Asilimia kubwa ya wanawake siku hizi wana hips na wowowo za kutisha, inasababishwa na nini?

Asilimia kubwa ya wanawake siku hizi wana hips na wowowo za kutisha, inasababishwa na nini?

Wengine wanavaa vigodoro
Aisee wengi siku izi ni natura wanafanya gym sanaa,

Mm juzi pale posta mwendokasi ktk mstaari ule mbele yangu akisimama mwanamke huyo aisee lile kalio tepetepee kubwa balaa yaan akitembea unamuona linavyo cheza chezaa alafu siku izi Wana zile suruali zao mabwanga kitambaa chepesiiii

Aisee ile misuruali sasa wale wenye misambwanda ndio hupenda kuvaa
 
Aisee wengi siku izi ni natura wanafanya gym sanaa,
Mm juzi pale posts mwendokasi ktk mstaari ule mbele yangu akisimama mwanamke huyo aisee lile kalio tepetepee kubwa balaa yaan akitembea unamuona linavyo cheza chezaa alafu siku izi Wana zile suruali zao mabwanga kitambaa chepesiiii

Aisee ile misuruali sasa wale wenye misambwanda ndio hupenda kuvaa
Unanikumbusha mwenge kabla hawajahamisha wamachinga ukipita pale jioni jaman hilo balaa lake [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
 
Achana na hao watu wazima wa daslam huku nyanda za juu kusini kuna hivi vitoto vya 2000's aisee vina mikalio ya haja.

Kuna wengine ni watoto kabisa wa miaka 11 ama 12 lakini keshaanza kubinuka nyuma
Mkuu siunajua nyundo 30 ukicheza rafu kwa hivyo vitoto kwa hyo kuwa makini 😁
 
Kwa utafiti tu kutazama ktk pirika pirika na mihangaiko ya hapa na pale hapa jijini Dar es salaam.

Katika maeneo tofauti tofauti genye mkusanyiko mfano katika vituo vya mwendokasi, ferry Kigamboni, nimegundua wanawake wa siku hizi wengi sanaaa wana hips za kuvutia, rangi za ngozi wengi ni weupe, na wengi Wana ma wowoo makubwa sanaa.

Nimegundua upungufu wa wanawake wembamba kwa kiasi kikubwa sanaa, kiasi ukimuona basi lzm kama ni mwanaume mtoa macho utashangaa ni wapi huyu katokea?

Haya mabadiliko ya kimaumbile na muonekano kwa hawa wanawake wa Dar es Salaam unachangiwa na mabadiliko ya kiafya au kiuchumi?

Note: Uzi huu haupo katika mtazamo wa kiuzinzi wala matamanio ya kutazama wanawake na kuwataman bali mtafiti alijikita kutazama predefined indicators 3

Makalio makubwa
Wengi Wana hips
Wengi ni weupe
Ni Kwa sababu zamani wamama hawakuvaa mavazi ya aibu kuonyesha maungo yao lakini miaka yote maumbile ya wanawake ni hayo hayo, kinacho tokea sasa hivi kilicho kigeni ni vitambi walivyo navyo baadhi Kwa sababu ya vyakula wanavyo tumia
 
Mavazi tu. Siku hizi wanavaa mavazi ya kubana sana yanayozionyesha na imekuwa kawaida kwa jamii. Zamani Mdada akivaa namna hii anaitwa changudoa. Kwa hio ni sababu tu ya Mavazi Wanayochagua ni ya KUHAKIKISHA ASSETS ZAO ZINAONEKANA. Ni mfumo wa kizungu, ila sasa Africa imekuwa kitu cha kawaida. Ni sawa tu pia kwamba twende na wakati.View attachment 2110853

Sie wa vijora pambe hapo hatuhusiki[emoji3]
 
Kuna mmoja nilikuwa nafanya naw kazi ana hips yaan natural.marehemu masogange anaomba sub, sasa siku moja nilienda nae pale karume kikazi, aisee yaan nilipata usumbufu as if mm ndio yule demu yaan akawa ilipate confidence ya kazi lzm na mm niwe karibu yake aisee bodaboda wa karume pale walikuwa wanatoa macho kama konokono


Yaan ilikuwa balaaa kaka
Ss kumbe upo nao karibu kikazi halafu unakuja huku kutuuliza kwanin usimuulize huyo unaefanya nae kazi chanzo cha makalio yake nin nin
 
Utafiti wako uko saawa. Na zinaanza ktk umri wa chini kabisa. Au ni human revolution?
Hiyo ni natural selection...wanaume mnachagua traits za hivyo na kuwazalisha inafanya watoto wengi wanaozaliwa kuwa na traits hizo....wembamba na weusi hawazalishwi sana maana hawatamaniwi hence unakuta miaka ikienda mingi watu wenye hizo character wanapotea
 
Huu uzi ungefaa kila baada ya comment ya maneno, inafuata picha ya kukazia comment...
 
View attachment 2110983

Kwa utafiti tu kutazama ktk pirika pirika na mihangaiko ya hapa na pale hapa jijini Dar es Salaam. Katika maeneo tofauti tofauti kwenye mkusanyiko mfano katika vituo vya mwendokasi, ferry Kigamboni, nimegundua wanawake wa siku hizi wengi sanaaa wana hips za kuvutia, rangi za ngozi wengi ni weupe, na wengi Wana ma wowoo makubwa sanaa.

Nimegundua upungufu wa wanawake wembamba kwa kiasi kikubwa sanaa, kiasi ukimuona basi lzm kama ni mwanaume mtoa macho utashangaa ni wapi huyu katokea?

Haya mabadiliko ya kimaumbile na muonekano kwa hawa wanawake wa Dar es Salaam unachangiwa na mabadiliko ya kiafya au kiuchumi?

Note: Uzi huu haupo katika mtazamo wa kiuzinzi wala matamanio ya kutazama wanawake na kuwataman bali mtafiti alijikita kutazama predefined indicators 3

Makalio makubwa
Wengi Wana hips
Wengi ni weupe
Wapo wanaobumbwa toka utotoni, wapo wanaofanya mazoezi na kutumia vidonge pia Wa wanaotoa Express yourself kulegeza mandhuri ili inepenepe
 
KWANI MKUU NG'OMBE WAKINENEPA ENEO UNALOKAA KUNA SHIDA AU NI NEEMA???
 
Back
Top Bottom