Asilimia kubwa ya mapenzi ya wadada wasaidizi wa mama ntilie siyo salama kwa afya yako

Asilimia kubwa ya mapenzi ya wadada wasaidizi wa mama ntilie siyo salama kwa afya yako

Kwa utamu wa mbususu nilishakubaliana na yote 🤣🤣🤣🤣 liwalo na liwe. Ebu tumuulize Mzee wa kupambania atupe muongozo wake pia
Unaweza ukajifanya unajiepusha sana na UKIMWI ukafa kwa ajali tukakufukia futi 6. Ukatuacha wenye UKIMWI tunakula raha za dunia tukidunda na ARV zetu 🤣🤣🤣
 
Mzee acha huo mchezo unless huna familia mke/watoto na majukumu mengine

Piga ila Vaa barakoa

Ushauri tu
Mkuu tusifichane suala la kuvaa "barakoa za chini" ni gumu sana labda uwe umezoea kuzitumia
Mimi binafsi mara ya mwisho kuvaa hizo makitu ni miaka ya 2003 baadae nilianza kamchezo ka kuzitoboa kwa mbele bila demu kujua
Baada ya miaka kadhaa nikajikuta sivai kabisa hata kama mwanamke simjui ntatumia ujanja kumlaghai mpaka akubali nipige kavu yaani huwa naenjoy sana kuliko nivae hizo madude yaani ni bora nipige nyeto napata kautamu kidogo kuliko kuvaa ndom yaani nakuwa sijaigusa mbususu naelea kwa juu[emoji848][emoji848][emoji848]
Kama watoto tayari ninao wako shule
Kwa umri wangu hata itokee leo niambukizwe "bakayoko" ntaishi tu na kujipangia lifestyle nzuri na kupunguza ngono hata nikisogeza miaka michache nifike kwenye 50 nikadanja sio mbaya ntakuwa nishawasogeza wanangu sehemu nzuri kimaisha.
Kwanza kwa maisha haya unataka mpaka uzeeke ufike miaka 120 ili iweje? Ndo mwanzo wa kuja kuitwa mchawi bure.!
Lakini siwezi kujipotezea utamu wa mbususu kwa kuvaa hizo groves za chini never.!
 
Mkuu tusifichane suala la kuvaa "barakoa za chini" ni gumu sana labda uwe umezoea kuzitumia
Mimi binafsi mara ya mwisho kuvaa hizo makitu ni miaka ya 2003 baadae nilianza kamchezo ka kuzitoboa kwa mbele bila demu kujua
Baada ya miaka kadhaa nikajikuta sivai kabisa hata kama mwanamke simjui ntatumia ujanja kumlaghai mpaka akubali nipige kavu yaani huwa naenjoy sana kuliko nivae hizo madude yaani ni bora nipige nyeto napata kautamu kidogo kuliko kuvaa ndom yaani nakuwa sijaigusa mbususu naelea kwa juu[emoji848][emoji848][emoji848]
Kama watoto tayari ninao wako shule
Kwa umri wangu hata itokee leo niambukizwe "bakayoko" ntaishi tu na kujipangia lifestyle nzuri na kupunguza ngono hata nikisogeza miaka michache nifike kwenye 50 nikadanja sio mbaya ntakuwa nishawasogeza wanangu sehemu nzuri kimaisha.
Lakini siwezi kujipotezea utamu wa mbususu kwa kuvaa hizo groves za chini never.!
Haya ndio maneno ya mwanaume mwenye akili. 😍😍😍😍
 
Umenena ukweli japo ni Mchungu sana.

Je huwa hujilaumu kwa kushindwa kumsaidia huyo Binti?

Je umeshindwa kabisa kumpa Elimu Dereva wako kuhusu hilo analolifanya?

