Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,500
- 10,616
Napia huyo putin wamesha mpiga 1/2 lifeJapokuwa urusi inasema kwamba wanazo nuclear warhead 6257, nyingi zilishapitwa na wakati.
Silaha za nuclear zinaishi kwa miaka 45 (plutonium) na 85 (tritium). Za urusi zilizotengenezwa na USSR miaka ya 1960s mpaka 1990s zimeshakufa maana zilikuwa plutonium.
Ikumbukwe kwamba urusi hakuwa na fedha za kutengeneza mpya kati ya miaka ya 2000s hivyo kwasasa amebakiwa na active nuclear warhead 625.
Ikumbukwe kwamba marekani anazo active nuclear warhead 5500 mpaka sasa.
Habari za tajiri muulize maskini!! Wabongo wanajua habari za Urusi kuliko warusi wenyewe.Wabongo kwa data.Tanzania tuna makombora na ndege ngapi.
Bila ya chanzo kikuu cha habari ni sawa na hadithi za "tumbo niachie Mandawa, mandawa nimwachie Manenge"Japokuwa urusi inasema kwamba wanazo nuclear warhead 6257, nyingi zilishapitwa na wakati.
Silaha za nuclear zinaishi kwa miaka 45 (plutonium) na 85 (tritium). Za urusi zilizotengenezwa na USSR miaka ya 1960s mpaka 1990s zimeshakufa maana zilikuwa plutonium.
Ikumbukwe kwamba urusi hakuwa na fedha za kutengeneza mpya kati ya miaka ya 2000s hivyo kwasasa amebakiwa na active nuclear warhead 625.
Ikumbukwe kwamba marekani anazo active nuclear warhead 5500 mpaka sasa.
NonsenseJapokuwa urusi inasema kwamba wanazo nuclear warhead 6257, nyingi zilishapitwa na wakati.
Silaha za nuclear zinaishi kwa miaka 45 (plutonium) na 85 (tritium). Za urusi zilizotengenezwa na USSR miaka ya 1960s mpaka 1990s zimeshakufa maana zilikuwa plutonium.
Ikumbukwe kwamba urusi hakuwa na fedha za kutengeneza mpya kati ya miaka ya 2000s hivyo kwasasa amebakiwa na active nuclear warhead 625.
Ikumbukwe kwamba marekani anazo active nuclear warhead 5500 mpaka sasa.
Chanzo Cha habar mkuuJapokuwa urusi inasema kwamba wanazo nuclear warhead 6257, nyingi zilishapitwa na wakati.
Silaha za nuclear zinaishi kwa miaka 45 (plutonium) na 85 (tritium). Za urusi zilizotengenezwa na USSR miaka ya 1960s mpaka 1990s zimeshakufa maana zilikuwa plutonium.
Ikumbukwe kwamba urusi hakuwa na fedha za kutengeneza mpya kati ya miaka ya 2000s hivyo kwasasa amebakiwa na active nuclear warhead 625.
Ikumbukwe kwamba marekani anazo active nuclear warhead 5500 mpaka sasa.
Endelea Kujifariji Kama zeleskiJapokuwa urusi inasema kwamba wanazo nuclear warhead 6257, nyingi zilishapitwa na wakati.
Silaha za nuclear zinaishi kwa miaka 45 (plutonium) na 85 (tritium). Za urusi zilizotengenezwa na USSR miaka ya 1960s mpaka 1990s zimeshakufa maana zilikuwa plutonium.
Ikumbukwe kwamba urusi hakuwa na fedha za kutengeneza mpya kati ya miaka ya 2000s hivyo kwasasa amebakiwa na active nuclear warhead 625.
Ikumbukwe kwamba marekani anazo active nuclear warhead 5500 mpaka sasa.
Wewe umejuwaje kama walikuwa hawatengenezi nyingine ..wakati huo unaendelea na kilimo kijijini kwenu unajuaje masuala ya urusi ya nuclear na ambayo ni siri ..Japokuwa urusi inasema kwamba wanazo nuclear warhead 6257, nyingi zilishapitwa na wakati.
Silaha za nuclear zinaishi kwa miaka 45 (plutonium) na 85 (tritium). Za urusi zilizotengenezwa na USSR miaka ya 1960s mpaka 1990s zimeshakufa maana zilikuwa plutonium.
Ikumbukwe kwamba urusi hakuwa na fedha za kutengeneza mpya kati ya miaka ya 2000s hivyo kwasasa amebakiwa na active nuclear warhead 625.
Ikumbukwe kwamba marekani anazo active nuclear warhead 5500 mpaka sasa.
Na wengine kambambikiza mwana, maana hakuna beki pale 😅😅Na mtoa mada Ni mke wa mtu kabisa mwenye watoto wake watatu wakubwa kabisa.
Mimi ni mhandisi mwandamizi na nilichoandika hapa ni ukweli mtupuwe jamaa ni mtaalamu wa nuclear kutoka chuo gani labda, wewe unawazidi walopiga shule kwa ajili ya hayo maswala, wewe unawazidi Russia nuclear scientists wote et, nasema hivi mpaka hii vita iishe kuna watu mtakua mmekonda sana, ila nn akiri unayo sema unakautaila flani hivi pole sana.
Sidhani kama mada umeielewa. Hamia jukwaa la udaku ndio size yakoEti na wewe una kwako? Kwa akili hii basi utakuwa unasaidiwa na majirani .
Muda sio mrefu parapanda inaweza kulia.Napia huyo putin wamesha mpiga 1/2 life