Asilimia kubwa ya Watanzania ni wapumbavu

Asilimia kubwa ya Watanzania ni wapumbavu

Ujue tatizo linatokana na nini; accountability Kwa Mwanasia hapa kwetu ina mchakato mgumu sana.

Yaani kum-hold account muhusika wa rushwa hasa mwanasiasa kuna ugumu kwasababu wakum-hold ni mpiga kura.

Mfano waziri akipata kashifa ya rushwa anaondolewa uwaziri lkn anabaki na Ubunge.

Msimu wa uchaguzi ukifika inabidi wapiga kura wamuadhibu huyu Mbunge kwa kutomchagua.

Matokeo yake, naye anajipanga anatafta hela za kutosha, unakuta mpiga kura anapewa laki mpaka tano.

Anapewa laki tatu kwanza anaambiwa ukishaona tumeshinda njoo uchukue laki 2 yako.

What do you expect? Mm Nina njaa, mwanangu anahitaji chakula, Sina pakukimbilia, ukiniambia huyu Mbunge nisimchague ni mla rushwa sitakuelewa!

Hivyo, unagundua kuwa Umasikini ndo chanzo Cha yote haya!

Dhana ya uwajibikaji (Accountability) Kwa Afrika ni ngumu sana braza kutokana na muundo wetu wa siasa za kimapokeo!
Km ni hivyo kwanini usichukue hela na kura usimpigie? Kwani kwenye kupiga kura wanakuwa wamekusimamia pembeni kuhakikisha unawapigia kura?

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Utawasikia mara makonda tunamwomba aoneshe vyeti vyake huwa najiuliza vyeti vyake vinawasaidia nini nyie wajinga, mara azory mara sijui taka taka gani wanasahau watoto wao walivyo mashoga, wavuta bangi, vichaa na umaskini uliotukuka.
Basi na wewe tukupe kazi bot bila kuomba vyeti vyako au unasemaje?

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Unamlipaje mbunge 16M kwa mwezi halafu mwalimu 400K kwa mwezi halafu watz wapo kimya tuu. Wamevikwa uzezeta na ccm.
That's a fact

Mkurugenzi wa ATC akutwa na hatia ya wizi wa bilioni 17. Hukumu jela miaka 4 au faini milioni 12.

Na watu tuko kimya. Majaji mazezeta na raia mazezeta na wawakilishi wetu mazezeta.
 
Upo sahihi kabisa tena nahisi ni zaidi ya upumbavu japo umeweka hoja nyepesi lakini haiondoi maana halisi
 
Utasikia wanasifia fisadi aliyeiba mali za umma kuwa mjanja na ametoboa.

Wanadanganywa na maigizo ya wanasiasa ambayo hayawezi kuwasaidia. Eti Makonda nyota imewaka.

Watoto wao wanavuta bangi na madawa ya kulevya na kuwa mashoga kisa tu kuiga maisha ya Usa.

Pumbavu kabisa.
200% correct!
 
Kwa upande wangu uko sahihi kwa asilimia 50 tu.


Kwamba mtoto wa miaka 15 kutokujua kusoma na kuandika serikali/CCM inahusika, sio kweli. Huyo mtoto huo ubongo umeshikwa na hiyo serikali/CCM kwa lazima na kuzuia hata juhudi zake binafsi na za wazazi na walezi wake kuhakikisha anajua angalau kusoma na kuandika?

Siasa zimeingizwa mashuleni na kuzuia waalimu kutenda wajibu wao Kama inavyostahiki? Kwamba serikali/CCM imepitisha amri ya kuzuia waalimu kuhakikisha wanafunzi wao wanajua japo kusoma na kuandika?

Serikali/CCM kutumia wajinga Kama mtaji wao kisiasa ndio inawapa sababu wanafunzi na wazazi kutokuwekeza kwenye elimu? Kwamba wamezuiwa kuhakikisha kwa gharama yoyote ile elimu inayotolewa mashuleni kwa watoto ni sahihi na hitajika?

Hiyo elimu inayotolewa kumuaminisha mtoto wa Kike kwamba akifeli anaweza kwenda kuuza mwili wake iko kwenye mtaala huu huu? Kwamba mitaala ya Tanzania inaelekeza pia mbinu za kudanga?

