Asilimia kubwa ya Watanzania ni wapumbavu

Asilimia kubwa ya Watanzania ni wapumbavu

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Utasikia wanasifia fisadi aliyeiba mali za umma kuwa mjanja na ametoboa.

Wanadanganywa na maigizo ya wanasiasa ambayo hayawezi kuwasaidia. Eti Makonda nyota imewaka.

Watoto wao wanavuta bangi na madawa ya kulevya na kuwa mashoga kisa tu kuiga maisha ya Usa.

Pumbavu kabisa.
 
Utasikia wanasifia fisadi aliyeiba mali za umma kuwa mjanja na ametoboa.

Wanadanganywa na maigizo ya wanasiasa ambayo hayawezi kuwasaidia .Eti Makonda nyota imewaka.

Watoto wao wanavuta bangi na kuwa mashoga kisa tu kuiga maisha ya Usa.

Pumbavu kabisa.
Watz sio wajinga ila hilo lipo kimkakati zaidi ili ccm iendelee kutawala.

Unamlipaje mbunge 16M kwa mwezi halafu mwalimu 400K kwa mwezi halafu watz wapo kimya tuu. Wamevikwa uzezeta na ccm.

Ubovu wa elimu wanayopewa watz ndio chanzo cha matatizo yote.
 
Hapo sio watz ni wapumbavu Bali mtazamo wako kuhusu Makonda!!

Huyo makonda asilimia kubwa ya tuhuma mnazompa ni sehemu ya kazi aliyoelekezwa afanye awamu ile Kuna makosa binafsi madogo kuliko makubwa mnayodhani!

Kuutumikia mfumo sio mapenzi ya mtu ni matakwa ya mfumo!

JPM alikuja kuyafilisi majizi na mafisadi ndicho alichofanya na watendaji wake na walipokua wanayatetea majizi walikipata, ndio ulikua mpangokazi wa awamu yake!!sio utashi wa mtu! Aliwekwa pale kwa kazi hiyo ambayo wewe unamtuhumu!

Tii sheria bila shuruti hutokutwa na mabaya!

Over
 
Utasikia wanasifia fisadi aliyeiba mali za umma kuwa mjanja na ametoboa.

Wanadanganywa na maigizo ya wanasiasa ambayo hayawezi kuwasaidia .Eti Makonda nyota imewaka.

Watoto wao wanavuta bangi na kuwa mashoga kisa tu kuiga maisha ya Usa.

Pumbavu kabisa.
Kabisa mtu yeyote anayemkubali Sabaya na Makonda ni zuzu.
 
Hapo sio watz ni wapumbavu Bali mtazamo wako kuhusu makonda!!

Huyo makonda asilimia kubwa ya tuhuma mnazompa ni sehem ya kazi aliyoelekezwa afanye awamu ile Kuna makosa binafsi madogo kuliko makubwa mnayodhani!

Kuutumikia mfumo sio mapenzi ya mtu ni matakwa ya mfumo!!

Jpm alikuja kuyafilisi majizi na mafisadi ndicho alichofanya na watendaji wake na walipokua wanayatetea majizi walikipata,huo ndio ulikua mpangokazi wa awamu yake!!sio utashi wa mtu!aliwekwa pale kwa kazi hiyo ambayo wewe unamtuhum!

Tii sheria bila shuruti hutokutwa na mabaya!

Over
Na Sasa ana kazigani?
 
Makonda si mmoja wa hayo majizi na mafisadi?!
Pia ni mzalilishaji mkubwa
Alimpiga hadharani Mzee Warioba
Inashangaza aliye mdanganya Mama Maria Nyerere kumpa kifimbo Cha hayati
Kwatabia yake hicho kifimbo kitakuja kuipiga family ya Nyerere KARMA

MUDA UTAJIBI Kumbukeni Idd Amini/Obote Uganda kilichotokea
 
Hapo sio watz ni wapumbavu Bali mtazamo wako kuhusu makonda!!

Huyo makonda asilimia kubwa ya tuhuma mnazompa ni sehem ya kazi aliyoelekezwa afanye awamu ile Kuna makosa binafsi madogo kuliko makubwa mnayodhani!

Kuutumikia mfumo sio mapenzi ya mtu ni matakwa ya mfumo!!

Jpm alikuja kuyafilisi majizi na mafisadi ndicho alichofanya na watendaji wake na walipokua wanayatetea majizi walikipata,huo ndio ulikua mpangokazi wa awamu yake!!sio utashi wa mtu!aliwekwa pale kwa kazi hiyo ambayo wewe unamtuhum!

Tii sheria bila shuruti hutokutwa na mabaya!

Over
Chukua maua yako mkuu.
 
Utasikia wanasifia fisadi aliyeiba mali za umma kuwa mjanja na ametoboa.

Wanadanganywa na maigizo ya wanasiasa ambayo hayawezi kuwasaidia .Eti Makonda nyota imewaka.

Watoto wao wanavuta bangi na madawa ya kulevya na kuwa mashoga kisa tu kuiga maisha ya Usa.

Pumbavu kabisa.
Sijui kama ni upumbavu ila ndio Hali ilivyo.

Nchi hii mwizi ndio mjanja na kiukweli utachekwa sana kama ulikuwa muadilifu na huko Ofisini utatengwa au kuwekewa mizengwe.

Ndio maana pamoja na wizi watu hawawezi kuandamana wanakwambia tuu kwamba kwani ingekuwa wewe ungeziacha? Acha wivu 😂🤣
 
Sijui kama ni upumbavu ila ndio Hali ilivyo.

Nchi hii mwizi ndio mjanja na kiukweli utachekwa sana kama ulikuwa muadilifu na huko Ofisini utatengwa au kuwekewa mizengwe.

Ndio maana pamoja na wizi watu hawawezi kuandamana wanakwambia tuu kwamba kwani ingekuwa wewe ungeziacha? Acha wivu [emoji23][emoji1787]
Mwizi anaonekana shujaa [emoji1]

Ova
 
Utasikia wanasifia fisadi aliyeiba mali za umma kuwa mjanja na ametoboa.

Wanadanganywa na maigizo ya wanasiasa ambayo hayawezi kuwasaidia .Eti Makonda nyota imewaka.

Watoto wao wanavuta bangi na madawa ya kulevya na kuwa mashoga kisa tu kuiga maisha ya Usa.

Pumbavu kabisa.
Na wewe upo kwenye hizo 98 au kwenye 2 zilizobaki??
 
Utasikia wanasifia fisadi aliyeiba mali za umma kuwa mjanja na ametoboa.

Wanadanganywa na maigizo ya wanasiasa ambayo hayawezi kuwasaidia .Eti Makonda nyota imewaka.

Watoto wao wanavuta bangi na madawa ya kulevya na kuwa mashoga kisa tu kuiga maisha ya Usa.

Pumbavu kabisa.
Umechanganyikiwa sasa unatukana hovyo kada mwandamizi wa Lumumba!
Pigo zaka ni sawa na za Cde Kamanda Asiyechoka
 
Back
Top Bottom