Asilimia kubwa ya mapenzi ya wadada wasaidizi wa mama ntilie siyo salama kwa afya yako

Asilimia kubwa ya mapenzi ya wadada wasaidizi wa mama ntilie siyo salama kwa afya yako

Nakubaliana na wewe hawa mabinti wa mama ntilie wengi wako hatarini sana sababu ya tamaa na kukosa misimamo hasa wa kukataa wanaume.
Binafsi nimewala sana kwa style hiyo nikiwa safari naagiza msosi niletewe chumbani(lodge)
Mdada akifika nampa noti ya elfu kumi napiga kimoja anasepa,
Tena kuna kamoja mwaka juzi niliwahi kukutana nako Singida katoto kazuri chuchu saa sita nikawa mteja wa hotel yao kila nikisafiri pande hizo mwisho wa siku nilifanikiwa kukatafuna kalikuwa katamu balaa halafu kanajua mapenzi sana kiasi kwamba nilitamani hata niende nako Dom nikakapangishie niwe najilia tu ila nilikuja kukapima ngoma nikakuta kamewaka halafu nilikuwa nishakatafuna kama mara sita hivi sina hamu.!
Baada ya kukaonyesha majibu kalipanik na kulia sana akadai hakuwa anafikiria kama ameathilika basi nilitumia muda nilimtuliza kisha akawa sawa nikawaza nifanye nn maana nilishamla mara kibao halafu situmiagi kondom.
Niliporudi Dom niliishi kwa mawazo sana na sikumwambia mtu ila nashukuru Mungu miezi kadhaa mbele nilipima nikakutwa mzima mpaka leo niko swafi ila kama ujuavyo nyege ni uchizi flani[emoji848]yule binti mpaka sasa huwa namtumia nauli anakuja Dom nampaki lodge siku mbili najipigia anaondoka na huwa anasisitiza kwamba hajawahi kutumia ARV hivyo niwe natumia kondom ila tatizo kalivyo katamu ujasiri unanishinda najikuta navua napiga kavu[emoji39] nikimaliza ndo nawaza ila nashukuru mpaka sasa bado hajaniambukiza ila kati ya mademu wote haka kadada huwa nashindwa kukaacha kabisa nahisi labda ndo shetani wangu alipo
Duh
 
Nilichokielewa hapo ni kwamba wewe ni mtembezi sana umezunguka sehemu nyingi kutafuta riziki basi.
Hayo mengine acha wapiga kavu tuendelee kuloweka halafu na nyie wapiga na ndom endeleeni kunyetuka
Nb: anayetomba kwa kondom ni mpiga nyeto aliyechangamka[emoji1787]

Nilitaka niangalie nani kanijibu kwa kujiamini hivo, Nilipoona [mention]Mbwa dume [/mention] nikasema funika kombe mwanaharamu apite
 
Wasaidizi wa mama ntilie, wauza mihogo mibichi, mabinti wanaouza bidhaa barabarani kwa shelui ni mafuta ya kula, kintinku ni karanga, uyole ni ndizi, maparachichi, karoti na hoho, kiwira huko, Nyakanazi wauza asali, tinde, segera, wahudumu wa guesthouse na lodge na hotel zote, wale wanawake wakata tiketi stand, wanawake wa visiwani na migodini kote iwe chunya, nyangalata, rwamgasa, geita, yaani wahudumu wa bar wanawake wote hayo makundi yapo kwenye hatari ya kupata maambukizi kizembe sana hakikisha wewe kama mwanaume unachukua tahadhari sana maana ya kupima lakini pia kutumia kinga yaani condom hata ukipima jitahidi utumie kinga itakulinda wewe na uliyemwacha nyumbani, Rest In Peace madreva wote waliopata ukimwi kuanzia nangulukuru, mnazi mmoja, kitai kwenye makaa, kahama phantom na nyihogo, rusumo, mutukula kabanga, namanga, himo, mabibo, sterio, uyole, tunduma, manyoni, tinde, isaka, segera, packing zote mwanza anzia maganzo kuendelea silari, bunda, na kote walikopita, misigiri kwa shangazi, msambu moro, chalinze, mlowo , makambako, na kote kule kwenye hatari, UJUMBE, UKIMWI UPO NA UNAUA JILINDE NA CHUKUA TAHADHARI.
Jamaa umevuruga nchi nzima hii
 
Dada msambaza msosi hoteleni analipwa 1000-2000 per day,kasuka rasta za 60k,kapendeza skin jins 20k,top 10k,lotion na manukakato ananukia only after being paid 1k/2k per day!
Kuna biashara kubwa ya ngono inaendeshwa na wamiliki wa migahawa barabarani,wateja ni madereva semi,hiace,bodaboda,bajaji,tipa za mawe na mchanga,wabeba cargo sokoni,madereva fuso wanaopeleka bidhaa sokoni na kwa uchache raia wa mtaani.
Bila kuchukua tahadhari ukimwi utaendelea kukatisha ndoto za raia wengi.
Kuwa na mpenzi mmoja,baki njia kuu,ukimwi upo....
 
