Asilimia tisini ya silaha za nuclear za Urusi zimesha-expire

Asilimia tisini ya silaha za nuclear za Urusi zimesha-expire

Kwahiyo wewe unajua kuliko Marekani ?
Mmarekani anaufyata kwa Putin kwasababu ya vitu vyake vizito ambavyo wewe unasema ni expired
Ndio maana urusi ataishia kuwa maskini. Vita pale sio ya silaha. US yupo pale kwa vita ya uchumi. Hata china anamchochea aende taiwan ili ambane mbavu kwenye uchumi.

Jisomee kuhusu nuclear weapons mkuu.
 
Aliokwambia ni nani nuclear ina expire ?? hizo taarifa umetoa wapi ?? wewe ni nani mpaka unaongea tu hata majasusi wa CIA MOSSAD na KBG hawajawi kuongea jambo kama hilo wewe hizo data umetoa wapi ?? achana na masuala ya google usalama wa nchi hauko google taarifa za majeshi na siraha ni siri ya nchi.
Nenda google kajiridhishe kuhusu expire date ndio urudi hapa.
 
Japokuwa urusi inasema kwamba wanazo nuclear warhead 6257, nyingi zilishapitwa na wakati.

Silaha za nuclear zinaishi kwa miaka 45 (plutonium) na 85 (tritium). Za urusi zilizotengenezwa na USSR miaka ya 1960s mpaka 1990s zimeshakufa maana zilikuwa plutonium.

Ikumbukwe kwamba urusi hakuwa na fedha za kutengeneza mpya kati ya miaka ya 2000s hivyo kwasasa amebakiwa na active nuclear warhead 625.

Ikumbukwe kwamba marekani anazo active nuclear warhead 5500 mpaka sasa.
Hivi wakati wa USSR unafahamu walikuwa na Nuke ngapi???
 
Tunajipongeza Mariupol is Russia
IMG_20220611_145717_344.jpg

kwa hii nyimbo
Nalog off Z
 
Kuna mada nyingine ni za kupita tu!Chanzo Cha habari:Niamini Mimi🤣🤣
 
We jamaaa naona unayajua mambo ya ndani ya urussi kuliko hata ya nyumbani kwako
 
Japokuwa urusi inasema kwamba wanazo nuclear warhead 6257, nyingi zilishapitwa na wakati.

Silaha za nuclear zinaishi kwa miaka 45 (plutonium) na 85 (tritium). Za urusi zilizotengenezwa na USSR miaka ya 1960s mpaka 1990s zimeshakufa maana zilikuwa plutonium.

Ikumbukwe kwamba urusi hakuwa na fedha za kutengeneza mpya kati ya miaka ya 2000s hivyo kwasasa amebakiwa na active nuclear warhead 625.

Ikumbukwe kwamba marekani anazo active nuclear warhead 5500 mpaka sasa.
Google imemaliza maarifa ya vijana wetu
 
Wakati mleta mada akiropoka hayo maneno kwa ujinga, huko kwenye viwanja vya vita Boris Johnson wa Uingereza na Zelensky wa Ukraine wanailalamikia Urusi kwa kuwatwanga wanajeshi wa Ukraine+mamluki wa NATO na kombora aina moja tu lililoundwa miaka ya 1960's; wanadai eti anatumia silaha kali mno

SmartSelect_20220612-121245_Chrome.jpg
SmartSelect_20220612-121308_Chrome.jpg
 
Japokuwa urusi inasema kwamba wanazo nuclear warhead 6257, nyingi zilishapitwa na wakati.

Silaha za nuclear zinaishi kwa miaka 45 (plutonium) na 85 (tritium). Za urusi zilizotengenezwa na USSR miaka ya 1960s mpaka 1990s zimeshakufa maana zilikuwa plutonium.

Ikumbukwe kwamba urusi hakuwa na fedha za kutengeneza mpya kati ya miaka ya 2000s hivyo kwasasa amebakiwa na active nuclear warhead 625.

Ikumbukwe kwamba marekani anazo active nuclear warhead 5500 mpaka sasa.
Je Leo store umefungwa au bado unaendelea na stocktaking nije kuhakiki taarifa Yako 🚶
 
Japokuwa urusi inasema kwamba wanazo nuclear warhead 6257, nyingi zilishapitwa na wakati.

Silaha za nuclear zinaishi kwa miaka 45 (plutonium) na 85 (tritium). Za urusi zilizotengenezwa na USSR miaka ya 1960s mpaka 1990s zimeshakufa maana zilikuwa plutonium.

Ikumbukwe kwamba urusi hakuwa na fedha za kutengeneza mpya kati ya miaka ya 2000s hivyo kwasasa amebakiwa na active nuclear warhead 625.

Ikumbukwe kwamba marekani anazo active nuclear warhead 5500 mpaka sasa.
We hata kuiona ujawahi sasa wanaotengeneza halijui hilo? tatizo wabongo mkishakula ugali mkubwa na mchunga mnakua na akili za
kiwaki
 
Ndugu,unashangaza sana.
Umeshikilia kwa furaha sana juu mipango ya kifo Cha Putin.
Ukweli Sasa ndio nakuona kua u mjinga sana,pingine watu wengi hawakukujua.

Nadhani kwa ujinga wako wewe na wenzio mnaamini Putin akifa basi Rais ajae huko Russia atakubali majeshi ya NATO yasogee mpakani kwa Urusi.

