90% ya watz ni washirikina na 90% ni dhoofu hali wanachapwa vibaya na life, SAsa kwann wasitumie huo ushirikina kufanikiwa. Vyovyote vile hata wale wanaosemekana wanatumia ushirikina ukiwastudy hawapo mbali sana na kanuni za kufanikiwa kiuchumi ambazo yeyeto tu yule akizitumia ufanikiwa. Hao wakinga, wachaga, wapemba, waarabu, nk wanaoonekana wamefaulu hawapo mbali na kanuni hizo za uchumi ambazo Wayahudi ndio waasisi wake.
NAZO NI
1.Imani kwa Mungu
2.Saidianeni ninyi kwa nini
3.Wafunze watoto utafutaji wangali wadogo
4.Weka akiba kidogo kidogo Ili ziwe nyingi uwekeze
5.Acha anasa
6.Kuwaheshimu wateja
7.Uza kwa bei ya chini uuze kwa wingi upate faida nyingi
8.Uza kilicho bora
9.Nk
Yeyeto ufanikiwa akizifuata hata bila kuambiwa na mganga, mganga ucheza na saikolojia za watu tu hata masharti wawapayo watu ayachezi mbali sana na kanuni za kufanikiwa. Still bado akili ya mwanadamu Ina nguvu kuliko hata huo uchawi na ushirikina,sema tu wavivu kuiitumia thus tunategemea waganga, mitume na manabii watusaidie wao utumia ujinga wetu kufanikiwa.