erca
JF-Expert Member
- Aug 29, 2019
- 311
- 336
FactIla hela inapendeza kuombwa na mwanamke tu, mwanaume akiomba hela inakata nyg sanaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
FactIla hela inapendeza kuombwa na mwanamke tu, mwanaume akiomba hela inakata nyg sanaaa
Eeehh hata Mimi kwa kweli hapana siwezi kuwa mwanaume ninae omba omba tu kwa Mwanamke ni kujivua nguo na utu , Mwanamke ukila hela yake pasipo kusaidiana wote kwa pamoja lazima ipo siku hiyo pesa itakutokea puaniNiliambiwaga na mmoja tu tena alitaka nimkopeshe na nikamkopesha japo tulilipana kwa mbinde sana na yeye nilimkopesha sababu alikua ananitoaga na hiyo ni miaka mitano nyuma.
Ila kama kweli bby ananitoaga akikwama akiniambia nampush. Mwanaume anaetoa ana haki ya kusaidiwa akiomba msaada. Sio hao wengine kama wa bidada. Wao tu ndo wana njaa kama wanawake.
Atlest iwe scenario ya namna hiyo but ynakuta mtu hajawah kukusaidia, badala yake ww ndo umsaidie, yangu mm nitofautinna yako.[emoji1][emoji1][emoji1]
Bado napinga ujue mzigua napinga kwa sababu mahusiano na yajua , Kuna ile intakes unakutana na mtu the way alivyo Yuko independent sio kitonga very gentle understanding man and Yuko so lovely, , mwepesi wa kujitoa ktk mambo yako na ana support in each and everything , so inatokea siku 1 mtu huyo kakwama then anakuchek anakuambia my queen I have a little problem and I think I need you to help me ,, anakueleza pale then anakuambia umtumie 200k , na wewe unayo na unajua kabisa amesha kusaidia ktk mambo mengi kiushari finance etc ,
Unataka kuniambia in your whole life time Haujawahi kukutana na hiyo scenario na ukatoa msaada wako !??
Aahhh hebu niache kidogo , [emoji16][emoji119] halafu watu Kama nyie ndio huwaga mnatoa kinoma yaani [emoji1][emoji1][emoji1]
Au sio ,!!? [emoji1][emoji1]Fact
Yeah wanaume acheni kuomba hela inatia aibu Sana wengine wanaomba hadi zawadi[emoji23][emoji23]Au sio ,!!? [emoji1][emoji1]
[emoji1][emoji1][emoji1] Mimi ni me wee nyau Anyway , Tuachane na hayoAtlest iwe scenario ya namna hiyo but ynakuta mtu hajawah kukusaidia, badala yake ww ndo umsaidie, yangu mm nitofautinna yako.
Sijajua ,but yawezekana wanaume wanapenda mtu wakuwa anamuomba mahitaji yake, sipoomba unaonekana unajiweza mpaka unaombwa pesa
[emoji1][emoji1][emoji1]Yeah wanaume acheni kuomba hela inatia aibu Sana wengine wanaomba hadi zawadi[emoji23][emoji23]
So bottom line ni kuwa unatoa, mazingira ya kutoa tu ndio yanatofautiana.Niliambiwaga na mmoja tu tena alitaka nimkopeshe na nikamkopesha japo tulilipana kwa mbinde sana na yeye nilimkopesha sababu alikua ananitoaga na hiyo ni miaka mitano nyuma.
Ila kama kweli bby ananitoaga akikwama akiniambia nampush. Mwanaume anaetoa ana haki ya kusaidiwa akiomba msaada. Sio hao wengine kama wa bidada. Wao tu ndo wana njaa kama wanawake.
Una bahati sana mkuu, wewe sasa umefikia lile fungu la wachache la haki sawa kwa wote.Kweeema?
Sijui shida itakuwa nini Mimi siyo tajiri nina maisha yangu ya kawaida but uongo dhambi ninajipenda, nanajua kupendeza ata kama nguo ni ya bei ndogo, ninajua kupangilia, inshort ninajipenda.
Sina tabia ya kuomba pesa kwa mwanaume nae date nae, lakin asilimia 90 ya wakaka nilio date nao, na ambao ni marafiki zangu wamekuwa wakiniomba mm pesa, it's like wananichuna.
Yaan inashangaza ata nidate na mtu mwenye uwezo vipi, yeye hatanipa pesa badala yake ataniomba mimi. Narudia Tena Sina maisha ya kuji proud, kwa kuongea kwamba mm Nina kitu flani au kwetu Kuna maisha Gani, but inatokea tu ynakuta mm ndio naombwa. Hiki kitu kinanishangaza na kuniumiza Sana mpaka ninajiona Nina shida Gani?
Wajuzi naomba mnisaidie nakosea wapi nipo tayari kupokea +ve and - ve comment.
Amesha kubali kuwa huwa anatoa [emoji1][emoji1][emoji1]So bottom line ni kuwa unatoa, mazingira ya kutoa tu ndio yanatofautiana.
Mwanaume anakupa hela kila ukitaka, akikuomba siku kakwama unaachaje kumtoa, huo ni ubinafsi wa kwenda.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] kwamba yeye na shishi wapo sawa ,!!! [emoji1][emoji1][emoji1]Una bahati sana mkuu, wewe sasa umefikia lile fungu la wachache la haki sawa kwa wote.
Wewe na Shishi mko kundi moja.
Kusaidiana ni sahihi kabisa ila Kuna ambao hawajui kutoa zawadi na wanaomba [emoji85][emoji1][emoji1][emoji1]
Kwenye zawadi sioni tatizo hapo , ukiwa na mwenza wako Ambaye ana hobby ya kupeana peana zawadi ni Jambo la kawaida honestly huwa inaboa Sana kuwa wewe ndiye mtoa zawadi tu , pasipo kupokea zawadi kwa mwenza , turudi ktk masuala ya hela ya hela --- kama unajiweza Kuliko bf wako , wewe mpe tu hela kwani kitu gani bhanaaa [emoji1][emoji1][emoji1]
Lakini isiwe ile ya kumpa mpa tu pesa awe anatumia tumia tu hovyo halafu na yeye Anaona sawa huyo atakuwa hafai mkimbie haraka , na Umsome tabia yake pia nimtu wa namna gani !? Yaani inapotokea ukampa pesa anaichukuliaje hiyo je anakuwa proud au huwa anajisikia Inferior Kama ana kuwa Yuko proud huyo hakufai , Mwanaume hapaswi kuwa proud kupewa pesa na mwanamke Ila inapotokea amekwama there's no way out anapaswa kukunaliana tu na Hali ,
Maisha kusaidiana lol na hayana formula
Kabisa mkuu wanawake wakiwezeshwa wanaweza usawa usiishie kwenye nafasi za uongozi tu.[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] kwamba yeye na shishi wapo sawa ,!!! [emoji1][emoji1][emoji1]
[emoji1][emoji1][emoji1] watulee Kama tunavyo waleaKabisa mkuu wanawake wakiwezeshwa wanaweza usawa usiishie kwenye nafasi za uongozi tu.
Duuhh!! [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kusaidiana ni sahihi kabisa ila Kuna ambao hawajui kutoa zawadi na wanaomba [emoji85]
Kabisa mkuu si haki sawa kwa wote. Haki inaendana na wajibu[emoji1][emoji1][emoji1] watulee Kama tunavyo walea
Naam naam 50/50 itumike katika nafasi zote [emoji1][emoji1]Kabisa mkuu si haki sawa kwa wote. Haki inaendana na wajibu