Asilimia kubwa ya Watanzania ni wapumbavu

Asilimia kubwa ya Watanzania ni wapumbavu

Utasikia wanasifia fisadi aliyeiba mali za umma kuwa mjanja na ametoboa.

Wanadanganywa na maigizo ya wanasiasa ambayo hayawezi kuwasaidia. Eti Makonda nyota imewaka.

Watoto wao wanavuta bangi na madawa ya kulevya na kuwa mashoga kisa tu kuiga maisha ya Usa.

Pumbavu kabisa.
Nadhani ulimaanisha Wanaccm
 
Tena Kiwango cha KIMATAIFA gredi wani...
Ukiwa mtumishi wa umma una majumba, bar , guest house jamii wanakuita mtafutaji na una akili.
Ukiwa mtumishi wa umma na umepanga jamii inakuona mjinga.

Yet wakienda ofisi za umma kupata huduma wanataka wapate huduma bora bila rushwa huku mafisadi ndani ya serikalini huko mitaani kwao huwasifia.

Haijulikani Watanzania wanataka nini
 
Watz sio wajinga ila hilo lipo kimkakati zaidi ili ccm iendelee kutawala.

Unamlipaje mbunge 16M kwa mwezi halafu mwalimu 400K kwa mwezi halafu watz wapo kimya tuu. Wamevikwa uzezeta na ccm.

Ubovu wa elimu wanayopewa watz ndio chanzo cha matatizo yote.
Hapo sijakuelewa, yaan inamaanisha mshahara wa mwezi mmoja wa mbunge ni sawa na mshahara wa mwalimu wa miaka mitatu na bado mbunge anabaki na chenji🤔🤔🤔🤣🤣🤣? Du kweli mama anaupiga mwingi
 
Hapo sio watz ni wapumbavu Bali mtazamo wako kuhusu makonda!!

Huyo makonda asilimia kubwa ya tuhuma mnazompa ni sehem ya kazi aliyoelekezwa afanye awamu ile Kuna makosa binafsi madogo kuliko makubwa mnayodhani!

Kuutumikia mfumo sio mapenzi ya mtu ni matakwa ya mfumo!!

Jpm alikuja kuyafilisi majizi na mafisadi ndicho alichofanya na watendaji wake na walipokua wanayatetea majizi walikipata,huo ndio ulikua mpangokazi wa awamu yake!!sio utashi wa mtu!aliwekwa pale kwa kazi hiyo ambayo wewe unamtuhum!

Tii sheria bila shuruti hutokutwa na mabaya!

Over
Nice👏
 
Utasikia wanasifia fisadi aliyeiba mali za umma kuwa mjanja na ametoboa.

Wanadanganywa na maigizo ya wanasiasa ambayo hayawezi kuwasaidia. Eti Makonda nyota imewaka.

Watoto wao wanavuta bangi na madawa ya kulevya na kuwa mashoga kisa tu kuiga maisha ya Usa.

Pumbavu kabisa.
We ndo umelijua leo?
 
Utasikia wanasifia fisadi aliyeiba mali za umma kuwa mjanja na ametoboa.

Wanadanganywa na maigizo ya wanasiasa ambayo hayawezi kuwasaidia. Eti Makonda nyota imewaka.

Watoto wao wanavuta bangi na madawa ya kulevya na kuwa mashoga kisa tu kuiga maisha ya Usa.

Pumbavu kabisa.
Utawasikia mara makonda tunamwomba aoneshe vyeti vyake huwa najiuliza vyeti vyake vinawasaidia nini nyie wajinga, mara azory mara sijui taka taka gani wanasahau watoto wao walivyo mashoga, wavuta bangi, vichaa na umaskini uliotukuka.
 
A
Hapo sio watz ni wapumbavu Bali mtazamo wako kuhusu makonda!!

Huyo makonda asilimia kubwa ya tuhuma mnazompa ni sehem ya kazi aliyoelekezwa afanye awamu ile Kuna makosa binafsi madogo kuliko makubwa mnayodhani!

Kuutumikia mfumo sio mapenzi ya mtu ni matakwa ya mfumo!!

