Asilimia kubwa ya mapenzi ya wadada wasaidizi wa mama ntilie siyo salama kwa afya yako

Asilimia kubwa ya mapenzi ya wadada wasaidizi wa mama ntilie siyo salama kwa afya yako

Na bado kazi yao ni dereva
Ndio
Unakuta ni dereva halafu ana mshahara wa kawaida tu ila marupurupu njiani madili kibao kuna mizigo ya magendo, kupiga nyoka, kubeba wasafiri na mizigo ya njiani nk.
 
Haya ni maneno yakijinga yakujifariji!!! Juzi nilikuwa GYM sasa yule mwalimu wa gym kaletewa raba kali na kibunda hana........ ikabidi akope alafu akaanza kumwambia muuza viatu elfu20 haiwezi kujenga nyumba au elfu5 tule bata nyumba zipo tutaishi tuu......

Akasema takwimu za sensa zinasema nchi ina majengo milion14 na watu milioni 60 watu ni wengi kuliko majengo kwaiyo uwakika wakuishi upo tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

nilicheka sana walahi nikasema huyu mungu akimpa umri wakuishi hapa duniani ataja kumbuka maneno yake yakijinga ndo yalimponza!!!! Sasa na wewe na huo mfano wako shauri yako kuwa makini mzee
Tutakufa tu halafu mbona siku hizi hili gonjwa limekuwa la kawaida sana. Kama ulivyosema tuendelee kuwa makini
 
Nakubaliana na wewe hawa mabinti wa mama ntilie wengi wako hatarini sana sababu ya tamaa na kukosa misimamo hasa wa kukataa wanaume.
Binafsi nimewala sana kwa style hiyo nikiwa safari naagiza msosi niletewe chumbani(lodge)
Mdada akifika nampa noti ya elfu kumi napiga kimoja anasepa,
Tena kuna kamoja mwaka juzi niliwahi kukutana nako Singida katoto kazuri chuchu saa sita nikawa mteja wa hotel yao kila nikisafiri pande hizo mwisho wa siku nilifanikiwa kukatafuna kalikuwa katamu balaa halafu kanajua mapenzi sana kiasi kwamba nilitamani hata niende nako Dom nikakapangishie niwe najilia tu ila nilikuja kukapima ngoma nikakuta kamewaka halafu nilikuwa nishakatafuna kama mara sita hivi sina hamu.!
Baada ya kukaonyesha majibu kalipanik na kulia sana akadai hakuwa anafikiria kama ameathilika basi nilitumia muda nilimtuliza kisha akawa sawa nikawaza nifanye nn maana nilishamla mara kibao halafu situmiagi kondom.
Niliporudi Dom niliishi kwa mawazo sana na sikumwambia mtu ila nashukuru Mungu miezi kadhaa mbele nilipima nikakutwa mzima mpaka leo niko swafi ila kama ujuavyo nyege ni uchizi flani[emoji848]yule binti mpaka sasa huwa namtumia nauli anakuja Dom nampaki lodge siku mbili najipigia anaondoka na huwa anasisitiza kwamba hajawahi kutumia ARV hivyo niwe natumia kondom ila tatizo kalivyo katamu ujasiri unanishinda najikuta navua napiga kavu[emoji39] nikimaliza ndo nawaza ila nashukuru mpaka sasa bado hajaniambukiza ila kati ya mademu wote haka kadada huwa nashindwa kukaacha kabisa nahisi labda ndo shetani wangu alipo
Kwa ushuhuda wako huu unaanzisha story nyingine. Hapa cha kujadili ilikuwa magonjwa ya ngono kama kaswende na si ukimwi. Tukiwambia ukimwi hoax hamuelewi. Endeleeni kutishana na ba majinamizi yasiyo onekana
 
