Asilimia kubwa ya Wasanii Kenya wako na Wananchi, hii ni Kinyume na wasanii wa nchi ya wakujikomba(Tanzania)

Asilimia kubwa ya Wasanii Kenya wako na Wananchi, hii ni Kinyume na wasanii wa nchi ya wakujikomba(Tanzania)

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Bongo sidhani kama kuna msanii au wanasanii wanao weza kusimama na Wananchi, hawa ni ndio watu wanaingoza kwa uchawa nchi hii na still bado huwa tuna wapapatikia mbaya mno.kiwango cha uchawa wa wasanii hata raia wakawaida hawakifikii.

Mimi nisha acha kushabikia aina yoyote ya msanii Chawa hapa Tanzania, hii nilianza nayo enzi za Jiwe ambako ndio uchwa ulianziaga.Siwezu shabikia wajinga mimi.

Wakenya wasanii wengi naona wako na Raia kwenye mitaa wakiandamana wanafahamu wateja wao ni raia na sio Serikali. Tanzania wasanii huwa wako kwa ajili yakuwafurahisha watawala ni full kujikomba kwa watala.

Angalia msanii kama Harmonise Daily ni nyimbo za kusifu na kuabudu na still kuna wajinga Taifa hili bado wanampapatikia na mumuona wa maana sana.

Na sisi wajinga ndio tunawaoa nguvu sana hawa wasanii Chawa.
 
Wakenya wasanii wengi naona wako na Raia kwenye mitaa wakiandamana wanafahamu wateja wao ni raia na sio Serikali. Tanzania wasanii huwa wako kwa ajili yakuwafurahisha watawala ni full kujikomba kwa watala.
Kwa hio yale Maduka yaliyochomwa pale Nairobi Kaligraph Jones, Otle Brown na Erick Omond bila kusahau Mejja na King Kaka alishiriki front line?

Yale Maduka yaliyoibiwa pasinashaka kabisa Wahu na Fena Gitu walikua mbele wakipewa support na Jua Kali, Nonini, Nameless, bila kumsahau alieimba Naogopa Mungu Pekee
 
Njaa kali na ujuha.

Ni watanzania wachache sana wa kada yoyote wanaoweza kudai kuwa wana akili huru.

Hiyo sanaa ya muziki(bongo fleva) yenyewe ni kisingizio tu cha kuandika, kuimba, kughani na kucheza upumbavu.(sad stupidities)
 
Back
Top Bottom