Asilimia kubwa ya wanawake siku hizi wana hips na wowowo za kutisha, inasababishwa na nini?

Asilimia kubwa ya wanawake siku hizi wana hips na wowowo za kutisha, inasababishwa na nini?

luangalila

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2014
Posts
6,346
Reaction score
6,928
1644216896602.png


Kwa utafiti tu kutazama ktk pirika pirika na mihangaiko ya hapa na pale hapa jijini Dar es Salaam. Katika maeneo tofauti tofauti kwenye mkusanyiko mfano katika vituo vya mwendokasi, ferry Kigamboni, nimegundua wanawake wa siku hizi wengi sanaaa wana hips za kuvutia, rangi za ngozi wengi ni weupe, na wengi Wana ma wowoo makubwa sanaa.

Nimegundua upungufu wa wanawake wembamba kwa kiasi kikubwa sanaa, kiasi ukimuona basi lzm kama ni mwanaume mtoa macho utashangaa ni wapi huyu katokea?

Haya mabadiliko ya kimaumbile na muonekano kwa hawa wanawake wa Dar es Salaam unachangiwa na mabadiliko ya kiafya au kiuchumi?

Note: Uzi huu haupo katika mtazamo wa kiuzinzi wala matamanio ya kutazama wanawake na kuwataman bali mtafiti alijikita kutazama predefined indicators 3

Makalio makubwa
Wengi Wana hips
Wengi ni weupe
 
Kwa utafiti tu kutazama ktk pirika pirika na mihangaiko ya hapa na pale hapa jijin Dar es salaam

Katika maeneo tofauti tofauti genye mkusanyiko mfano katika vituo vya mwendokasi, ferry kigamboni, nimegundua wanawake wa siku izi wengi sanaaa Wana hips za kuvutia, rangi za ngozi wengi ni weupe, na wengi Wana ma wowoo makubwa sanaa

Nimegundua upungufu wa wanawake wembamba kwa kiasi kikubwa sanaa, kiasi ukimuona basi lzm kama.ni mwanaume mtoa macho utashangaa ni wapi huyu katokea ?

Haya mabadiliko ya kimaumbile na muonekano kwa hawa wanawake wa Dar es Salaam unachangiwa na mabadiliko ya kiafya au kiuchumi ?

Note Uzi huu haupo katika mtazamo wa kiuzinzi wala matamanio ya kutazama wanawake na kuwataman bali mtafiti alijikita kutazama predefined indicators 3

Makalio makubwa
Wengi Wana hips
Wengi ni weupe
Mavazi tu. Siku hizi wanavaa mavazi ya kubana sana yanayozionyesha na imekuwa kawaida kwa jamii.

Zamani Mdada akivaa namna hii anaitwa changudoa. Kwa hio ni sababu tu ya Mavazi Wanayochagua ni ya kuhakikisha assets zao zinaonekana

Ni mfumo wa kizungu, ila sasa Africa imekuwa kitu cha kawaida. Ni sawa tu pia kwamba twende na wakati.

sketch-1644209657098.png

 
Kwa utafiti tu kutazama ktk pirika pirika na mihangaiko ya hapa na pale hapa jijin Dar es salaam
sketch-1644209876508.png

Katika maeneo tofauti tofauti genye mkusanyiko mfano katika vituo vya mwendokasi, ferry kigamboni, nimegundua wanawake wa siku izi wengi sanaaa Wana hips za kuvutia, rangi za ngozi wengi ni weupe, na wengi Wana ma wowoo makubwa sanaa

Nimegundua upungufu wa wanawake wembamba kwa kiasi kikubwa sanaa, kiasi ukimuona basi lzm kama.ni mwanaume mtoa macho utashangaa ni wapi huyu katokea ?

Haya mabadiliko ya kimaumbile na muonekano kwa hawa wanawake wa Dar es Salaam unachangiwa na mabadiliko ya kiafya au kiuchumi ?

Note Uzi huu haupo katika mtazamo wa kiuzinzi wala matamanio ya kutazama wanawake na kuwataman bali mtafiti alijikita kutazama predefined indicators 3

Makalio makubwa
Wengi Wana hips
Wengi ni weupe
sketch-1644209876508.png
 
Mavazi tu. Siku hizi wanavaa mavazi ya kubana sana yanayozionyesha na imekuwa kawaida kwa jamii. Zamani Mdada akivaa namna hii anaitwa changudoa. Kwa hio ni sababu tu ya Mavazi Wanayochagua ni ya KUHAKIKISHA ASSETS ZAO ZINAONEKANA. Ni mfumo wa kizungu, ila sasa Africa imekuwa kitu cha kawaida. Ni sawa tu pia kwamba twende na wakati.View attachment 2110853
Huyu demu akiwa smart hapa mjini anaweza kufanikiwa kirahisi kuliko dada yako mwenye degree 2 bila shepu 😅
 
Mavazi tu. Siku hizi wanavaa mavazi ya kubana sana yanayozionyesha na imekuwa kawaida kwa jamii. Zamani Mdada akivaa namna hii anaitwa changudoa. Kwa hio ni sababu tu ya Mavazi Wanayochagua ni ya KUHAKIKISHA ASSETS ZAO ZINAONEKANA. Ni mfumo wa kizungu, ila sasa Africa imekuwa kitu cha kawaida. Ni sawa tu pia kwamba twende na wakati.View attachment 2110853
Mavazi tu!!!!?[emoji848]..
Vipi kuhusu..
Kutengeneza shape(kwa mazoezi,mikanda,surgeries au supplements)...


Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
Huyu demu akiwa smart hapa mjini anaweza kufanikiwa kirahisi kuliko dada yako mwenye degree 2 bila shepu 😅
Kuna mmoja nilikuwa nafanya naw kazi ana hips yaan natural.marehemu masogange anaomba sub, sasa siku moja nilienda nae pale karume kikazi, aisee yaan nilipata usumbufu as if mm ndio yule demu yaan akawa ilipate confidence ya kazi lzm na mm niwe karibu yake aisee bodaboda wa karume pale walikuwa wanatoa macho kama konokono


Yaan ilikuwa balaaa kaka
 
Back
Top Bottom