Nakumbuka mikumi njia panda ya kuelekea ifakala na border ya mutukula pale zifa olaba[emoji120] niliponea chupuchupu God is great
Ila nikifikiria najionaga mi jasusi sana sema basi Kuna siku nipo zangu night mnara ukaanza kusoma 5G Kila nikijaribu kutengeneza mazingira ya mtu aje apunguze Kasi ya mnara patupu mfukoni Nina shillingi afutatu ndipo mind yangu ikakumbuka mutukula Kuna dada poa wa kiganda na bei zao rafiki na pia wanatukubali sana wabongo wenyewe wana kamsemo kao wakijua wewe mbongo wanakuambia ulimutizedi

Sasa ishu ilikuwa nafikaje mutukula time ni saa Tano daladala mpaka mutukula ni 1000 go and return 2000 hata zingekuwepo nilikuwa Sina nauli nikakumbuka kuwa Nina kausafiri kangu mountain bike(aisee niliyekuuzia hiyo baiskeli itunze maana kwangu ilikuwa ni zaidi ya rafiki)

Nikaanza safari ya Km 25 Kwa baiskeli saa Tano za usiku means go and return 50 km nikapita bunazi, kwenye mashamba ya miwa, igayaza, kabwoba mpaka mutukula Kwa ajili ya K nikapata lidada la ug Tako zangu Tano nafsi ikalizika nikachukua bike yangu saa Tisa usiku naingia geto nalala saa kumi na mbili asubuhi naenda kupokea shift.

Live long BabaMorgan
 
Ila nikifikiria najionaga mi jasusi sana sema basi Kuna siku nipo zangu night mnara ukaanza kusoma 5G Kila nikijaribu kutengeneza mazingira ya mtu aje apunguze Kasi ya mnara patupu mfukoni Nina shillingi afutatu ndipo mind yangu ikakumbuka mutukula Kuna dada poa wa kiganda na bei zao rafiki na pia wanatukubali sana wabongo wenyewe wana kamsemo kao wakijua wewe mbongo wanakuambia ulimutizedi

Sasa ishu ilikuwa nafikaje mutukula time ni saa Tano daladala mpaka mutukula ni 1000 go and return 2000 hata zingekuwepo nilikuwa Sina nauli nikakumbuka kuwa Nina kausafiri kangu mountain bike(aisee niliyekuuzia hiyo baiskeli itunze maana kwangu ilikuwa ni zaidi ya rafiki)

Nikaanza safari ya Km 25 Kwa baiskeli saa Tano za usiku means go and return 50 km nikapita bunazi, kwenye mashamba ya miwa, igayaza, kabwoba mpaka mutukula Kwa ajili ya K nikapata lidada la ug Tako zangu Tano nafsi ikalizika nikachukua bike yangu saa Tisa usiku naingia geto nalala saa kumi na mbili asubuhi naenda kupokea shift.

Live long BabaMorgan
Duh 50km for mbususu[emoji28]
 
Haaaaahaaaa!! Hao madada poa wana bei tuu tofauti ukitumia zana au bila zana!! Bila zana bei ni kuubwaa so utaamua mwenyewe!!
Bila zana kupima ni lazima, wengi wao hawakubali kufanya kavu bila kupima. Hawa wako makini kwa asilimia kubwa
 
Msije kusema sikuwaambia,

Niliwahi kuwa msaidizi wa dereva wa lori moja hivi linalobeba nafaka kutoka Dodoma na Morogoro kuelekea Dsm, huyu dereva na wenzie walikuwa na kautaratibu ka kufika eneo la soko na kuanza kuyafurahia maisha kwa pupa.

Mida ya jioni walimwagilia moyo kwa kasi ya juu wakiwa pamoja na wale madada zetu wale, huku wakijipigia kimoko kimoko kila baada ya saa hadi mida ya saa nne. Baada ya hapo walikodi vyumba vya kulala wageni kisha kuwapigia simu wenzi wao kwa ajili ya kuburudika usiku ule.

