Asilimia kubwa ya Watanzania ni wapumbavu

Kwa hiyo wakati ule alipomzaba vibao Mzee Warioba alitumwa na mfumo?? Elimu yako tumia vizuri kuelimisha wengine na sio kuwapotosha. Kwakufanya hivyo (upotoshaji) huo ndiyo upumbavu wenyewe.
 
Sahihi kabisa. Watz wengi wana upeo finyu sana wa kufikiri na maccm yanatumia fursa hiyo kufanya yanavyo taka .
Hii ni hatari sana kwa mustakabal wa nchi..
 
Umechafukwa 😂😂😂😂
 
Alafu hawajui wanacho kitaka, majizi na mafisadi yanagawana pesa za walalahoi kamavile hazina mwenyewe.

Utawasikia wanalalamika kuhusu ubadhilifu wa malizauma, alafu hapohapo wakimpata anaepambana na hayo majizi na mafisadi utawasikia wanamuita dikteta.
 
Ujue tatizo linatokana na nini; accountability Kwa Mwanasia hapa kwetu ina mchakato mgumu sana.

Yaani kum-hold account muhusika wa rushwa hasa mwanasiasa kuna ugumu kwasababu wakum-hold ni mpiga kura.

Mfano waziri akipata kashifa ya rushwa anaondolewa uwaziri lkn anabaki na Ubunge.

Msimu wa uchaguzi ukifika inabidi wapiga kura wamuadhibu huyu Mbunge kwa kutomchagua.

Matokeo yake, naye anajipanga anatafta hela za kutosha, unakuta mpiga kura anapewa laki mpaka tano.

Anapewa laki tatu kwanza anaambiwa ukishaona tumeshinda njoo uchukue laki 2 yako.

What do you expect? Mm Nina njaa, mwanangu anahitaji chakula, Sina pakukimbilia, ukiniambia huyu Mbunge nisimchague ni mla rushwa sitakuelewa!

Hivyo, unagundua kuwa Umasikini ndo chanzo Cha yote haya!

Dhana ya uwajibikaji (Accountability) Kwa Afrika ni ngumu sana braza kutokana na muundo wetu wa siasa za kimapokeo!
 
Umechelewa kujua hilo pole sana
 
Yeah, hili ni tatizo kubwa sana. Sasa, Kwa Kiongozi anayetaka kubadilisha Taifa hili lazima awafanye wananchi wajitambue kuwa rushwa ndicho kikwazo kikubwa Cha wao kutokana na Umasikini.

Na msimu wa uchaguzi anachaguliwa huyohuyo! We ukienda kugombea na swaga zako za Maendeleo endelevu kama huna hata mia waala hakuna wa kukuangalia!
 
Eh huyo ni mbunge sio mtu wa chini.mbina wamevumilia toka 6ml hadi 9 hadi sasa ndio huo.mshahara wanapata
 
Sasa kama namba Moja ajae nchini anasema ivi mm ni nani mpaka nibishee☺️☺️☺️😊😊
 
Ni kweli na hili limedhihirika kwa matokeo ya miaka ya karibuni kuna wanafunzi wanamaliza kidato cha nne hawajui kusoma wala kujielezea ... Mashuleni kumeingizwa misukumo ya kisiasa.

Mtaji wa CCM ni ujinga na umaskini na wanajua Mtanzania akieliemika huo utakuwa mwisho wa CCM.

Elimu inayotolewa inamwaminisha mtoto wa kike hata asipofauli ataenda jiuza (dada poa), huku wa kiume anaamini kodokodo na betting ni ujasiriamili na serikali wala haikemei mambo hayo.

Elimu inayotolewa haimkomboi Mtanzania bali ni msaada mkubwa kwa CCM kuendelea kubaki madarakani.
 
Mwafrika hawezi kubadilika na hakuna haja ya kusema ooh ni Chama,
Hapana tangu enzi za ukoloni wajerumani na mataifa mengine ya Ulaya ikiwemo 🇬🇧 walikuwa na Human Zoo yaani wanawekwa cage kama fisi
Na huku wakikubali udhalili huo na bado mkamkaribisha na Rais wao

Turudi kwenye upumbavu, kuna uzi humu eti mabasi yanawekwa Azam TV muangalie mpira sasa hii ni dhahir asilimia hiyo infika hapo
Hasa ukiangalia mapumbavu yanayotetea wizi na kufikia kuwauwa waadilifu nakazini kisa anabana matumizi na kuzuia ubadhirifu wa mali za umma huyo atachukiwa na kufanyiwa visa vya kila aina

Siku mtaacha kupiga mifugo eti imekula shamba au kuacha kuwapiga punda wanaeowaingizia riziki labda upumbavu utawatoka
Watu wanajipanga eti wanatumwa kwenda kukamata wahsmiaji na kutengeneza njia za kujipatia hela haramu halafu mnalalamika nchi tajiri ina kila kitu ila masikini
Hivi ng'ombe anajua utajiri huo
 
Watz sio wajinga bali tuko busy na shughuli za hapa na pale, siasa zimetuchosha
 
Usichanganye wanaccm na watanzania, wanaccm hupelekwa gereji ya Nduvini kutolewa ubongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…