hana upendo kabisa na mwanamke huyo , hapo ndio Vita ya 3 ya dunia inapoanziaga [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Duh pole sana mkuu hii ndiyo inaitwa other way round.Kwa kawaida wanaume ndiyo wanezoeleka kupigwa mizinga sasa inapotokea wanaume unao date nao wanakupiga mizinga wewe hiyo wanakutabiria utakuja kupata pesa nyingi wavumilie tu.
 
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
una nyota ya utoaji.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile a

Naomba unikopeshe milioni moja ntakupa na riba Malovee
Daaa yamekywa hayooo😀
 
Duh pole sana mkuu hii ndiyo inaitwa other way round.Kwa kawaida wanaume ndiyo wanezoeleka kupigwa mizinga sasa inapotokea wanaume unao date nao wanakupiga mizinga wewe hiyo wanakutabiria utakuja kupata pesa nyingi wavumilie tu.
Mona kama jina lako linadadifuu
 
Back
Top Bottom