FaizaFoxy, ChoiceVariable, Lucas mwashambwa, Crimea, digba sowey, Etwege na Nigrastratatract nerve ni chief zuzus na wanajijua vizuri.Hapa mtakorofishana na FaizaFoxy ChoiceVariable Lucas mwashambwa Crimea digba sowey Etwege Nigrastratatract nerve
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
FaizaFoxy, ChoiceVariable, Lucas mwashambwa, Crimea, digba sowey, Etwege na Nigrastratatract nerve ni chief zuzus na wanajijua vizuri.Hapa mtakorofishana na FaizaFoxy ChoiceVariable Lucas mwashambwa Crimea digba sowey Etwege Nigrastratatract nerve
Na mpumbavu mwingine badala ya kufanya anakuja JF analalamika baada ya hapo anakunywa kangala analala!Utasikia wanasifia fisadi aliyeiba mali za umma kuwa mjanja na ametoboa.
Wanadanganywa na maigizo ya wanasiasa ambayo hayawezi kuwasaidia. Eti Makonda nyota imewaka.
Watoto wao wanavuta bangi na madawa ya kulevya na kuwa mashoga kisa tu kuiga maisha ya Usa.
Pumbavu kabisa.
Hapa mtakorofishana na FaizaFoxy ChoiceVariable Lucas mwashambwa Crimea digba sowey Etwege Nigrastratatract nervehu
SwadaktaFaizaFoxy, ChoiceVariable, Lucas mwashambwa, Crimea, digba sowey, Etwege na Nigrastratatract nerve ni chief zuzus na wanajijua vizuri.
Kwa Makonda siyo kosa maana wanaona angalau anazungumzia shida zaoUtasikia wanasifia fisadi aliyeiba mali za umma kuwa mjanja na ametoboa.
Wanadanganywa na maigizo ya wanasiasa ambayo hayawezi kuwasaidia. Eti Makonda nyota imewaka.
Watoto wao wanavuta bangi na madawa ya kulevya na kuwa mashoga kisa tu kuiga maisha ya Usa.
Pumbavu kabisa.
Mimi nilikuwa nqmkubali mwamba Jiwe tu!FaizaFoxy, ChoiceVariable, Lucas mwashambwa, Crimea, digba sowey, Etwege na Nigrastratatract nerve ni chief zuzus na wanajijua vizuri.
Sasa kwanini ukubali elimu mbovu?Watz sio wajinga ila hilo lipo kimkakati zaidi ili ccm iendelee kutawala.
Unamlipaje mbunge 16M kwa mwezi halafu mwalimu 400K kwa mwezi halafu watz wapo kimya tuu. Wamevikwa uzezeta na ccm.
Ubovu wa elimu wanayopewa watz ndio chanzo cha matatizo yote.
Utasikia wanasifia fisadi aliyeiba mali za umma kuwa mjanja na ametoboa.
Wanadanganywa na maigizo ya wanasiasa ambayo hayawezi kuwasaidia. Eti Makonda nyota imewaka.
Watoto wao wanavuta bangi na madawa ya kulevya na kuwa mashoga kisa tu kuiga maisha ya Usa.
Pumbavu kabisa.
Umeona mbali sana Mkuu. Unfortunately pamoja na hiyo elimu, wenye division 1 wanaendesha bodaboda, wa div 0 anapeta. Niambie, ni waziri gani mwenye Div. 1 ya form 4 au 6 hapa nchini. Hao kina Bashit wanabebana na Bashits wenzao.Watz sio wajinga ila hilo lipo kimkakati zaidi ili ccm iendelee kutawala.
Unamlipaje mbunge 16M kwa mwezi halafu mwalimu 400K kwa mwezi halafu watz wapo kimya tuu. Wamevikwa uzezeta na ccm.
Ubovu wa elimu wanayopewa watz ndio chanzo cha matatizo yote.
Ni mfumo wao huo wa kubebana huko ccm kuna mazero na ma four kama yote.Umeona mbali sana Mkuu. Unfortunately pamoja na hiyo elimu, wenye division 1 wanaendesha bodaboda, wa div 0 anapeta. Niambie, ni waziri gani mwenye Div. 1 ya form 4 au 6 hapa nchini. Hao kina Bashit wanabebana na Bashits wenzao.
Kama ulivyoonesha upumbabu kuandika bila adabu na heshimaUtasikia wanasifia fisadi aliyeiba mali za umma kuwa mjanja na ametoboa.
Wanadanganywa na maigizo ya wanasiasa ambayo hayawezi kuwasaidia. Eti Makonda nyota imewaka.
Watoto wao wanavuta bangi na madawa ya kulevya na kuwa mashoga kisa tu kuiga maisha ya Usa.
Pumbavu kabisa.
Hiyo ndio tanzania, wengi fuata upepo na huruma za kipuuzi mbele ya maslahi ya taifa na wengi. Rejea ishu ya sabaya kipindi anafanya maovu wengi walikuwa wakichukizwa na kulaani ila baada ya kukamatwa na kushtakiwa ikaibuka huruma eti bora asamehewe na wengine baada ya baadhi ya kesi kuisha wanadiriki kusema Mungu kamtetea, yani Tz tuna matabia ya ajabu ajabu mno. Ni kero.Sijui kama ni upumbavu ila ndio Hali ilivyo.
Nchi hii mwizi ndio mjanja na kiukweli utachekwa sana kama ulikuwa muadilifu na huko Ofisini utatengwa au kuwekewa mizengwe.
Ndio maana pamoja na wizi watu hawawezi kuandamana wanakwambia tuu kwamba kwani ingekuwa wewe ungeziacha? Acha wivu 😂🤣
Ni kweli na hili limedhihirika kwa matokeo ya miaka ya karibuni kuna wanafunzi wanamaliza kidato cha nne hawajui kusoma wala kujielezea ... Mashuleni kumeingizwa misukumo ya kisiasa.
Mtaji wa CCM ni ujinga na umaskini na wanajua Mtanzania akieliemika huo utakuwa mwisho wa CCM.
Elimu inayotolewa inamwaminisha mtoto wa kike hata asipofauli ataenda jiuza (dada poa), huku wa kiume anaamini kodokodo na betting ni ujasiriamili na serikali wala haikemei mambo hayo.
Elimu inayotolewa haimkomboi Mtanzania bali ni msaada mkubwa kwa CCM kuendelea kubaki madarakani.
Utasikia wanasifia fisadi aliyeiba mali za umma kuwa mjanja na ametoboa.
Wanadanganywa na maigizo ya wanasiasa ambayo hayawezi kuwasaidia. Eti Makonda nyota imewaka.
Watoto wao wanavuta bangi na madawa ya kulevya na kuwa mashoga kisa tu kuiga maisha ya Usa.
Pumbavu kabisa.
Ndiyo maana CCM watoto wao karibu wote wapo njeUtasikia wanasifia fisadi aliyeiba mali za umma kuwa mjanja na ametoboa.
Wanadanganywa na maigizo ya wanasiasa ambayo hayawezi kuwasaidia. Eti Makonda nyota imewaka.
Watoto wao wanavuta bangi na madawa ya kulevya na kuwa mashoga kisa tu kuiga maisha ya Usa.
Pumbavu kabisa.