Asilimia kubwa ya WanaCCM wanataka Mbowe abaki Mwenyekiti CHADEMA. Hawamtaki Lissu

Asilimia kubwa ya WanaCCM wanataka Mbowe abaki Mwenyekiti CHADEMA. Hawamtaki Lissu

Sodoku

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2016
Posts
1,271
Reaction score
2,903
Kwa kweli nimefarijika sana. Mbowe anapendwa sana. Anapendwa hadi na wana CCM. Akina Mshamba na tilalila wanampigia upatu Mbowe abaki Mwenyekiti. Hawamtaki Lissu.

Hii inaonesha udugu ambao umeanza wa CCM na CDM kwa namna ambayo ni nzuri kabisa. Yaani ukute siku Simba wanataka Kocha wa Yanga asiondolewe abaki. Unagundua mpira wetu umekua sana.

Kwa sasa Lissu anapigwa vita sana na CCM hawataki awe Mwenyekiti wa CDM. WANASEMA MWAMBA ANATOSHA. MIAKA KADHAA ILIYOPITA WALIKUWA WANASEMA AONDOKE AMEKAA MUDA MREFU SANA. CDM wakasema haondoki. Lakini naona maridhiano kwa sasa yamefana.

Wanasema wamegundua anafaa so aendelee kuwa Mwenyekiti wa CDM. lakini wanapingana na kundi la wana CDM ambao wanataka mabadiliko wanasema Mwamba sasa mwachie Mwamba mwingine naye atuongoze. Hapo kameibuka kakundi ka wenye njaa Yericko Nyerere huyu sasa anakuja na sera ya Mwamba abaki maana anafaidika na mabaki mabaki yanayobaki mezani au chakula kinachodondoka miguuni pa Mbowe.

Huyu Yericko alikuwa akipinga Magufuli kutaka badilisha katiba aongeze muda wa kutawala. Ila leo anataka mtu aliyeongoza miaka 20 aendelee. Sababu? Ana pesa. So wao wataokota okota pesa toka kwake.

Chadema inapoteza uaminifu. Kama Lissu aliteuliwa agombee Urais 2020 na sasa wanasema hafai kumbe walikuwa wanaingiza watanzania chaka.so hata sasa wanaposema Mbowe anafaa tusiwaamini. Sababu ni uongo ule ule kama wa mwaka 2020.

Mbowe amejenga urafiki mkubwa na wa kupendeza na wana CCM ni jambo zuri sana. Na wanampenda. Wanatamani aendelee kuongoza CDM. Hawataki msikia Lissu sababu Lissu atakiua Chama cha CDM. Wanaonesha namna gani wana upendo na CDM.

Akina Yericko vijana wadogo wameshindwa kuthibiti njaa na uchawa wanashinda kila siku kumponda Lissu wa chama chao hicho hicho sababu kwake hawapati kitu. Angalau Mbowe anawafanya mkono uende kinywani. Ukimwona Mbwa juu ya Mti Ujue kapandishwa.
 
Kwa kweli nimefarijika sana. Mbowe anapendwa sana. Anapendwa hadi na wana CCM. Akina Mshamba na tilalila wanampigia upatu Mbowe abaki Mwenyekiti. Hawamtaki Lissu.

Hii inaonesha udugu ambao umeanza wa CCM na CDM kwa namna ambayo ni nzuri kabisa. Yaani ukute siku Simba wanataka Kocha wa Yanga asiondolewe abaki. Unagundua mpira wetu umekua sana.

Kwa sasa Lissu anapigwa vita sana na CCM hawataki awe Mwenyekiti wa CDM. WANASEMA MWAMBA ANATOSHA. MIAKA KADHAA ILIYOPITA WALIKUWA WANASEMA AONDOKE AMEKAA MUDA MREFU SANA. CDM wakasema haondoki. Lakini naona maridhiano kwa sasa yamefana.