Wenzi wao ni wakina nani?
Wakati walipowasili Dsm walianza kutafuta 'connection' za msosi wa asubuhi, mchana, jioni, usiku na asubuhi ya kesho. Vyakula vyote hivi vilitoka kwa mama ntilie, hivyo mabinti waajiriwa ndiyo waliyowasambazia. Kwa hiyo hawa hawa mabinti walitongozwa na kuwa vipozeo vya madereva hawa.

Turejee kwa huyu dereva wangu, kuna siku nililala kwenye bodi ya gari, katika kagua kagua ya hapa na pale nilikutana na ARV's za kumwaga tu ndani ya droo. Sikutaka kuhoji saana kwa kuwa haikuhitaji ufafanuzi.

Kesho yake asubuhi, tuliamua kumuita binti mmoja swafi aliyekuwa akisambaza vyakula pale kisha kuagiza chakula. Mimi niliagiza wali samaki na maziwa, nikatoa 10k nikarudishiwa 7k nikaweka mfukoni. Huyu dereva aliagiza wali nyama na chai ya rangi akatoa 20k akaomba chenji iliwe na yule dada kisha kuchukua mawasiliano yake.

Yule dada alituhudumia pia msosi wa mchana na usiku huku akizidishiwa pesa, na mpaka kufika jioni alikuwa tayari keshakabidhiwa kitita cha Tsh 60k. Baada ya hapo kuna maongezi waliyafanya na baada ya hapo makubaliano yalikamilika.

Baada ya yule dada kuondoka, ndipo nikapata wasaa wa kumuuliza dereva kuwa hawa wanawake unaowachukua, huwa wanakubali uwatandike bakora bila condom? Akasema "Huwa hawakubali". Ndipo nikamwambia, "Sasa kama hawakubali, mbona uliwahi nambia kuwa wewe huwezi fanya mapenzi kwa kutumia condom?"

Yule dereva akacheka sana, akasema "Hivi mwanamke anaanzaje kukushinda nguvu unapoingia naye chumbani? Hata makofi atapigwa tu ili mradi atoe kavu. Na mpaka sasa hakuna aliyewahi nishinda maarifa!"

Nikamuuliza tena,"Huogopi maambukizi?". Dereva akaangusha kicheko cha kinafki kisha kunambia,"hivi kweli wewe na akili yako hiyo unaamini kuwa UKIMWI bado upo hapa duniani?" Ikabidi nimalize story kiaina

Nyakati za usiku mida ya saa tatu nilimshuhudia yule binti mrembo akiwa ndani ya kijigauni chake swaafi na vimacho vyake vya huruma vya kusinzia sinzia huku tu, nyou nyou twake tulitwochongoka vyema tukijaribu kutoboa kigauni kile.

Baada ya binti kutufikia, nilijaribu kuzuga na kumpa ishara yule binti japokuwa alikuwa kichwa boga na ashindwe kuelewa chochote. Nilibaki nikiwatazama wakiwa wameshikana mikono huku yule dada anatembea utadhani anaburutwa. Nikaweka mikono yangu kichwani na kusema "Bwana ametoa, na bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe, amen". Kisha kuingia mtaani ili kutafuta kipozeo.

Sasa ninyi wana wa mitaa hiyo mnaodet na hawa wadada mtauvaa kiaina na hamtokaa muamini, mtapeleka kwa familia zenu msambaziane, mwisho wa siku tutapukutika, narudia tena, tutapukutika tufanane na ile mizimu ya kwenye Z Nation. Suluhisho la haya yote ni 2025.

Uzi ugongelewe misumari ili wana MMU wawe aware, waache kutafunana au kutafunwa kizembe.

Msisahau kunifollow,
Melki the Story TellerView attachment 2420077
Ila madereva wazinzi aka vit*mbi kinyama.
 
