DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
[emoji1787]Mimi ni mhandisi mwandamizi na nilichoandika hapa ni ukweli mtupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787]Mimi ni mhandisi mwandamizi na nilichoandika hapa ni ukweli mtupu
Jiongezee maarifa juu ya silaha za nuclear kupitia mtandao. Tumia smartphone yako kwa manufaa.Bila ya chanzo kikuu cha habari ni sawa na hadithi za "tumbo niachie Mandawa, mandawa nimwachie Manenge"
Pita mtandaoni ujifunze kuhusu silaha za nuclear.Chanzo Cha habar mkuu
Mimi tayari ninaye mke wangu mwanamke (maana siku hizi wapumbavu wanaoana jinsia moja) na ninampenda sana. Jaribu kutafuta mume kule kwenye love connect.Na mtoa mada Ni mke wa mtu kabisa mwenye watoto wake watatu wakubwa kabisa.
Mimi ni mhandisi mwandamizi katika tasnia ya masuala ya kielektoniki. Ninafahamu ninachozungumziaWewe umejuwaje kama walikuwa hawatengenezi nyingine ..wakati huo unaendelea na kilimo kijijini kwenu unajuaje masuala ya urusi ya nuclear na ambayo ni siri ..
Jukwaa la udaku linakufaa zaidi.Na wengine kambambikiza mwana, maana hakuna beki pale 😅😅
Ni alumni wa science lab ya university of manchester (mhandisi mwandamizi).Huwa unakaa kijiwe gani cha kahawa?
Basi wana hasara alafu umeshindwa kudhibitisha madai Yako.Ni alumni wa science lab ya university of manchester (mhandisi mwandamizi).
Unataka uthibitisho gani?Basi wana hasara alafu umeshindwa kudhibitisha madai Yako.
Japokuwa urusi inasema kwamba wanazo nuclear warhead 6257, nyingi zilishapitwa na wakati.
Silaha za nuclear zinaishi kwa miaka 45 (plutonium) na 85 (tritium). Za urusi zilizotengenezwa na USSR miaka ya 1960s mpaka 1990s zimeshakufa maana zilikuwa plutonium.
Ikumbukwe kwamba urusi hakuwa na fedha za kutengeneza mpya kati ya miaka ya 2000s hivyo kwasasa amebakiwa na active nuclear warhead 625.
Ikumbukwe kwamba marekani anazo active nuclear warhead 5500 mpaka sasa.
NdiyoUnataka uthibitisho gani?
Ndugu,unashangaza sana.Napia huyo putin wamesha mpiga 1/2 life
Nani alikudanganya kuwa silaha iliyo expire haiui?Japokuwa urusi inasema kwamba wanazo nuclear warhead 6257, nyingi zilishapitwa na wakati.
Silaha za nuclear zinaishi kwa miaka 45 (plutonium) na 85 (tritium). Za urusi zilizotengenezwa na USSR miaka ya 1960s mpaka 1990s zimeshakufa maana zilikuwa plutonium.
Ikumbukwe kwamba urusi hakuwa na fedha za kutengeneza mpya kati ya miaka ya 2000s hivyo kwasasa amebakiwa na active nuclear warhead 625.
Ikumbukwe kwamba marekani anazo active nuclear warhead 5500 mpaka sasa.
Niwapongeze sana! Chanzo kiko wapi? Je ww ni generally wa Russia?Japokuwa urusi inasema kwamba wanazo nuclear warhead 6257, nyingi zilishapitwa na wakati.
Silaha za nuclear zinaishi kwa miaka 45 (plutonium) na 85 (tritium). Za urusi zilizotengenezwa na USSR miaka ya 1960s mpaka 1990s zimeshakufa maana zilikuwa plutonium.
Ikumbukwe kwamba urusi hakuwa na fedha za kutengeneza mpya kati ya miaka ya 2000s hivyo kwasasa amebakiwa na active nuclear warhead 625.
Ikumbukwe kwamba marekani anazo active nuclear warhead 5500 mpaka sasa.