Wanasema wamegundua anafaa so aendelee kuwa Mwenyekiti wa CDM. lakini wanapingana na kundi la wana CDM ambao wanataka mabadiliko wanasema Mwamba sasa mwachie Mwamba mwingine naye atuongoze. Hapo kameibuka kakundi ka wenye njaa Yericko Nyerere huyu sasa anakuja na sera ya Mwamba abaki maana anafaidika na mabaki mabaki yanayobaki mezani au chakula kinachodondoka miguuni pa Mbowe.

Huyu Yericko alikuwa akipinga Magufuli kutaka badilisha katiba aongeze muda wa kutawala. Ila leo anataka mtu aliyeongoza miaka 20 aendelee. Sababu? Ana pesa. So wao wataokota okota pesa toka kwake.

Chadema inapoteza uaminifu. Kama Lissu aliteuliwa agombee Urais 2020 na sasa wanasema hafai kumbe walikuwa wanaingiza watanzania chaka.so hata sasa wanaposema Mbowe anafaa tusiwaamini. Sababu ni uongo ule ule kama wa mwaka 2020.

Mbowe amejenga urafiki mkubwa na wa kupendeza na wana CCM ni jambo zuri sana. Na wanampenda. Wanatamani aendelee kuongoza CDM. Hawataki msikia Lissu sababu Lissu atakiua Chama cha CDM. Wanaonesha namna gani wana upendo na CDM.

Akina Yericko vijana wadogo wameshindwa kuthibiti njaa na uchawa wanashinda kila siku kumponda Lissu wa chama chao hicho hicho sababu kwake hawapati kitu. Angalau Mbowe anawafanya mkono uende kinywani. Ukimwona Mbwa juu ya Mti Ujue kapandishwa.
Si waliwekeza pesa kwa mbowe na maridhiano ya kugawana majimbo waliafanya na mbowe bila kuhusisha wana chadema
 
Kwa kweli nimefarijika sana. Mbowe anapendwa sana. Anapendwa hadi na wana CCM. Akina Mshamba na tilalila wanampigia upatu Mbowe abaki Mwenyekiti. Hawamtaki Lissu.

Hii inaonesha udugu ambao umeanza wa CCM na CDM kwa namna ambayo ni nzuri kabisa. Yaani ukute siku Simba wanataka Kocha wa Yanga asiondolewe abaki. Unagundua mpira wetu umekua sana.

Kwa sasa Lissu anapigwa vita sana na CCM hawataki awe Mwenyekiti wa CDM. WANASEMA MWAMBA ANATOSHA. MIAKA KADHAA ILIYOPITA WALIKUWA WANASEMA AONDOKE AMEKAA MUDA MREFU SANA. CDM wakasema haondoki. Lakini naona maridhiano kwa sasa yamefana.

Wanasema wamegundua anafaa so aendelee kuwa Mwenyekiti wa CDM. lakini wanapingana na kundi la wana CDM ambao wanataka mabadiliko wanasema Mwamba sasa mwachie Mwamba mwingine naye atuongoze. Hapo kameibuka kakundi ka wenye njaa Yericko Nyerere huyu sasa anakuja na sera ya Mwamba abaki maana anafaidika na mabaki mabaki yanayobaki mezani au chakula kinachodondoka miguuni pa Mbowe.

Huyu Yericko alikuwa akipinga Magufuli kutaka badilisha katiba aongeze muda wa kutawala. Ila leo anataka mtu aliyeongoza miaka 20 aendelee. Sababu? Ana pesa. So wao wataokota okota pesa toka kwake.

Chadema inapoteza uaminifu. Kama Lissu aliteuliwa agombee Urais 2020 na sasa wanasema hafai kumbe walikuwa wanaingiza watanzania chaka.so hata sasa wanaposema Mbowe anafaa tusiwaamini. Sababu ni uongo ule ule kama wa mwaka 2020.