Mtoto wa kiume anafundishwa wapi betting Kama sio mtaani kwenye jamii yake alipotokea? Shule za Tanzania ziko na ofisi za betting siku hizi?

Kwamba serikali ilitakiwa ikemee kuhusu watoto kushiriki betting huku mitaani, hizo jamii ambazo ndio wazazi na walezi wa hao watoto zinafanya kazi gani?

Mbona elimu hiyo hiyo mbovu inawakomboa watoto wengine na wanafanikiwa katika malengo na mikakati yao ya kimaisha?


Tutabaki tunailaumu serikali/CCM huku tukiukwepa Ukweli kwamba hata SISI wananchi hatuwajibiki ipasavyo?

Sisi jamii tumekubali kuruhusu kazi ya ualimu kuwa ni sehemu ya biashara badala ya kuwa wito Kama ambavyo ilipaswa halafu lawama tunapeleka serikalini/CCM?

Sisi jamii ndio wanunuzi wa hao watoto wa Kike wanapokua wanadanga ama ni serikali/CCM?

Wamiliki wa hizo betting offices ni sisi wenyewe huku mitaani ama zinamilikiwa na serikali/CCM?


Sisi jamii tumeshindwa kujiongoza kwenye ngazi za family tutaweza vipi kusimama Kama taifa?
We jamaa ni mgumu kuelewa! Anachoeleza mleta mada ni loopholes zilizopo kwenye mfumo wa elimu zinazomfanya mwanafunzi awe incompetent kwenye kujiajiri au kuajiriwa kwa kifupi elimu haimpi mwanga wa kujiongeza na hata akijiongeza anafanya mambo yake shaghala baghala ilimradi siku ziende

Km ukipata fursa kwenda nairobi tembelea ma shoe shine wao uone jinsi walivyo very smart na proffessional wanaendesha biashara zao kisasa na kisomi tofauti na huku kwetu

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Mkuu Muuza Kangala , please usitukane bure watu kuwa asilimia 98% ni wapumbavu!. The margin is too big!. Watanzania wengi ni wajinga tuu na sio wapumbavu!, ila wapumbavu wapo ila sio asilimia 98%.
P
Mkuu isikuume ,unaonekana from your writing upo learned ila ukweli halisia ndo huo , wapumbavu ni wengi tena sana nchini .
Na kwa region tunajiskia sana kuwa wengine ni wajinga ila upuuzi ulio nchini acha tu .
Uliona wapi shoga akiwa role model wa vijana . Mfisadi akiwa na hela za wizi tunamsifu
 
We jamaa ni mgumu kuelewa! Anachoeleza mleta mada ni loopholes zilizopo kwenye mfumo wa elimu zinazomfanya mwanafunzi awe incompetent kwenye kujiajiri au kuajiriwa kwa kifupi elimu haimpi mwanga wa kujiongeza na hata akijiongeza anafanya mambo yake shaghala baghala ilimradi siku ziende

Km ukipata fursa kwenda nairobi tembelea ma shoe shine wao uone jinsi walivyo very smart na proffessional wanaendesha biashara zao kisasa na kisomi tofauti na huku kwetu

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app


Uwajibikaji binafsi unauweka upande upi?


Kwamba elimu ya Kenya inazalisha shoeshiners smart & professional? Huu mfano umemaanisha ama unatania?

Kila binaadam anawajibika kuwajibika kwenye nafasi yake yeye mwenyewe binafsi.

Wazazi, walezi, ndugu, Jamaa na Marafiki na jamii kwa ujumla kila mmoja asimamie misingi ya utu na uhalisia wa matokeo ya maamuzi yetu ya aina yoyote kuhusiana na chochote.

Watoto na vijana wetu mitaani wanajilea.

Sisi wote wanawake kwa wanaume tumejikita katika utafutaji.

Starehe zetu na matendo yetu yamekua Sawa na matangazo ya hadhara Kisa utandawazi. Watoto wanaona wanajifunza na kufuata mkondo.

Wazazi wamewekeza hali na mali katika muonekano wa kidunia. Wazazi hawataki kugharamika kwa hali na Mali kwenye elimu na makuzi ya watoto wao.

Wazazi wengi hawafuatilii mienendo ya watoto wao na wengine hata hawajui shule wanazosoma watoto?

Na walimu wengi wa siku hizi nao wala hawawajibiki kufuatilia wala kutoa taarifa kuhusu mienendo ya wanafunzi.