Nakubaliana na wewe hawa mabinti wa mama ntilie wengi wako hatarini sana sababu ya tamaa na kukosa misimamo hasa wa kukataa wanaume.
Binafsi nimewala sana kwa style hiyo nikiwa safari naagiza msosi niletewe chumbani(lodge)
Mdada akifika nampa noti ya elfu kumi napiga kimoja anasepa,
Tena kuna kamoja mwaka juzi niliwahi kukutana nako Singida katoto kazuri chuchu saa sita nikawa mteja wa hotel yao kila nikisafiri pande hizo mwisho wa siku nilifanikiwa kukatafuna kalikuwa katamu balaa halafu kanajua mapenzi sana kiasi kwamba nilitamani hata niende nako Dom nikakapangishie niwe najilia tu ila nilikuja kukapima ngoma nikakuta kamewaka halafu nilikuwa nishakatafuna kama mara sita hivi sina hamu.!
Baada ya kukaonyesha majibu kalipanik na kulia sana akadai hakuwa anafikiria kama ameathilika basi nilitumia muda nilimtuliza kisha akawa sawa nikawaza nifanye nn maana nilishamla mara kibao halafu situmiagi kondom.
Niliporudi Dom niliishi kwa mawazo sana na sikumwambia mtu ila nashukuru Mungu miezi kadhaa mbele nilipima nikakutwa mzima mpaka leo niko swafi ila kama ujuavyo nyege ni uchizi flani[emoji848]yule binti mpaka sasa huwa namtumia nauli anakuja Dom nampaki lodge siku mbili najipigia anaondoka na huwa anasisitiza kwamba hajawahi kutumia ARV hivyo niwe natumia kondom ila tatizo kalivyo katamu ujasiri unanishinda najikuta navua napiga kavu[emoji39] nikimaliza ndo nawaza ila nashukuru mpaka sasa bado hajaniambukiza ila kati ya mademu wote haka kadada huwa nashindwa kukaacha kabisa nahisi labda ndo shetani wangu alipo

Kwa hio unachezea umeme?
 
Mkuu tusifichane suala la kuvaa "barakoa za chini" ni gumu sana labda uwe umezoea kuzitumia
Mimi binafsi mara ya mwisho kuvaa hizo makitu ni miaka ya 2003 baadae nilianza kamchezo ka kuzitoboa kwa mbele bila demu kujua
Baada ya miaka kadhaa nikajikuta sivai kabisa hata kama mwanamke simjui ntatumia ujanja kumlaghai mpaka akubali nipige kavu yaani huwa naenjoy sana kuliko nivae hizo madude yaani ni bora nipige nyeto napata kautamu kidogo kuliko kuvaa ndom yaani nakuwa sijaigusa mbususu naelea kwa juu[emoji848][emoji848][emoji848]
Kama watoto tayari ninao wako shule
Kwa umri wangu hata itokee leo niambukizwe "bakayoko" ntaishi tu na kujipangia lifestyle nzuri na kupunguza ngono hata nikisogeza miaka michache nifike kwenye 50 nikadanja sio mbaya ntakuwa nishawasogeza wanangu sehemu nzuri kimaisha.
Kwanza kwa maisha haya unataka mpaka uzeeke ufike miaka 120 ili iweje? Ndo mwanzo wa kuja kuitwa mchawi bure.!
Lakini siwezi kujipotezea utamu wa mbususu kwa kuvaa hizo groves za chini never.!
We lazima una ngoma
 
Jamaa una akili sana yaani ni bora machangu condom ni lazima mzee ata na wenyewe ndo wanakomalia kuliko mademu wa mtaani , mademu wa mtaani yaani ni hatari sana kama wewe mwenyewe hautokomalia condom, sema watu hawajui tu,
Wewe ndio haujui, hao changudoa Kuna dau la kupiga kavu, jaribu wewe siku moja mwambie sivai kondom unataka ngapi?
 