Inaogopesha na Kuhuzunisha sana. Kusambaza UKIMWI kwa Makusudi ni kosa kisheria na anastahili adhabu
Huwa mara nyinggi hawa mabinti hawashaurik.... Nakumbuka niliwahi mshauri binti mmoja akiwa na kama 16yo iv juu ya mahusiano aliyoyaanzisha na bwana mdogo mmoja hiv mtaan kwetu ambaye muhuni muhun tu na muathirika kwan nilikuwa nina ukaribu sana na famila yao....kulitokea ugomvi baina ya yule bint na mpenz wake kabla ya kukutana kimwil (kwa mujibu wa maelezo ya binti) na hivyo binti akaja kwangu kuniomba ushauri kama mtu ninae mfahamu vizur yule mpenz wake kuwa je anamfaa na aendelee na mahusiano na huyo mpenz wake kwan mm ndo naifamu vyema tabia yake kuliko yeye na ukizingatia yy ni mgen pale mtaan kwetu ...niliona binti ana akili kiasi ngoja nimuokoe kwa ushauri nasaa ....kilichokuja kutea nikaonekana m ni mbaya tena sana hata kuamua kuvunja mahusiano na familia ya yule bwana mdogo kwani maneno yaliyofika huko sikuwah fikiri ningeweza kuyatamka kwa kinywa changu..siku zikaenda..binti akapata ujauzito dogo kaukataa nyumbani kwa binti alipofikia wakaamua kumpima na vipimo vingine vikubwa akakutwa na VVU wakaamua kutoa mimba ili binti aendelee na shule kwan ndo kwanza kalikua kametoka kuhitimu form4 ...bibi wa bint alipata taarifa kuwa nimewah kumuonya binti yao kuhusu mahusiano yao aliniita na kunisimulia hayo mbele ya kale kabint na kuniuliza kwann nilishindwa hata kutumia nguvu za ziada kuzuia hayo mahusiano....nilijua tu kuwa tayar kadata ..nilijiondokea zangu tu huku kabinti kakilia kwa aibu kwani kwa maelezo yao ni kuwa bwana mdogo aliliweka wazi kuwa ye ni muathirika na ndo sababu ya kukata mimba nying kwan hatak vitoto viathirika yeye....ni stori ndefu ...ila hawa watu ndugu ya utakuja kuonekana mbaya au unajipigia debe tu ....akili zao ni fupi mno...📝📝🤦🙌.
 
Mkuu tusifichane suala la kuvaa "barakoa za chini" ni gumu sana labda uwe umezoea kuzitumia
Mimi binafsi mara ya mwisho kuvaa hizo makitu ni miaka ya 2003 baadae nilianza kamchezo ka kuzitoboa kwa mbele bila demu kujua
Baada ya miaka kadhaa nikajikuta sivai kabisa hata kama mwanamke simjui ntatumia ujanja kumlaghai mpaka akubali nipige kavu yaani huwa naenjoy sana kuliko nivae hizo madude yaani ni bora nipige nyeto napata kautamu kidogo kuliko kuvaa ndom yaani nakuwa sijaigusa mbususu naelea kwa juu[emoji848][emoji848][emoji848]
Kama watoto tayari ninao wako shule
Kwa umri wangu hata itokee leo niambukizwe "bakayoko" ntaishi tu na kujipangia lifestyle nzuri na kupunguza ngono hata nikisogeza miaka michache nifike kwenye 50 nikadanja sio mbaya ntakuwa nishawasogeza wanangu sehemu nzuri kimaisha.
Lakini siwezi kujipotezea utamu wa mbususu kwa kuvaa hizo groves za chini never.!
Haya mkuu maisha ni yako Kila la kheri hakuna aijuaye kesho
 
Dereva wako naye bwege sana yaani msaidizi wa mama ntilie ambaye kwa kutwa analipwa 3000 ndo amuonge 60k ili apate mbususu!!🤔🤔🤔
60,000 mbona ndogo sana mkuu... kaharibu afya ya mtu 60,000 inatosha nini?
 