Jpm alikuja kuyafilisi majizi na mafisadi ndicho alichofanya na watendaji wake na walipokua wanayatetea majizi walikipata,huo ndio ulikua mpangokazi wa awamu yake!!sio utashi wa mtu!aliwekwa pale kwa kazi hiyo ambayo wewe unamtuhum!

Tii sheria bila shuruti hutokutwa na mabaya!

Over
Amani yetu imejengwa katika misingi ya Ujinga na upumbafu,
 
Huyo makonda namsubiri huku R chuga alete swagiziii za kimbanga mtamsikia nimemkata mitaa yakutosha.
 
Utasikia wanasifia fisadi aliyeiba mali za umma kuwa mjanja na ametoboa.

Wanadanganywa na maigizo ya wanasiasa ambayo hayawezi kuwasaidia. Eti Makonda nyota imewaka.

Watoto wao wanavuta bangi na madawa ya kulevya na kuwa mashoga kisa tu kuiga maisha ya Usa.

Pumbavu kabisa.

Wapigaji nawaunga mkono, serikali imelala kiboya hivi, Bunge la kiboya hivi Kwa nini usiwaunge mkono hawa wajanja wanaojiongeza
 
Utasikia wanasifia fisadi aliyeiba mali za umma kuwa mjanja na ametoboa.

Wanadanganywa na maigizo ya wanasiasa ambayo hayawezi kuwasaidia. Eti Makonda nyota imewaka.

Watoto wao wanavuta bangi na madawa ya kulevya na kuwa mashoga kisa tu kuiga maisha ya Usa.

Pumbavu kabisa.
Ni kweli cag report martrilion yanaotea alafu eti ccm wanashinda uchavuzi, manango Kila Mali etib anaupiga mwingi, Hadi mpirani
Watz wapumbavu tu,
 
Hapa kwenu bongo mtu akiwa mfanya kazi muadilifu asiyependa rushwa na mambo yake anayafanya kwa kuafuata protocals kwenye sekta yoyote Ile iwe binafsi au ya serikali, aisee atadharauliwa sana na watu kwanzia kwa wafanya kazi wenzie mpaka jamii kwa ujumla, ataitwa mshamba na hajui kuishi mjini...!! Na Tena muda mwingine inaweza ikamgharimu hata maisha yake, maana ataonekana ni kichomi kwenye mipango ya watu.
 
Utasikia wanasifia fisadi aliyeiba mali za umma kuwa mjanja na ametoboa.

Wanadanganywa na maigizo ya wanasiasa ambayo hayawezi kuwasaidia. Eti Makonda nyota imewaka.

Watoto wao wanavuta bangi na madawa ya kulevya na kuwa mashoga kisa tu kuiga maisha ya Usa.

Pumbavu kabisa.
mwerevu hakai pembeni na akawa analaulaumu, ananung'ung'unika na kubwekabweka tu pembeni....

anabuni na kumobilise mbinu na mikakati kabambe ya muda mrefu na mfupi na kujaribu kuchukua kila hatua muhimu inayowezekana kukabiliana na anachoamini si sawa na si haki...

kumbeza na pengine kumzomea mwizi asie faa kwako, kwa kuwashawishi na kuwavutia wenginine wafikiri kama wewe tena kwa mihemko, mibezo na dhihaka eti wapumbavu, halafu waungane nawe, ni ngumu sana.

Ni kumwita mwingine mpumbavu japo inawezekana, ni ishara na dalili ya wazi na muafaka sana ya kukata tamaa, kukosa na kupoteza uelekeo kabisa.....
 
Utasikia wanasifia fisadi aliyeiba mali za umma kuwa mjanja na ametoboa.

Wanadanganywa na maigizo ya wanasiasa ambayo hayawezi kuwasaidia. Eti Makonda nyota imewaka.

Watoto wao wanavuta bangi na madawa ya kulevya na kuwa mashoga kisa tu kuiga maisha ya Usa.

Pumbavu kabisa.
100% sahihi.

Naishi maeneo ya CCM strong hold.

Yaani vijana wa hapa wako bize na Ngono, mpira wa simba na yanga, propaganda za ccm.

Kuna umaskini wa kutupwa. Huku wakiimba Nchi inapanda uchumi wa Kati na kumsifia Makonda na et al
 
Back
Top Bottom