Nakubaliana na wewe hawa mabinti wa mama ntilie wengi wako hatarini sana sababu ya tamaa na kukosa misimamo hasa wa kukataa wanaume.
Binafsi nimewala sana kwa style hiyo nikiwa safari naagiza msosi niletewe chumbani(lodge)
Mdada akifika nampa noti ya elfu kumi napiga kimoja anasepa,
Tena kuna kamoja mwaka juzi niliwahi kukutana nako Singida katoto kazuri chuchu saa sita nikawa mteja wa hotel yao kila nikisafiri pande hizo mwisho wa siku nilifanikiwa kukatafuna kalikuwa katamu balaa halafu kanajua mapenzi sana kiasi kwamba nilitamani hata niende nako Dom nikakapangishie niwe najilia tu ila nilikuja kukapima ngoma nikakuta kamewaka halafu nilikuwa nishakatafuna kama mara sita hivi sina hamu.!
Baada ya kukaonyesha majibu kalipanik na kulia sana akadai hakuwa anafikiria kama ameathilika basi nilitumia muda nilimtuliza kisha akawa sawa nikawaza nifanye nn maana nilishamla mara kibao halafu situmiagi kondom.
Niliporudi Dom niliishi kwa mawazo sana na sikumwambia mtu ila nashukuru Mungu miezi kadhaa mbele nilipima nikakutwa mzima mpaka leo niko swafi ila kama ujuavyo nyege ni uchizi flani[emoji848]yule binti mpaka sasa huwa namtumia nauli anakuja Dom nampaki lodge siku mbili najipigia anaondoka na huwa anasisitiza kwamba hajawahi kutumia ARV hivyo niwe natumia kondom ila tatizo kalivyo katamu ujasiri unanishinda najikuta navua napiga kavu[emoji39] nikimaliza ndo nawaza ila nashukuru mpaka sasa bado hajaniambukiza ila kati ya mademu wote haka kadada huwa nashindwa kukaacha kabisa nahisi labda ndo shetani wangu alipo
Dah, umenitonesha kidonda😂, kuna demu tumezinguana ila moyoni bado nampenda balaa, ni wiki sasa tumekaushiana najiuliza kumuanza nitaonekana boya,😎 acha tu nijikaze.
 
Ndio maana ni bora hata kwa Machangudoa maana wao wapo makini sana na kinga...na hata ukorofi wanao hivyo ni vigumu 'Mteja" kumzidi maarifa maana mtiti wanauweza.
Jamaa una akili sana yaani ni bora machangu condom ni lazima mzee ata na wenyewe ndo wanakomalia kuliko mademu wa mtaani , mademu wa mtaani yaani ni hatari sana kama wewe mwenyewe hautokomalia condom, sema watu hawajui tu,
 
Ndio maana ni bora hata kwa Machangudoa maana wao wapo makini sana na kinga...na hata ukorofi wanao hivyo ni vigumu 'Mteja" kumzidi maarifa maana mtiti wanauweza.

Hakuna cha afazali mkuu!!! Muombe mungu lakini na sisi tuwe makini kwa hawa dada zetu...... mimi ndom sivai ila lazima nikupime!!!!! Na haijawai etu sijui nimezidiwa hiyo sinaga hutaki kupima bora nipite kushoto
 
Dah, mkuu, niliumia sana tena sana, kila nikifikiria binti wa watu alivyokuwa akisambaza chakula kwenye jua kali na kwa bidii sana nilijikuta natetemeka tu. Kuna muda alileta chakula cha mchana tukawa tunamhoji kuhusu biashara kama ni yake ama ameajiliwa, ndipi aliposema kuwa yuko kwenye biashara ya mtu. Akasema anaishi na mama yake ambaye ni mgonjwa kwa sasa, mama yake kaajiliwa kwenye mashine ya kusaga na kukoboa mahindi. Hivyo amasubiri apone, ili arudi zake college

Ndo hivyo tena, ni lazima aliutwaa tu, hakuna namna wala salia mtume

Kuhusu kumshauri sikufanikiwa, kama ningelifanya hivyo, ningeliiweka lehani nafasi niliyokuwa nayo. Alikuwa anasema hapendi mtu mwenye mdomo mdomo
Kuhusu kupata maambukizi usiweke 100% maana inawezekana alishapaya maambukizi au hakuna michubuko lwa siku hiyo na hakupata
 
Msije kusema sikuwaambia,

Niliwahi kuwa msaidizi wa dereva wa lori moja hivi linalobeba nafaka kutoka Dodoma na Morogoro kuelekea Dsm, huyu dereva na wenzie walikuwa na kautaratibu ka kufika eneo la soko na kuanza kuyafurahia maisha kwa pupa.

