Asilimia tisini ya silaha za nuclear za Urusi zimesha-expire

Championship

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2019
Posts
5,500
Reaction score
10,616
Japokuwa urusi inasema kwamba wanazo nuclear warhead 6257, nyingi zilishapitwa na wakati.

Silaha za nuclear zinaishi kwa miaka 45 (plutonium) na 85 (tritium). Za urusi zilizotengenezwa na USSR miaka ya 1960s mpaka 1990s zimeshakufa maana zilikuwa plutonium.

Ikumbukwe kwamba urusi hakuwa na fedha za kutengeneza mpya kati ya miaka ya 2000s hivyo kwasasa amebakiwa na active nuclear warhead 625.

Ikumbukwe kwamba marekani anazo active nuclear warhead 5500 mpaka sasa.
 
we jamaa ni mtaalamu wa nuclear kutoka chuo gani labda, wewe unawazidi walopiga shule kwa ajili ya hayo maswala, wewe unawazidi Russia nuclear scientists wote et, nasema hivi mpaka hii vita iishe kuna watu mtakua mmekonda sana, ila nn akiri unayo sema unakautaila flani hivi pole sana.
 
Napia huyo putin wamesha mpiga 1/2 life
 
Bila ya chanzo kikuu cha habari ni sawa na hadithi za "tumbo niachie Mandawa, mandawa nimwachie Manenge"
 
Nonsense
 
Chanzo Cha habar mkuu
 
Endelea Kujifariji Kama zeleski
 
Wewe umejuwaje kama walikuwa hawatengenezi nyingine ..wakati huo unaendelea na kilimo kijijini kwenu unajuaje masuala ya urusi ya nuclear na ambayo ni siri ..
 
Mimi ni mhandisi mwandamizi na nilichoandika hapa ni ukweli mtupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…