Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gaidi hilo katika nafasi yake..😂Una nyota ya kudangwa.
Kwa sababu hata kama una maisha mazuri au una hela wanaume wenye hela ndio wanapendaga wanawake wa hivi, na haimaanishi atakuomba hela bali atakuwa yeye anakupa. Tena atakupa nyingi kukuonesha anaweza kukumiliki.
"Mwenye nacho ndio huwa anaongezewa" siku hizi.
Hadi humu jf nilishawah kuwa na marafiki wawili wa kawaida tu ambao hatujawah Onana but tulikuwa tunawasiliana ,but urafiki wetu pia ukavinjoka baada ya kuwa wananiomba pesa
Usijal mkuu nikattia hali ya kuitafuta suluhishi😀Mkuu Ndio Umeamua Uniumbue Kabisa?
Hide My I'd Please.Usijal mkuu nikattia hali ya kuitafuta suluhishi[emoji3]
Kama siyo oisi Kali vipi kwa wale ambao hatujawah kuonana?Kuna namna unajiweka ndio maana wanakuja hao wanakuomba hela mamy.
Itakua unaonyesha uko desperate sana na mahusiano au sio pisi kali? [emoji85][emoji85][emoji85].
Level up..
Nisaidie mkuu how, ? Mm najiona Niko sawa na siko desperate kabisaPride will take you anywhere! Ni either umri umeenda unajifanya cheap and so una attract watu wasiofaa au unaoenda uonekane una uwezo.
Hakuna mwanaume mwenye uwezo anayeweza kumwomb mwanamke fedha, lazima unajifanya una uwezo. Mfano namna tu unavyojieleza yaonyesha a kind of pride...
Check your character
Yaelekea una vijisifa sifa flani hivi.Hadi humu jf nilishawah kuwa na marafiki wawili wa kawaida tu ambao hatujawah Onana but tulikuwa tunawasiliana ,but urafiki wetu pia ukavinjoka baada ya kuwa wananiomba pesa
Sina vijisifa kabisaa Hilo nakataaYaelekea una vijisifa sifa flani hivi.
😀😀Tayari ushajiexpose mwenyeweHide My I'd Please.
Unawawekea mazingira ya wewe kuwa mtoajiKama siyo oisi Kali vipi kwa wale ambao hatujawah kuonana?
Basi Penzi Liendelee Ku-cover Hii Damage.[emoji3][emoji3]Tayari ushajiexpose mwenyewe