Kwamba akifa Putin Urusi haitatengeneza Tena silaha Bora kabisa hapa duniani.

Kwamba akifa Putin Urusi itakua dhaifu kabisa kijeshi na kiuchumi.

Kwamba akifa Putin nchi za NATO zitapumua.

Kwamba akifa Putin raia ajaye atakuaa mtiifu kwa USA na NATO.

Pengine akifa Putin ndio USA itakua huru kuitawala Dunia.
Yaani naona ujinga wako na WA nchi au watu waliomwekea Putin sumu amabyo wewe ndio unayojivunia.

Hivi shida ni kifo Cha Putin?
Putin ni binadamu tunajua atakufa TU,Mimi nitakufa,wewe utakufa na hao west watakufa.
Au shida ni Putin kufa akiwa madarakani?
Je? Kennedy wa USA hakufia madarakani?
Kwa hiyo Putin akifa Urusi nayo itakufa?

Kennedy alikufa USA ilikufa?

Labda nikuulize kilaza wewe,
Mgogoro mkali kabisa kati ya USA na Russia Ile USSR, Rais mbabe kabisa wa USSR aliepeleka makombora ya nyukilia Cuba kutaka kuipiga USA Alikua Putin?

Basi kama hakua Putin Sasa ndio ujue hata akifa Putin Leo watakuja Marais wengine wa Urusi wasiokubaliana kabisa na upuuzi wa USA na NATO.
Tena tushukuru Mungu Putin tunamjua,wajao hatuwajui wanaweza kua hawana shida kabisa na diplomasia wao neno moja makombora 100.
Namaana wao wanaweza kuwa hawasemi sana.,Maneno machache vita zaidi.

Ujinga wako wewe na watu wa west wanadhani Putin akifa basi Urusi itakua dhaifu.
Bifu la USA na Urusi ni la kihistoria Mzee,jifunze.
Huko Urusi watoto wakizaliwa wanambiwa kabisa Adui Yao ni USA,nako USA watoto wakilia wakikataa kula au kufanya jambo ambalo wazazi wao wanataka wafanye Huwa wanatishiwa kuwa "eat,if you don't eat the Russians are coming".
Maana yake uadui wa East na west ni WA kihistoria.
Hivyo Rais yoyote wa Urusi akija lazima aangalie maslahi ya urusi.akienda kinyume na hivyo Warusi watamkataa kwa namna yoyote Ile.

Kama unabisha uliza Gobachev Yuko wapi?na kwa Nini haishi Urusi?,wakati Marais wote wa Urusi walistaafia Urusi walifia Urusi na kuzikwa Urusi.

Putin ataondoka lakini Urusi Itabaki na uimara wa Urusi hautatetereka.

Hata hivyo udhaifu mwingine wa kwako wewe na WA USA na NATO wote ni kuombea Putin afe, hii inaonesha Putin kawashinda kwa mbinu,mikakati,akili,maarifa na uwezo kwa Kila nyanja Marais wote wa nchi za Magharibi,majasusi wote wa nchi za Magharibi na majeshi Yao yote.hii ni karama kubwa sana kwa Putin.
Hapa Putin kaishaingia kwenye vitabu vya historia.
Kitu pekee mlichobakiza ni kuombea Putin afe.aisee huu ni udhaifu mkubwa sana kwa USA na west wote,ni udhaifu mkubwa sana kwa NATO.

Mliweza kuwaondoa kijeshi Marais wa vijinchi dhaifu kama Sadam Hussein,muamar gadafi na akina Slobodani Milosevic lakini kwa mwamba Putin mtaishia kumroga tu au kumwekea sumu ndio uwezo wenu dhidi ya Putin ulipoishia.
Ninaposema uwezo wenu naanisha wewe na USA na NATO na west wote.
Unajibu kwa hisia na mhemko, unaona sawa raia wanakufa Ukraine kwa vita ambayo ni non provoked !! Anachofanya putin angekifanya tanzania ungeongea hivi!! Do you know how many innocent kids, mothers and disabled communities wanakufa katika hii vita!! Huna roho ya kibidam wewe
 
Wakati mleta mada akiropoka hayo maneno kwa ujinga, huko kwenye viwanja vya vita Boris Johnson wa Uingereza na Zelensky wa Ukraine wanailalamikia Urusi kwa kuwatwanga wanajeshi wa Ukraine+mamluki wa NATO na kombora aina moja tu lililoundwa miaka ya 1960's; wanadai eti anatumia silaha kali mno

View attachment 2258134View attachment 2258135
Mtu mpumbavu siku zote hujiona ana elimu kubwa sana hii ndio sifa ya upumbavu sasa bora kumuacha tu ,hajui elimu anayolingia hapa duniani haijawahi kutumika kokote huko Urusi hata ukirudisha ktk miaka ya 1000 bado utakuta elimu yao ya mda huo ilikua bora kuliko hiyo elimu yake [emoji3][emoji3] tumsikitikie tu . Mabomu yalioundwa enzi za ujana wa Babu yake mzaa mama yeye hata hajuilikani Kama atakuja kua na hiyo anayoiita elimu ya nyuklia leo hii bado ni hatar utazan yameundwa mwaka Jana tena yanaogopwa na Uingereza sio nchi za Afrika.
 
Back
Top Bottom