Mida ya jioni walimwagilia moyo kwa kasi ya juu wakiwa pamoja na wale madada zetu wale, huku wakijipigia kimoko kimoko kila baada ya saa hadi mida ya saa nne. Baada ya hapo walikodi vyumba vya kulala wageni kisha kuwapigia simu wenzi wao kwa ajili ya kuburudika usiku ule.

Wenzi wao ni wakina nani?
Wakati walipowasili Dsm walianza kutafuta 'connection' za msosi wa asubuhi, mchana, jioni, usiku na asubuhi ya kesho. Vyakula vyote hivi vilitoka kwa mama ntilie, hivyo mabinti waajiriwa ndiyo waliyowasambazia. Kwa hiyo hawa hawa mabinti walitongozwa na kuwa vipozeo vya madereva hawa.

Turejee kwa huyu dereva wangu, kuna siku nililala kwenye bodi ya gari, katika kagua kagua ya hapa na pale nilikutana na ARV's za kumwaga tu ndani ya droo. Sikutaka kuhoji saana kwa kuwa haikuhitaji ufafanuzi.

Kesho yake asubuhi, tuliamua kumuita binti mmoja swafi aliyekuwa akisambaza vyakula pale kisha kuagiza chakula. Mimi niliagiza wali samaki na maziwa, nikatoa 10k nikarudishiwa 7k nikaweka mfukoni. Huyu dereva aliagiza wali nyama na chai ya rangi akatoa 20k akaomba chenji iliwe na yule dada kisha kuchukua mawasiliano yake.

Yule dada alituhudumia pia msosi wa mchana na usiku huku akizidishiwa pesa, na mpaka kufika jioni alikuwa tayari keshakabidhiwa kitita cha Tsh 60k. Baada ya hapo kuna maongezi waliyafanya na baada ya hapo makubaliano yalikamilika.

Baada ya yule dada kuondoka, ndipo nikapata wasaa wa kumuuliza dereva kuwa hawa wanawake unaowachukua, huwa wanakubali uwatandike bakora bila condom? Akasema "Huwa hawakubali". Ndipo nikamwambia, "Sasa kama hawakubali, mbona uliwahi nambia kuwa wewe huwezi fanya mapenzi kwa kutumia condom?"

Yule dereva akacheka sana, akasema "Hivi mwanamke anaanzaje kukushinda nguvu unapoingia naye chumbani? Hata makofi atapigwa tu ili mradi atoe kavu. Na mpaka sasa hakuna aliyewahi nishinda maarifa!"

Nikamuuliza tena,"Huogopi maambukizi?". Dereva akaangusha kicheko cha kinafki kisha kunambia,"hivi kweli wewe na akili yako hiyo unaamini kuwa UKIMWI bado upo hapa duniani?" Ikabidi nimalize story kiaina

Nyakati za usiku mida ya saa tatu nilimshuhudia yule binti mrembo akiwa ndani ya kijigauni chake swaafi na vimacho vyake vya huruma vya kusinzia sinzia huku tu, nyou nyou twake tulitwochongoka vyema tukijaribu kutoboa kigauni kile.

Baada ya binti kutufikia, nilijaribu kuzuga na kumpa ishara yule binti japokuwa alikuwa kichwa boga na ashindwe kuelewa chochote. Nilibaki nikiwatazama wakiwa wameshikana mikono huku yule dada anatembea utadhani anaburutwa. Nikaweka mikono yangu kichwani na kusema "Bwana ametoa, na bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe, amen". Kisha kuingia mtaani ili kutafuta kipozeo.

Sasa ninyi wana wa mitaa hiyo mnaodet na hawa wadada mtauvaa kiaina na hamtokaa muamini, mtapeleka kwa familia zenu msambaziane, mwisho wa siku tutapukutika, narudia tena, tutapukutika tufanane na ile mizimu ya kwenye Z Nation. Suluhisho la haya yote ni 2025.

Uzi ugongelewe misumari ili wana MMU wawe aware, waache kutafunana au kutafunwa kizembe.

Msisahau kunifollow,
Melki the Story TellerView attachment 2420077
That's is true brother..


Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
 
Unaweza ukajifanya unajiepusha sana na UKIMWI ukafa kwa ajali tukakufukia futi 6. Ukatuacha wenye UKIMWI tunakula raha za dunia tukidunda na ARV zetu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Haya ni maneno yakijinga yakujifariji!!! Juzi nilikuwa GYM sasa yule mwalimu wa gym kaletewa raba kali na kibunda hana........ ikabidi akope alafu akaanza kumwambia muuza viatu elfu20 haiwezi kujenga nyumba au elfu5 tule bata nyumba zipo tutaishi tuu......

Akasema takwimu za sensa zinasema nchi ina majengo milion14 na watu milioni 60 watu ni wengi kuliko majengo kwaiyo uwakika wakuishi upo tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

nilicheka sana walahi nikasema huyu mungu akimpa umri wakuishi hapa duniani ataja kumbuka maneno yake yakijinga ndo yalimponza!!!! Sasa na wewe na huo mfano wako shauri yako kuwa makini mzee
 
Back
Top Bottom