Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Nadhani ulimaanisha WanaccmUtasikia wanasifia fisadi aliyeiba mali za umma kuwa mjanja na ametoboa.
Wanadanganywa na maigizo ya wanasiasa ambayo hayawezi kuwasaidia. Eti Makonda nyota imewaka.
Watoto wao wanavuta bangi na madawa ya kulevya na kuwa mashoga kisa tu kuiga maisha ya Usa.
Pumbavu kabisa.
Tena Kiwango cha KIMATAIFA gredi wani...Si wapumbavu tu bali ni wapumbavu haswa
Ukiwa mtumishi wa umma una majumba, bar , guest house jamii wanakuita mtafutaji na una akili.Tena Kiwango cha KIMATAIFA gredi wani...
Hapo sijakuelewa, yaan inamaanisha mshahara wa mwezi mmoja wa mbunge ni sawa na mshahara wa mwalimu wa miaka mitatu na bado mbunge anabaki na chenji🤔🤔🤔🤣🤣🤣? Du kweli mama anaupiga mwingiWatz sio wajinga ila hilo lipo kimkakati zaidi ili ccm iendelee kutawala.
Unamlipaje mbunge 16M kwa mwezi halafu mwalimu 400K kwa mwezi halafu watz wapo kimya tuu. Wamevikwa uzezeta na ccm.
Ubovu wa elimu wanayopewa watz ndio chanzo cha matatizo yote.
Nice👏Hapo sio watz ni wapumbavu Bali mtazamo wako kuhusu makonda!!
Huyo makonda asilimia kubwa ya tuhuma mnazompa ni sehem ya kazi aliyoelekezwa afanye awamu ile Kuna makosa binafsi madogo kuliko makubwa mnayodhani!
Kuutumikia mfumo sio mapenzi ya mtu ni matakwa ya mfumo!!
Jpm alikuja kuyafilisi majizi na mafisadi ndicho alichofanya na watendaji wake na walipokua wanayatetea majizi walikipata,huo ndio ulikua mpangokazi wa awamu yake!!sio utashi wa mtu!aliwekwa pale kwa kazi hiyo ambayo wewe unamtuhum!
Tii sheria bila shuruti hutokutwa na mabaya!
Over
Pumbavu mkubwa. Kunifananisha na Kamanda AsiyechokaAcha kutukana kiholela
We ndo umelijua leo?Utasikia wanasifia fisadi aliyeiba mali za umma kuwa mjanja na ametoboa.
Wanadanganywa na maigizo ya wanasiasa ambayo hayawezi kuwasaidia. Eti Makonda nyota imewaka.
Watoto wao wanavuta bangi na madawa ya kulevya na kuwa mashoga kisa tu kuiga maisha ya Usa.
Pumbavu kabisa.
Utawasikia mara makonda tunamwomba aoneshe vyeti vyake huwa najiuliza vyeti vyake vinawasaidia nini nyie wajinga, mara azory mara sijui taka taka gani wanasahau watoto wao walivyo mashoga, wavuta bangi, vichaa na umaskini uliotukuka.Utasikia wanasifia fisadi aliyeiba mali za umma kuwa mjanja na ametoboa.
Wanadanganywa na maigizo ya wanasiasa ambayo hayawezi kuwasaidia. Eti Makonda nyota imewaka.
Watoto wao wanavuta bangi na madawa ya kulevya na kuwa mashoga kisa tu kuiga maisha ya Usa.
Pumbavu kabisa.
Amani yetu imejengwa katika misingi ya Ujinga na upumbafu,Hapo sio watz ni wapumbavu Bali mtazamo wako kuhusu makonda!!
Huyo makonda asilimia kubwa ya tuhuma mnazompa ni sehem ya kazi aliyoelekezwa afanye awamu ile Kuna makosa binafsi madogo kuliko makubwa mnayodhani!
Kuutumikia mfumo sio mapenzi ya mtu ni matakwa ya mfumo!!
Jpm alikuja kuyafilisi majizi na mafisadi ndicho alichofanya na watendaji wake na walipokua wanayatetea majizi walikipata,huo ndio ulikua mpangokazi wa awamu yake!!sio utashi wa mtu!aliwekwa pale kwa kazi hiyo ambayo wewe unamtuhum!
Tii sheria bila shuruti hutokutwa na mabaya!
Over
Utasikia wanasifia fisadi aliyeiba mali za umma kuwa mjanja na ametoboa.
Wanadanganywa na maigizo ya wanasiasa ambayo hayawezi kuwasaidia. Eti Makonda nyota imewaka.
Watoto wao wanavuta bangi na madawa ya kulevya na kuwa mashoga kisa tu kuiga maisha ya Usa.
Pumbavu kabisa.
Ni kweli cag report martrilion yanaotea alafu eti ccm wanashinda uchavuzi, manango Kila Mali etib anaupiga mwingi, Hadi mpiraniUtasikia wanasifia fisadi aliyeiba mali za umma kuwa mjanja na ametoboa.
Wanadanganywa na maigizo ya wanasiasa ambayo hayawezi kuwasaidia. Eti Makonda nyota imewaka.
Watoto wao wanavuta bangi na madawa ya kulevya na kuwa mashoga kisa tu kuiga maisha ya Usa.
Pumbavu kabisa.
mwerevu hakai pembeni na akawa analaulaumu, ananung'ung'unika na kubwekabweka tu pembeni....Utasikia wanasifia fisadi aliyeiba mali za umma kuwa mjanja na ametoboa.
Wanadanganywa na maigizo ya wanasiasa ambayo hayawezi kuwasaidia. Eti Makonda nyota imewaka.
Watoto wao wanavuta bangi na madawa ya kulevya na kuwa mashoga kisa tu kuiga maisha ya Usa.
Pumbavu kabisa.
ZuzuMm n
Mm namkubal Makonda na sio Sabaya vp na mm ni zuzu!?
100% sahihi.Utasikia wanasifia fisadi aliyeiba mali za umma kuwa mjanja na ametoboa.
Wanadanganywa na maigizo ya wanasiasa ambayo hayawezi kuwasaidia. Eti Makonda nyota imewaka.
Watoto wao wanavuta bangi na madawa ya kulevya na kuwa mashoga kisa tu kuiga maisha ya Usa.
Pumbavu kabisa.