Hakuna ushirikiano wa dhati kati ya walimu na wazazi kwa maeneo mengi bado.


Watoto walelewe na nani atakayewafunza njia zetu na asili yetu?

Jamii inaruhusu matendo ya hovyo kwa wao kushiriki na pia wengine kufumbia macho halafu matokeo lawama wanatupiwa Serikali/CCM?

Kwani hao CCM ni majini? Si ni watu tunaoishi nao huku mitaani? Nao si sehemu ya ndugu na Jamaa zetu? Tena wengine wameamua kuwa Machawa wao sasa kwanini tusiwe na jamii ya hovyo?

Waalimu wengi sana ni wanachama wa hiyo CCM. Waalimu wengi sana wako kwenye “Mfumo” wamefanya nini zaidi ya kujaza mifuko yao?

Uwajibikaji ni kipimo cha Utu.
 
Acheni wivu

Nyota ni nyota kama hamna muisake kwa kuomba..
 
Watz sio wajinga ila hilo lipo kimkakati zaidi ili ccm iendelee kutawala.

Unamlipaje mbunge 16M kwa mwezi halafu mwalimu 400K kwa mwezi halafu watz wapo kimya tuu. Wamevikwa uzezeta na ccm.

Ubovu wa elimu wanayopewa watz ndio chanzo cha matatizo yote.
Mil 16 ! Kumbe kazi ya ubunge inalipa vizuri kuliko kazi nyingine ndiyo maana wabobezi wengi wa elimu , wafanyabishara wameacha kazi zao na kugombea ubunge .
 
Uwajibikaji binafsi unauweka upande upi?


Kwamba elimu ya Kenya inazalisha shoeshiners smart & professional? Huu mfano umemaanisha ama unatania?

Kila binaadam anawajibika kuwajibika kwenye nafasi yake yeye mwenyewe binafsi.

Wazazi, walezi, ndugu, Jamaa na Marafiki na jamii kwa ujumla kila mmoja asimamie misingi ya utu na uhalisia wa matokeo ya maamuzi yetu ya aina yoyote kuhusiana na chochote.

Watoto na vijana wetu mitaani wanajilea.

Sisi wote wanawake kwa wanaume tumejikita katika utafutaji.

Starehe zetu na matendo yetu yamekua Sawa na matangazo ya hadhara Kisa utandawazi. Watoto wanaona wanajifunza na kufuata mkondo.

Wazazi wamewekeza hali na mali katika muonekano wa kidunia. Wazazi hawataki kugharamika kwa hali na Mali kwenye elimu na makuzi ya watoto wao.

Wazazi wengi hawafuatilii mienendo ya watoto wao na wengine hata hawajui shule wanazosoma watoto?

Na walimu wengi wa siku hizi nao wala hawawajibiki kufuatilia wala kutoa taarifa kuhusu mienendo ya wanafunzi.

Hakuna ushirikiano wa dhati kati ya walimu na wazazi kwa maeneo mengi bado.


Watoto walelewe na nani atakayewafunza njia zetu na asili yetu?

Jamii inaruhusu matendo ya hovyo kwa wao kushiriki na pia wengine kufumbia macho halafu matokeo lawama wanatupiwa Serikali/CCM?

Kwani hao CCM ni majini? Si ni watu tunaoishi nao huku mitaani? Nao si sehemu ya ndugu na Jamaa zetu? Tena wengine wameamua kuwa Machawa wao sasa kwanini tusiwe na jamii ya hovyo?

Waalimu wengi sana ni wanachama wa hiyo CCM. Waalimu wengi sana wako kwenye “Mfumo” wamefanya nini zaidi ya kujaza mifuko yao?

Uwajibikaji ni kipimo cha Utu.
We naona unaruka ruka tu wakati ishu hapa ni mfumo wa elimu

Tusibishane sana hebu mchukuemtoto wa miaka 12 anaesoma shule ya international school na mtoto wa umri huo huo anaesoma shule za kayumba halafu pima uelewa wao na level ya kujitambua kama ipo sawa!

Ukipata elimu bora hata kutawala mazingira yako inakuwa rahisi ndyo maana wakenya wapo aggressive kwenye kudai haki zao wakati huku tunafundishwa kila kitu ni ndio tu hata kama mambo yanaharibika.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom