Wasaidizi wa mama ntilie, wauza mihogo mibichi, mabinti wanaouza bidhaa barabarani kwa shelui ni mafuta ya kula, kintinku ni karanga, uyole ni ndizi, maparachichi, karoti na hoho, kiwira huko, Nyakanazi wauza asali, tinde, segera, wahudumu wa guesthouse na lodge na hotel zote, wale wanawake wakata tiketi stand, wanawake wa visiwani na migodini kote iwe chunya, nyangalata, rwamgasa, geita, yaani wahudumu wa bar wanawake wote hayo makundi yapo kwenye hatari ya kupata maambukizi kizembe sana hakikisha wewe kama mwanaume unachukua tahadhari sana maana ya kupima lakini pia kutumia kinga yaani condom hata ukipima jitahidi utumie kinga itakulinda wewe na uliyemwacha nyumbani, Rest In Peace madreva wote waliopata ukimwi kuanzia nangulukuru, mnazi mmoja, kitai kwenye makaa, kahama phantom na nyihogo, rusumo, mutukula kabanga, namanga, himo, mabibo, sterio, uyole, tunduma, manyoni, tinde, isaka, segera, packing zote mwanza anzia maganzo kuendelea silari, bunda, na kote walikopita, misigiri kwa shangazi, msambu moro, chalinze, mlowo , makambako, na kote kule kwenye hatari, UJUMBE, UKIMWI UPO NA UNAUA JILINDE NA CHUKUA TAHADHARI.