Oya Ukimwi usikieni tu wakuu, mimi nipo safe ila huo Ugonjwa uliniharibiaga system ya maisha yangu kiujumla pengine now ningekuwa na elimu ya level ya juu... ila niliyemtegemea aliukwaa nguvu kazi ikapotea nyie acheni tu wakuu... Ni ngumu kutumia ndomu ila usiuze mechi.
 
Haya mkuu maisha ni yako Kila la kheri hakuna aijuaye kesho
We endelea kuvaa hiyo mifuko sie acha tujipigie radha kamili sifa thabiti.!
Yaani mwanaume mzima utumie gharama zako zote kwa demu kama msosi, vinywaji, nauli, hela ya lodge, na hela ya kumpa yaani hapo jumla sio chini ya elfu 50 - 100,000 halafu mwisho wa yote unavaa kondom?
Si bora ungenunua sabuni kipande ukapiga nyeto tu maana mapenzi ya kondom ni sawa na nyeto iliyochangamka.
Mie katika vitu sintoweza kukubali ni hivi:
1.kutumia gharama zangu pesa mingi halafu nije kuvaa kondom.!
2. Kulipa mchango wa harusi elfu hamsini au laki halafu nikaishie kunywa juice ya azam[emoji848]
 
We endelea kuvaa hiyo mifuko sie acha tujipigie radha kamili sifa thabiti.!
Yaani mwanaume mzima utumie gharama zako zote kwa demu kama msosi, vinywaji, nauli, hela ya lodge, na hela ya kumpa yaani hapo jumla sio chini ya elfu 50 - 100,000 halafu mwisho wa yote unavaa kondom?
Si bora ungenunua sabuni kipande ukapiga nyeto tu maana mapenzi ya kondom ni sawa na nyeto iliyochangamka.
Mie katika vitu sintoweza kukubali ni hivi:
1.kutumia gharama zangu pesa mingi halafu nije kuvaa kondom.!
2. Kulipa mchango wa harusi elfu hamsini au laki halafu nikaishie kunywa juice ya azam[emoji848]
Haya boss nitafanyia kazi ushauri wako na mimi
 
Nakubaliana na wewe hawa mabinti wa mama ntilie wengi wako hatarini sana sababu ya tamaa na kukosa misimamo hasa wa kukataa wanaume.
Binafsi nimewala sana kwa style hiyo nikiwa safari naagiza msosi niletewe chumbani(lodge)
Mdada akifika nampa noti ya elfu kumi napiga kimoja anasepa,
Tena kuna kamoja mwaka juzi niliwahi kukutana nako Singida katoto kazuri chuchu saa sita nikawa mteja wa hotel yao kila nikisafiri pande hizo mwisho wa siku nilifanikiwa kukatafuna kalikuwa katamu balaa halafu kanajua mapenzi sana kiasi kwamba nilitamani hata niende nako Dom nikakapangishie niwe najilia tu ila nilikuja kukapima ngoma nikakuta kamewaka halafu nilikuwa nishakatafuna kama mara sita hivi sina hamu.!
Baada ya kukaonyesha majibu kalipanik na kulia sana akadai hakuwa anafikiria kama ameathilika basi nilitumia muda nilimtuliza kisha akawa sawa nikawaza nifanye nn maana nilishamla mara kibao halafu situmiagi kondom.
Niliporudi Dom niliishi kwa mawazo sana na sikumwambia mtu ila nashukuru Mungu miezi kadhaa mbele nilipima nikakutwa mzima mpaka leo niko swafi ila kama ujuavyo nyege ni uchizi flani[emoji848]yule binti mpaka sasa huwa namtumia nauli anakuja Dom nampaki lodge siku mbili najipigia anaondoka na huwa anasisitiza kwamba hajawahi kutumia ARV hivyo niwe natumia kondom ila tatizo kalivyo katamu ujasiri unanishinda najikuta navua napiga kavu[emoji39] nikimaliza ndo nawaza ila nashukuru mpaka sasa bado hajaniambukiza ila kati ya mademu wote haka kadada huwa nashindwa kukaacha kabisa nahisi labda ndo shetani wangu alipo
[emoji3][emoji3]kwakuwa umejimwambafai apa nenda kapige tena raw utajua hujui
 
