Asilimia 90 ya watanzania tumeshagundua kwamba hawa viongozi wamehongwa kwa ajili ya bandari

Rushwa na CCM ni kama samaki na maji
Waarabu wanataka mrudishe $&& zao sasa mnahangaika hamjui la kufanya!!
Mkimuona Samia huko msibani kwa Jecha analia msifikiri anamlilia marehemu Jecha bali anajililia mwenyewe zigo la rushwa za Bandari limemuelemea!
 
Rushwa na CCM ni kama samaki na maji
Inaonekana wakati Lowasa anamwaga pesa Chadema ili asafishwe na waliomchafua wewe ulikuwa bado uko kijijini kwenu hauelewi chochote kinachoendelea mjini.
 
90% kinawashinda nini kwenda mahakamani?

Mie na wilaya yetu ya Mkuranga wote hatumo katika hao 90%, kama ulituhesabu tuondoe.
 
90% kinawashinda nini kwenda mahakamani?

Mie na wilaya yetu ya Mkuranga wote hatumo katika hao 90%, kama ulituhesabu tuondoe.
I hope ume comment kwa kusoma tu kichwa cha habari, bila kusoma habari yenyewe.

Laiti ungesoma kwanza thread yenyewe, naamini usingeandika hayo ya mkuranga nk.

Nakushauri uwe na utaratibu wa kusoma thread angalau aya mbili tatu, alafu ndio u comment. Hii itakusaidia kujua maudhui ya thread husika, na pia kuendana na kile utacho comment.

Usikimbilie ku judge kitabu kwa kusoma tu kava la juu, huenda ndani yake kuna ujumbe mzuri utakaokupa faida msomaji.
 
Mm na familia yangu pamoja na ukoo wangu tuna bandari yetu. Full stop
 
Naona bado akili yako haipo huru. I mean kuna mwanasiasa fulan anaitumia kwa masilahi yake na familia yake huku wewe mwenyewe ukiwa haujui kama akili yako inatumiwa.
Huna akili pusii wewe, huu uharo ulioandika ni kwa faida ya utumbo wako mpana tu
 
Na wewe umehongwa upinge.
 
Mafisadi mnamangamanga, mmezoea kuuza nchi kwa mikataba mibovu safari hii tunagawana mbao mmetuchosha, migodi, ngorongoro, kia, Richmond, bandari nk sasa basi, kama mbwai na iwe mbwai majizi wakubwa nyie.
Wapingaji wa maendeleo ndio mafisadi majizi.Mwizi hufikiria kila mtu ni mwizi kama yeye.
 
Huu ndio ukweli,majizi na mafisadi wa bandarini,ndio wanaopinga bandari kupewa wawekezaji.
 
Huu ndio ukweli.
 
Kabadili gia,angani.
 
Hahahaha naona unadanganywa na mitandao ambayo unakuta mtu mmoja ana ID kumi. Kwahiyo watu kumi kila mmoja akichangia ID zake zote kumi utaona ni watu 100 ndo wamepinga kumbe wazoefu tunajua ni watu kumi tu wenye ID kumi kumi.
Ni kweli kabisa.
 
Awezi kukujibu kabisa.........ataleta bla bla tu. Nimekaa paleee..... 🙂
 
Huna akili pusii wewe, huu uharo ulioandika ni kwa faida ya utumbo wako mpana tu
Kama wanaokutumia hawakupi kitu basi pambana na hali yako, sio wao wakutumie kwa faida yao na familia zao afu hasira zako ziishie kwangu.

Wewe mwenyewe umewaamini na ukaamua kuwa mtumwa wao basi acha na wao wakutumie kwenye propaganda zao ili wapate pesa za kusomesha watoto wao huko ubelgiji na Marekani.

Maana wao hawapingi kwa bure, kila mtu anapokea fungu Lake kutoka kwa wezi na wakwepa kodi wa bandari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…