Mbowe amejenga urafiki mkubwa na wa kupendeza na wana CCM ni jambo zuri sana. Na wanampenda. Wanatamani aendelee kuongoza CDM. Hawataki msikia Lissu sababu Lissu atakiua Chama cha CDM. Wanaonesha namna gani wana upendo na CDM.

Akina Yericko vijana wadogo wameshindwa kuthibiti njaa na uchawa wanashinda kila siku kumponda Lissu wa chama chao hicho hicho sababu kwake hawapati kitu. Angalau Mbowe anawafanya mkono uende kinywani. Ukimwona Mbwa juu ya Mti Ujue kapandishwa.
Wanamjua atawasumbua. Wanatakiwa nao wabuni mbinu mpya za kukabiliana naye. Walishagundua mbinu za Mbowe ndo maana wanamtaka.
 
Kwa kweli nimefarijika sana. Mbowe anapendwa sana. Anapendwa hadi na wana CCM. Akina Mshamba na tilalila wanampigia upatu Mbowe abaki Mwenyekiti. Hawamtaki Lissu.

Hii inaonesha udugu ambao umeanza wa CCM na CDM kwa namna ambayo ni nzuri kabisa. Yaani ukute siku Simba wanataka Kocha wa Yanga asiondolewe abaki. Unagundua mpira wetu umekua sana.

Kwa sasa Lissu anapigwa vita sana na CCM hawataki awe Mwenyekiti wa CDM. WANASEMA MWAMBA ANATOSHA. MIAKA KADHAA ILIYOPITA WALIKUWA WANASEMA AONDOKE AMEKAA MUDA MREFU SANA. CDM wakasema haondoki. Lakini naona maridhiano kwa sasa yamefana.

Wanasema wamegundua anafaa so aendelee kuwa Mwenyekiti wa CDM. lakini wanapingana na kundi la wana CDM ambao wanataka mabadiliko wanasema Mwamba sasa mwachie Mwamba mwingine naye atuongoze. Hapo kameibuka kakundi ka wenye njaa Yericko Nyerere huyu sasa anakuja na sera ya Mwamba abaki maana anafaidika na mabaki mabaki yanayobaki mezani au chakula kinachodondoka miguuni pa Mbowe.

Huyu Yericko alikuwa akipinga Magufuli kutaka badilisha katiba aongeze muda wa kutawala. Ila leo anataka mtu aliyeongoza miaka 20 aendelee. Sababu? Ana pesa. So wao wataokota okota pesa toka kwake.

Chadema inapoteza uaminifu. Kama Lissu aliteuliwa agombee Urais 2020 na sasa wanasema hafai kumbe walikuwa wanaingiza watanzania chaka.so hata sasa wanaposema Mbowe anafaa tusiwaamini. Sababu ni uongo ule ule kama wa mwaka 2020.

Mbowe amejenga urafiki mkubwa na wa kupendeza na wana CCM ni jambo zuri sana. Na wanampenda. Wanatamani aendelee kuongoza CDM. Hawataki msikia Lissu sababu Lissu atakiua Chama cha CDM. Wanaonesha namna gani wana upendo na CDM.

Akina Yericko vijana wadogo wameshindwa kuthibiti njaa na uchawa wanashinda kila siku kumponda Lissu wa chama chao hicho hicho sababu kwake hawapati kitu. Angalau Mbowe anawafanya mkono uende kinywani. Ukimwona Mbwa juu ya Mti Ujue kapandishwa.
Aliwapa COVID 19 kwa hiyo wanamlipa fadhila.
 
Mwamba is a friendly opponent wa CCM is a compromising man, na mwenye kuheshimu pesa ikipatikana
Uko right , but wengine wanaona he is soft, and hiyo condition ndio imepelekea chadema imefika hapa ilipo. Watu hawataki soft politics tena, the want rebel kinds, and lissu ana fit hiyo description
 
Back
Top Bottom