Asilimia kubwa ya WanaCCM wanataka Mbowe abaki Mwenyekiti CHADEMA. Hawamtaki Lissu

Asilimia kubwa ya WanaCCM wanataka Mbowe abaki Mwenyekiti CHADEMA. Hawamtaki Lissu

Kwa kweli nimefarijika sana. Mbowe anapendwa sana. Anapendwa hadi na wana CCM. Akina Mshamba na tilalila wanampigia upatu Mbowe abaki Mwenyekiti. Hawamtaki Lissu.

Hii inaonesha udugu ambao umeanza wa CCM na CDM kwa namna ambayo ni nzuri kabisa. Yaani ukute siku Simba wanataka Kocha wa Yanga asiondolewe abaki. Unagundua mpira wetu umekua sana.

Kwa sasa Lissu anapigwa vita sana na CCM hawataki awe Mwenyekiti wa CDM. WANASEMA MWAMBA ANATOSHA. MIAKA KADHAA ILIYOPITA WALIKUWA WANASEMA AONDOKE AMEKAA MUDA MREFU SANA. CDM wakasema haondoki. Lakini naona maridhiano kwa sasa yamefana.

Wanasema wamegundua anafaa so aendelee kuwa Mwenyekiti wa CDM. lakini wanapingana na kundi la wana CDM ambao wanataka mabadiliko wanasema Mwamba sasa mwachie Mwamba mwingine naye atuongoze. Hapo kameibuka kakundi ka wenye njaa Yericko Nyerere huyu sasa anakuja na sera ya Mwamba abaki maana anafaidika na mabaki mabaki yanayobaki mezani au chakula kinachodondoka miguuni pa Mbowe.

Huyu Yericko alikuwa akipinga Magufuli kutaka badilisha katiba aongeze muda wa kutawala. Ila leo anataka mtu aliyeongoza miaka 20 aendelee. Sababu? Ana pesa. So wao wataokota okota pesa toka kwake.

Chadema inapoteza uaminifu. Kama Lissu aliteuliwa agombee Urais 2020 na sasa wanasema hafai kumbe walikuwa wanaingiza watanzania chaka.so hata sasa wanaposema Mbowe anafaa tusiwaamini. Sababu ni uongo ule ule kama wa mwaka 2020.

Mbowe amejenga urafiki mkubwa na wa kupendeza na wana CCM ni jambo zuri sana. Na wanampenda. Wanatamani aendelee kuongoza CDM. Hawataki msikia Lissu sababu Lissu atakiua Chama cha CDM. Wanaonesha namna gani wana upendo na CDM.

Akina Yericko vijana wadogo wameshindwa kuthibiti njaa na uchawa wanashinda kila siku kumponda Lissu wa chama chao hicho hicho sababu kwake hawapati kitu. Angalau Mbowe anawafanya mkono uende kinywani. Ukimwona Mbwa juu ya Mti Ujue kapandishwa.
Ni sisi CHADEMA asilia ndio tunataka Mbowe abaki, na CCM wanafikiri Mbowe akibaki ndio mambo yao yatabaki kuwa sawa lakini ukweli ni kwamba Lissu ataiharibu CDM mara moja.
 
Kwa kweli nimefarijika sana. Mbowe anapendwa sana. Anapendwa hadi na wana CCM. Akina Mshamba na tilalila wanampigia upatu Mbowe abaki Mwenyekiti. Hawamtaki Lissu.

Hii inaonesha udugu ambao umeanza wa CCM na CDM kwa namna ambayo ni nzuri kabisa. Yaani ukute siku Simba wanataka Kocha wa Yanga asiondolewe abaki. Unagundua mpira wetu umekua sana.

Kwa sasa Lissu anapigwa vita sana na CCM hawataki awe Mwenyekiti wa CDM. WANASEMA MWAMBA ANATOSHA. MIAKA KADHAA ILIYOPITA WALIKUWA WANASEMA AONDOKE AMEKAA MUDA MREFU SANA. CDM wakasema haondoki. Lakini naona maridhiano kwa sasa yamefana.