Nakubaliana na wewe hawa mabinti wa mama ntilie wengi wako hatarini sana sababu ya tamaa na kukosa misimamo hasa wa kukataa wanaume.
Binafsi nimewala sana kwa style hiyo nikiwa safari naagiza msosi niletewe chumbani(lodge)
Mdada akifika nampa noti ya elfu kumi napiga kimoja anasepa,
Tena kuna kamoja mwaka juzi niliwahi kukutana nako Singida katoto kazuri chuchu saa sita nikawa mteja wa hotel yao kila nikisafiri pande hizo mwisho wa siku nilifanikiwa kukatafuna kalikuwa katamu balaa halafu kanajua mapenzi sana kiasi kwamba nilitamani hata niende nako Dom nikakapangishie niwe najilia tu ila nilikuja kukapima ngoma nikakuta kamewaka halafu nilikuwa nishakatafuna kama mara sita hivi sina hamu.!
Baada ya kukaonyesha majibu kalipanik na kulia sana akadai hakuwa anafikiria kama ameathilika basi nilitumia muda nilimtuliza kisha akawa sawa nikawaza nifanye nn maana nilishamla mara kibao halafu situmiagi kondom.
Niliporudi Dom niliishi kwa mawazo sana na sikumwambia mtu ila nashukuru Mungu miezi kadhaa mbele nilipima nikakutwa mzima mpaka leo niko swafi ila kama ujuavyo nyege ni uchizi flani[emoji848]yule binti mpaka sasa huwa namtumia nauli anakuja Dom nampaki lodge siku mbili najipigia anaondoka na huwa anasisitiza kwamba hajawahi kutumia ARV hivyo niwe natumia kondom ila tatizo kalivyo katamu ujasiri unanishinda najikuta navua napiga kavu[emoji39] nikimaliza ndo nawaza ila nashukuru mpaka sasa bado hajaniambukiza ila kati ya mademu wote haka kadada huwa nashindwa kukaacha kabisa nahisi labda ndo shetani wangu alipo
Chai
 
Mkuu tusifichane suala la kuvaa "barakoa za chini" ni gumu sana labda uwe umezoea kuzitumia
Mimi binafsi mara ya mwisho kuvaa hizo makitu ni miaka ya 2003 baadae nilianza kamchezo ka kuzitoboa kwa mbele bila demu kujua
Baada ya miaka kadhaa nikajikuta sivai kabisa hata kama mwanamke simjui ntatumia ujanja kumlaghai mpaka akubali nipige kavu yaani huwa naenjoy sana kuliko nivae hizo madude yaani ni bora nipige nyeto napata kautamu kidogo kuliko kuvaa ndom yaani nakuwa sijaigusa mbususu naelea kwa juu[emoji848][emoji848][emoji848]
Kama watoto tayari ninao wako shule
Kwa umri wangu hata itokee leo niambukizwe "bakayoko" ntaishi tu na kujipangia lifestyle nzuri na kupunguza ngono hata nikisogeza miaka michache nifike kwenye 50 nikadanja sio mbaya ntakuwa nishawasogeza wanangu sehemu nzuri kimaisha.
Kwanza kwa maisha haya unataka mpaka uzeeke ufike miaka 120 ili iweje? Ndo mwanzo wa kuja kuitwa mchawi bure.!
Lakini siwezi kujipotezea utamu wa mbususu kwa kuvaa hizo groves za chini never.!
Of course Ni gumu Sana,mm huwa natumia mbinu ya kijinga namwambia demu tukapime kabla akiwa anasitasita napiga chini ila akikubari Wala sihangaiki na condom najiaminisha Ni mzima 🤸🤸
 
Of course Ni gumu Sana,mm huwa natumia mbinu ya kijinga namwambia demu tukapime kabla akiwa anasitasita napiga chini ila akikubari Wala sihangaiki na condom najiaminisha Ni mzima [emoji1732][emoji1732]
Hiyo naitumia pia [emoji1787][emoji1787][emoji1787]yaani kuna demu ukiingiza ishu ya kupima anabadirika nankuwa mkali huyo huwa najua kabisa amewaka hata nikipiga najua kabisa naingia pabaya ila sina jinsi maana kama mbususu mpya halafu ukute ni pisi kali siachi lazima nipige hata cha fasta
 
Back
Top Bottom