Wasaidizi wa mama ntilie, wauza mihogo mibichi, mabinti wanaouza bidhaa barabarani kwa shelui ni mafuta ya kula, kintinku ni karanga, uyole ni ndizi, maparachichi, karoti na hoho, kiwira huko, Nyakanazi wauza asali, tinde, segera, wahudumu wa guesthouse na lodge na hotel zote, wale wanawake wakata tiketi stand, wanawake wa visiwani na migodini kote iwe chunya, nyangalata, rwamgasa, geita, yaani wahudumu wa bar wanawake wote hayo makundi yapo kwenye hatari ya kupata maambukizi kizembe sana hakikisha wewe kama mwanaume unachukua tahadhari sana maana ya kupima lakini pia kutumia kinga yaani condom hata ukipima jitahidi utumie kinga itakulinda wewe na uliyemwacha nyumbani, Rest In Peace madreva wote waliopata ukimwi kuanzia nangulukuru, mnazi mmoja, kitai kwenye makaa, kahama phantom na nyihogo, rusumo, mutukula kabanga, namanga, himo, mabibo, sterio, uyole, tunduma, manyoni, tinde, isaka, segera, packing zote mwanza anzia maganzo kuendelea silari, bunda, na kote walikopita, misigiri kwa shangazi, msambu moro, chalinze, mlowo , makambako, na kote kule kwenye hatari, UJUMBE, UKIMWI UPO NA UNAUA JILINDE NA CHUKUA TAHADHARI.
 
Kinachochekesha zaidi madereva wa malori wanaongoza kuwalaumu wake zao kwa usaliti na kupelekewa maambukizi mbalimbali. Yaani jamaa sura kavuu linalalamika mke malaya batulii ndo maana wamepata magonjwa.
 
Wasaidizi wa mama ntilie, wauza mihogo mibichi, mabinti wanaouza bidhaa barabarani kwa shelui ni mafuta ya kula, kintinku ni karanga, uyole ni ndizi, maparachichi, karoti na hoho, kiwira huko, Nyakanazi wauza asali, tinde, segera, wahudumu wa guesthouse na lodge na hotel zote, wale wanawake wakata tiketi stand, wanawake wa visiwani na migodini kote iwe chunya, nyangalata, rwamgasa, geita, yaani wahudumu wa bar wanawake wote hayo makundi yapo kwenye hatari ya kupata maambukizi kizembe sana hakikisha wewe kama mwanaume unachukua tahadhari sana maana ya kupima lakini pia kutumia kinga yaani condom hata ukipima jitahidi utumie kinga itakulinda wewe na uliyemwacha nyumbani, Rest In Peace madreva wote waliopata ukimwi kuanzia nangulukuru, mnazi mmoja, kitai kwenye makaa, kahama phantom na nyihogo, rusumo, mutukula kabanga, namanga, himo, mabibo, sterio, uyole, tunduma, manyoni, tinde, isaka, segera, packing zote mwanza anzia maganzo kuendelea silari, bunda, na kote walikopita, misigiri kwa shangazi, msambu moro, chalinze, mlowo , makambako, na kote kule kwenye hatari, UJUMBE, UKIMWI UPO NA UNAUA JILINDE NA CHUKUA TAHADHARI.
Nilichokielewa hapo ni kwamba wewe ni mtembezi sana umezunguka sehemu nyingi kutafuta riziki basi.
Hayo mengine acha wapiga kavu tuendelee kuloweka halafu na nyie wapiga na ndom endeleeni kunyetuka
Nb: anayetomba kwa kondom ni mpiga nyeto aliyechangamka[emoji1787]
 
Back
Top Bottom