Wanasema wamegundua anafaa so aendelee kuwa Mwenyekiti wa CDM. lakini wanapingana na kundi la wana CDM ambao wanataka mabadiliko wanasema Mwamba sasa mwachie Mwamba mwingine naye atuongoze. Hapo kameibuka kakundi ka wenye njaa Yericko Nyerere huyu sasa anakuja na sera ya Mwamba abaki maana anafaidika na mabaki mabaki yanayobaki mezani au chakula kinachodondoka miguuni pa Mbowe.

Huyu Yericko alikuwa akipinga Magufuli kutaka badilisha katiba aongeze muda wa kutawala. Ila leo anataka mtu aliyeongoza miaka 20 aendelee. Sababu? Ana pesa. So wao wataokota okota pesa toka kwake.

Chadema inapoteza uaminifu. Kama Lissu aliteuliwa agombee Urais 2020 na sasa wanasema hafai kumbe walikuwa wanaingiza watanzania chaka.so hata sasa wanaposema Mbowe anafaa tusiwaamini. Sababu ni uongo ule ule kama wa mwaka 2020.

Mbowe amejenga urafiki mkubwa na wa kupendeza na wana CCM ni jambo zuri sana. Na wanampenda. Wanatamani aendelee kuongoza CDM. Hawataki msikia Lissu sababu Lissu atakiua Chama cha CDM. Wanaonesha namna gani wana upendo na CDM.

Akina Yericko vijana wadogo wameshindwa kuthibiti njaa na uchawa wanashinda kila siku kumponda Lissu wa chama chao hicho hicho sababu kwake hawapati kitu. Angalau Mbowe anawafanya mkono uende kinywani. Ukimwona Mbwa juu ya Mti Ujue kapandishwa.
Ukombombozi waja

Ilianza TLS wakamfanyia figisu mwambukusi hatimaye akachukua kwa kishindo

Sasa ni zamu ya TAL naye anaenda kuchukua


Combination ya BKM na TAL
Hapo kauli mbinu ya no reform no election itaeleweka
 
Ni sisi CHADEMA asilia ndio tunataka Mbowe abaki, na CCM wanafikiri Mbowe akibaki ndio mambo yao yatabaki kuwa sawa lakini ukweli ni kwamba Lissu ataiharibu CDM mara moja.
Dogo Mbona mbowe ameisha paharibu haribu cdm tayari
 
Hawamtaki lissu kwa sababu ni mwiba kwao ni kichwa ngumu mwenye misimamo isiyotetereka. Wanajua vema watapelekwa mchakachaka
 
Lissu ni Mwiba kwa CCM!
Kimsingi siyo kwamba wanampenda Mbowe! Tangu zamani hawakumpenda isipokuwa mrithi wa Kiti ni Mbaya wao zaidi.
Kama angerithi mwingine asiye Lissu!
Mfano angegombea Kigaila,Mnyika,nk
wasingepika kelele kutamani Mbowe aendelee!
Haahaa mpaka watu wanaomba msaada tiss, lissu balaa
 
Ni sisi CHADEMA asilia ndio tunataka Mbowe abaki, na CCM wanafikiri Mbowe akibaki ndio mambo yao yatabaki kuwa sawa lakini ukweli ni kwamba Lissu ataiharibu CDM mara moja.
Haahaa mbowe kashaiharibu, akibaki atakamilisha tu plan
 
Kwani na wewe ni mwana Chadema? Wana Chadema ndo wanahitaji mabadiliko ya kiuongozi lakini wewe unawaponda kuwa " watu wenye akili timamu" hawawezi kumchagua TAL. Wewe ndo standard International unit ( SI unit) ya kutambua watu wenye utimamu wa akili??
Bora umenisaidia mkuu.
 
Itakuwa usaliti mkubwa dhidi ya wanachadema na wafuasi wao iwapo wajumbe wataamua kumchagua mgombea ambaye anaungwa mkono waziwazi na wapinzani wao kisiasa.Wajumbe sikilizeni na heshimuni matakwa ya wanaokitakia mema chama mkimtanguliza Mungu mbele
 
Back
Top Bottom